1. Kuna baadhi ya wanawake wanatumia tendo la ndoa kama adhabu ya kuwarekebisha waume zao hili ni kosa kubwa sana, linaweza likawa linachochea zaidi.
2. Wanaume wengi hawapendi makelele ndani ya nyumba. Wanawake ambao hawawapatii waume zao good and peace home, inaweza kusababisha mume kuishi mazingira hatarishi zaidi
3. Wengine wataongezea!
Ni kweli, mfano mimi siwezi kumpa wife ambae nimezaa nae mic aimbe ila mchepuko utashika mic na kuimba kila tukikutana.
Mlango wa uwani hapana kwakweli.....hii dhambi siitaki kabisa 😄😄😄[emoji28][emoji28][emoji28][emoji122]mi nilijua mlango wa uwani huwezi muomba wife(joke)ila mike mkuu mbona poa hata kwa wife mi sioni dhambi hii reason yako nehi nehi nehi[emoji2088][emoji2088]
Kila siku mnalilia ndoa sasa hivi tena mnasema tusiwaoe? kweli wanawake hamjui mnachokitakaUSIOE MPAKA MWISHOO KAMA HUTULI
Acha uongo bwana.... Mimi binafsi nachepuka na nimeoa na wife hakuna anacho nikosea.... Hadi Kuna Muda najilaumu kwa nn nafanya hivo ila Muda ukipita tamaa tena zinakuja sijui hata ni kwa nini ipo hivoUkiona Bwana anachepuka, jiulize umekosea wapi? Ukibweteka, lazima utasaidiwa na wengine huko nje hakuna namna
Unakuta wife ni kisu ila wewe kutwa kulana na wadada nje. Unakuta mke anakuhudumia ila kutwa kwa wengine.
Mpewe nini nyie mridhike kuwa mpo kwenye ndoa takatifu? Kwanini mnakwaza wake zenu wanaobeba mimba miezi 9 wanawazalia watoto kwa uchungu? Nini shida?
Semeni, hili ni jukwaa huru.
Swala siyo kitu anachokukosea (rejea hoja ya mtoa hoja) swala ni kitu gani unakikosa (what is missing in her) kwa mkeo mpaka uchepuke? Kwako nadhani huyo mama alichokikosa ni skills za kukudhibiti usichepuke.Acha uongo bwana.... Mimi binafsi nachepuka na nimeoa na wife hakuna anacho nikosea.... Hadi Kuna Muda najilaumu kwa nn nafanya hivo ila Muda ukipita tamaa tena zinakuja sijui hata ni kwa nini ipo hivo
Hata sisi wanawake tunakusanya vipande vipande ili tujiridhishe unaweza kukuta mwarambu lips zake ni tamuShida ni vipande vipande
Huu ni mtego hapa.Unakuta wife ni kisu ila wewe kutwa kulana na wadada nje. Unakuta mke anakuhudumia ila kutwa kwa wengine.
Mpewe nini nyie mridhike kuwa mpo kwenye ndoa takatifu? Kwanini mnakwaza wake zenu wanaobeba mimba miezi 9 wanawazalia watoto kwa uchungu? Nini shida?
Semeni, hili ni jukwaa huru.
Eti eh na sisi ni wanawakeHilo huwezi kulijua wala kulielewa mpaka utakapokuwa MWANAUME
K zinatofautiana
Dada hata sisi tunabeba pumb* maisha yetu yote
Wana tunyanyasa sana hawa wanawake wazuri tulio oa mpaka tunajuta tendo unapewa mara moja kwa mwezi halafu unalindwa kama mtoto mdogo usitoke nje yaan dah bola nisnge oa tu kwanza mpaka nfke miaka 30