Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Wanawake wanapenda Wanaume wenye wake zao... Hasa mwanaume awe anamjali mke wake...
Mim nikiwa chuo miaka hyo... Nlipata kabinti fulani amaizing... Nikawa nakajali sana.. All the quality time.. Nipo nako.. Nikawa nakapga pamba fresh,full kukashow love.. Every one knows about us..ndo symbol of true love and best couple.. Cha kushangaza videmu vikamiminika vya kutosha mpaka her best friends wakawa wanamzunguka kiana mi Natafuna tu..
Halafu ndo nazidisha mahaba kwa kabibie.. Ndo wanajaa jealous wanataka kuonja vitamu.. Vya wenzao
Ukikuta mme wa mtu anachepka.. Most times huwa wako vizur kwa wenza wao.. Kias kwamba wana attract mafisi kudowea vya watu...
 
Na wewe kwa nini unakubali kuwa mchepuko wakati unatambua kuwa unayemchuna ana mke???! Na wewe ni jipu.
 
na nyie wanawake mmezidi kututega, yawezekana hata wewe ni mchepuko wa mzee mmoja hapa mjini
 
Heloo...!

Kaka zangu naomba niwaulize hivi kwa nn wanaume wengi walio kwenye ndoa, au mahusuano na wenza wanakua hawaridhiki na kua na vimada nje?!

Tatizo ni nini...?!!hamtoshelezwi?tamaa,hulka au ndo asili ya wanaume kua na wanawake wengi?!

Kwa utafiti mdogo tu niliofanya kuanzia baba yangu,wajomba zangu,majirani zangu wenye wenza wao na wafanyakazi wenzangu wengi hao wanaume wana michepuko.

Wengine wake zao wazuri,kisura,kiumbo mpk tabia Ila vinamnyenya mpk anatafut kimada..

Ila ninyi wanaume mkihisi mmegongewa tu ni shida mnoo na hamna ht msamaha..

Ila ninyi mnafanya na mnasamehewa..

Kwa nn hamridhiki lakini na wake zenu...!!????

Mungu anawaona lakini na ss wadada tunawakubali tu hakuna namna usawa ushakaba huu!Japo ni waume za watu!

Au ndo ule msemo MWANAUME BILA NYUMBA NDOGO NI SAWA NA TAIFA LISILO NA UPINZANI..!!

Ila taifa lisilo na upinzani lawezekana tu si km Korea Kaskazini!
Hilo nasema haiwezekaniiiiiiiiiiiiieeeee umejiuliza kwani lazima mke awe peke yake?mupo wengi na wazuri bhanaa
 
kwa haraka utaona hivyo, ila hapa kuna kesi 2in one!
  1. Wanaume wengi kwenye mahusiano ya kudumu kama ndoa huwa wanachepuka. hapa as compared to wanawake wanandoa. haimaanishi wanawake hawafanyi hivyo ila proportion ya wanaume wachepukaji inazidi kiwango cha wanawake.
  2. kesi ya pili, yaweza kuwa wanawake wengi wasioolewa/kuwa ktk mahusiano ya muda mrefu hupenda kutoka na waume za watu.
unfortunate situation iko hapa. wanawake wengi wanapenda wanaume wakubwa kiumri na wenye maisha mazuri. wanaume nao wanapenda wanawake wadogo na wenye muda wa outing/watundu! waume za watu wengi wanafit kuwa chaguo la mabinti, na vibinti vingi vinafit kuwa michepuko, ktk mtafaruku huu wake za watu wanakuwa ni miongoni mwa watu wenye bahati mbaya! ofkoz na vibrazameni navyo vinaumia kubebewa videmu vyao!
uko sahihi sana!
hata mm aisehh!brazamen chini ya 35,yrs huna nafasi
 
Heloo...!

Kaka zangu naomba niwaulize hivi kwa nn wanaume wengi walio kwenye ndoa, au mahusuano na wenza wanakua hawaridhiki na kua na vimada nje?!

Tatizo ni nini...?!!hamtoshelezwi?tamaa,hulka au ndo asili ya wanaume kua na wanawake wengi?!

