Genecandy
JF-Expert Member
- Dec 13, 2017
- 492
- 884
word mkuu uchafu nao huchanguia hujipigi sopusopu[emoji28][emoji28]
1. Kuna baadhi ya wanawake wanatumia tendo la ndoa kama adhabu ya kuwarekebisha waume zao hili ni kosa kubwa sana, linaweza likawa linachochea zaidi.
2. Wanaume wengi hawapendi makelele ndani ya nyumba. Wanawake ambao hawawapatii waume zao good and peace home, inaweza kusababisha mume kuishi mazingira hatarishi zaidi
3. Wengine wataongezea!