Kwanini wanaume huwa na michepuko?

word mkuu uchafu nao huchanguia hujipigi sopusopu[emoji28][emoji28]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji122]mi nilijua mlango wa uwani huwezi muomba wife(joke)ila mike mkuu mbona poa hata kwa wife mi sioni dhambi hii reason yako nehi nehi nehi[emoji2088][emoji2088]
Ni kweli, mfano mimi siwezi kumpa wife ambae nimezaa nae mic aimbe ila mchepuko utashika mic na kuimba kila tukikutana.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji122]mi nilijua mlango wa uwani huwezi muomba wife(joke)ila mike mkuu mbona poa hata kwa wife mi sioni dhambi hii reason yako nehi nehi nehi[emoji2088][emoji2088]
Mlango wa uwani hapana kwakweli.....hii dhambi siitaki kabisa 😄😄😄
 
Kikichuja kilichopendwa awali unaanza kukitafta kwa mwingine; Ref:RC kilimanjaro
 
Ukiona Bwana anachepuka, jiulize umekosea wapi? Ukibweteka, lazima utasaidiwa na wengine huko nje hakuna namna
Acha uongo bwana.... Mimi binafsi nachepuka na nimeoa na wife hakuna anacho nikosea.... Hadi Kuna Muda najilaumu kwa nn nafanya hivo ila Muda ukipita tamaa tena zinakuja sijui hata ni kwa nini ipo hivo
 
Wewe na yule mwarabu supermarket mmefikia wapi na unakosa nini kwa mmeo tuanzie mjadara hapo
 
Acha uongo bwana.... Mimi binafsi nachepuka na nimeoa na wife hakuna anacho nikosea.... Hadi Kuna Muda najilaumu kwa nn nafanya hivo ila Muda ukipita tamaa tena zinakuja sijui hata ni kwa nini ipo hivo
Swala siyo kitu anachokukosea (rejea hoja ya mtoa hoja) swala ni kitu gani unakikosa (what is missing in her) kwa mkeo mpaka uchepuke? Kwako nadhani huyo mama alichokikosa ni skills za kukudhibiti usichepuke.
 
Huu ni mtego hapa.
 
Ndo hapo wanapokwama
Wana tunyanyasa sana hawa wanawake wazuri tulio oa mpaka tunajuta tendo unapewa mara moja kwa mwezi halafu unalindwa kama mtoto mdogo usitoke nje yaan dah bola nisnge oa tu kwanza mpaka nfke miaka 30
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…