Kwa utafiti mdogo tu niliofanya kuanzia baba yangu,wajomba zangu,majirani zangu wenye wenza wao na wafanyakazi wenzangu wengi hao wanaume wana michepuko.

Wengine wake zao wazuri,kisura,kiumbo mpk tabia Ila vinamnyenya mpk anatafut kimada..

Ila ninyi wanaume mkihisi mmegongewa tu ni shida mnoo na hamna ht msamaha..

Ila ninyi mnafanya na mnasamehewa..

Kwa nn hamridhiki lakini na wake zenu...!!????

Mungu anawaona lakini na ss wadada tunawakubali tu hakuna namna usawa ushakaba huu!Japo ni waume za watu!

Au ndo ule msemo MWANAUME BILA NYUMBA NDOGO NI SAWA NA TAIFA LISILO NA UPINZANI..!!

Ila taifa lisilo na upinzani lawezekana tu si km Korea Kaskazini!
Aliyeanzisha style ya mwanaume mmoja kuwa na mke mmoja alikua ana lengo gani??

Labda tuanzie hapa. Haya mambo ya kuoana ni idea ya mtu mmoja. Ndio maana mm sifikirii kuoa kwa ndoa sijui harusi sijui madudu gani
 
Na wewe kwa nini unakubali kuwa mchepuko wakati unatambua kuwa unayemchuna ana mke???! Na wewe ni jipu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani kuna ubaya...?!

Si mwatutaka wenyewe!!
na nyie wanawake mmezidi kututega, yawezekana hata wewe ni mchepuko wa mzee mmoja hapa mjini
 
Aliyeanzisha style ya mwanaume mmoja kuwa na mke mmoja alikua ana lengo gani??

Labda tuanzie hapa. Haya mambo ya kuoana ni idea ya mtu mmoja. Ndio maana mm sifikirii kuoa kwa ndoa sijui harusi sijui madudu gani
utaoaje wewe sasa...!kama masaburi wake watano[emoji3]
 
Ukiona hivyo hujue hawapewi vizuri!!ndio maana wanaenda chombeza nje..
 
Ndoa, upendo na mapenzi ni vitu 3 tofauti visivyoingiliana. Unaweza ukampenda mkeo lakini hawezi kukupa penzi unalotaka, na bahati mbaya wanawake huwa wanadhan akishaolewa tu sasa kazi imeisha anahisi km kafika mbinguni. Kwa wanaume penzi tamu kuliko zote ni la mwanamke mpya asiekukera
 
Kihalisia I.e kimaumbile mwanaume halidhiki kwa mwanamke mmoja,ndio maana ukisoma historia utaambiwa babu yako mzaa babuyako alikuwa na wake sita ,kwa kuwa sikuhizi watu waume uanakatishwa taa kutoa wake wengi mmbadala ni kuchepuka tu,
 
Mungu atupe bonas ya msamaha wa dhambi kwenye hayo mambo ya uchepukaji lo!.
 
[emoji23] [emoji23] wanawake wengi sio wa kuchepukachepuka...

nyie ndo mwapendaaa mambo hayo lazima shida iwepo!!
Hiyo ya 'wanawake wengi' siku hizi napata ukakasi sana kulitumia, inabidi tubadilishe iwe tu 'wanawake wachache'.
 
shida ni huyo mwanamke anaekubali kuwa hawara
Ila mwanaume hana shida?
Kati ya huyo hawara na huyo mwanaume nani ana commitment na mwenzie!! Ni nani aliapa till death do us apart,na kutokusaliti?
Usiwatetee, maana hapo wote wana makosa ila huyo alieacha ndoa kwenda kusaliti ni bomu.

Kumbuka kuna wengine huficha kabisa kama wameoa/kuolewa, unakuja gundua too late.
 
Mungu anawaona lakini na ss wadada tunawakubali tu hakuna namna usawa ushakaba huu!Japo ni waume za watu!

Au ndo ule msemo MWANAUME BILA NYUMBA NDOGO NI SAWA NA TAIFA LISILO NA UPINZANI..!!

Ila taifa lisilo na upinzani lawezekana tu si km Korea Kaskazini!
Haha ha ha haaa,..... umenifurahishaaaa,...umemaliza vizuri kweli.
 
Back
Top Bottom