Malaika plus
Member
- Oct 30, 2016
- 60
- 119
Tamaa za kipumbavu tu kitu kile kile tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo nasema haiwezekaniiiiiiiiiiiiieeeee umejiuliza kwani lazima mke awe peke yake?mupo wengi na wazuri bhanaaHeloo...!
Kaka zangu naomba niwaulize hivi kwa nn wanaume wengi walio kwenye ndoa, au mahusuano na wenza wanakua hawaridhiki na kua na vimada nje?!
Tatizo ni nini...?!!hamtoshelezwi?tamaa,hulka au ndo asili ya wanaume kua na wanawake wengi?!
Kwa utafiti mdogo tu niliofanya kuanzia baba yangu,wajomba zangu,majirani zangu wenye wenza wao na wafanyakazi wenzangu wengi hao wanaume wana michepuko.
Wengine wake zao wazuri,kisura,kiumbo mpk tabia Ila vinamnyenya mpk anatafut kimada..
Ila ninyi wanaume mkihisi mmegongewa tu ni shida mnoo na hamna ht msamaha..
Ila ninyi mnafanya na mnasamehewa..
Kwa nn hamridhiki lakini na wake zenu...!!????
Mungu anawaona lakini na ss wadada tunawakubali tu hakuna namna usawa ushakaba huu!Japo ni waume za watu!
Au ndo ule msemo MWANAUME BILA NYUMBA NDOGO NI SAWA NA TAIFA LISILO NA UPINZANI..!!
Ila taifa lisilo na upinzani lawezekana tu si km Korea Kaskazini!
kaah...ndo mtupange km nyanya!Hilo nasema haiwezekaniiiiiiiiiiiiieeeee umejiuliza kwani lazima mke awe peke yake?mupo wengi na wazuri bhanaa
uko sahihi sana!kwa haraka utaona hivyo, ila hapa kuna kesi 2in one!
unfortunate situation iko hapa. wanawake wengi wanapenda wanaume wakubwa kiumri na wenye maisha mazuri. wanaume nao wanapenda wanawake wadogo na wenye muda wa outing/watundu! waume za watu wengi wanafit kuwa chaguo la mabinti, na vibinti vingi vinafit kuwa michepuko, ktk mtafaruku huu wake za watu wanakuwa ni miongoni mwa watu wenye bahati mbaya! ofkoz na vibrazameni navyo vinaumia kubebewa videmu vyao!
- Wanaume wengi kwenye mahusiano ya kudumu kama ndoa huwa wanachepuka. hapa as compared to wanawake wanandoa. haimaanishi wanawake hawafanyi hivyo ila proportion ya wanaume wachepukaji inazidi kiwango cha wanawake.
- kesi ya pili, yaweza kuwa wanawake wengi wasioolewa/kuwa ktk mahusiano ya muda mrefu hupenda kutoka na waume za watu.
Aliyeanzisha style ya mwanaume mmoja kuwa na mke mmoja alikua ana lengo gani??Heloo...!
Kaka zangu naomba niwaulize hivi kwa nn wanaume wengi walio kwenye ndoa, au mahusuano na wenza wanakua hawaridhiki na kua na vimada nje?!
Tatizo ni nini...?!!hamtoshelezwi?tamaa,hulka au ndo asili ya wanaume kua na wanawake wengi?!
Kwa utafiti mdogo tu niliofanya kuanzia baba yangu,wajomba zangu,majirani zangu wenye wenza wao na wafanyakazi wenzangu wengi hao wanaume wana michepuko.
Wengine wake zao wazuri,kisura,kiumbo mpk tabia Ila vinamnyenya mpk anatafut kimada..
Ila ninyi wanaume mkihisi mmegongewa tu ni shida mnoo na hamna ht msamaha..
Ila ninyi mnafanya na mnasamehewa..
Kwa nn hamridhiki lakini na wake zenu...!!????
Mungu anawaona lakini na ss wadada tunawakubali tu hakuna namna usawa ushakaba huu!Japo ni waume za watu!
Au ndo ule msemo MWANAUME BILA NYUMBA NDOGO NI SAWA NA TAIFA LISILO NA UPINZANI..!!
Ila taifa lisilo na upinzani lawezekana tu si km Korea Kaskazini!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani kuna ubaya...?!Na wewe kwa nini unakubali kuwa mchepuko wakati unatambua kuwa unayemchuna ana mke???! Na wewe ni jipu.
na nyie wanawake mmezidi kututega, yawezekana hata wewe ni mchepuko wa mzee mmoja hapa mjini
utaoaje wewe sasa...!kama masaburi wake watano[emoji3]Aliyeanzisha style ya mwanaume mmoja kuwa na mke mmoja alikua ana lengo gani??
Labda tuanzie hapa. Haya mambo ya kuoana ni idea ya mtu mmoja. Ndio maana mm sifikirii kuoa kwa ndoa sijui harusi sijui madudu gani
Utamuona wa ajabu huyo mwenzio...pale tu utakapo kuwa umempata Mume, ila Kama bado hata wewe utakubali tuu kuwa Hawara.shida ni huyo mwanamke anaekubali kuwa hawara
Kweli mkuuNi swala la mtu husika ME au KE kujiendekeza, Ki ukweli inawezekana ukatulia na wako mmoja umpendaye.
Napambana hili pepo litoke.lione vile looohh!nyie nyie[emoji3]
Hiyo ya 'wanawake wengi' siku hizi napata ukakasi sana kulitumia, inabidi tubadilishe iwe tu 'wanawake wachache'.[emoji23] [emoji23] wanawake wengi sio wa kuchepukachepuka...
nyie ndo mwapendaaa mambo hayo lazima shida iwepo!!
Ila mwanaume hana shida?shida ni huyo mwanamke anaekubali kuwa hawara
Haha ha ha haaa,..... umenifurahishaaaa,...umemaliza vizuri kweli.Mungu anawaona lakini na ss wadada tunawakubali tu hakuna namna usawa ushakaba huu!Japo ni waume za watu!
Au ndo ule msemo MWANAUME BILA NYUMBA NDOGO NI SAWA NA TAIFA LISILO NA UPINZANI..!!
Ila taifa lisilo na upinzani lawezekana tu si km Korea Kaskazini!