Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiukweli yaan mtusamehe hebu tuchukulien kuwa huo ndio ulemavu wetu lakin mwanaume kubaki njia kuu hyo ngumu mchepuko haukwepeki ila semen tupunguze
Sasa Kwani Shikamoo c yamanisha mie mkubwa au?
Haya nimekuelewa
Uko mwanaume lijali awe na mchepuko ila nijali Mimi wa ndani pia niheshimu nipe mahitaji Yang yooote kama mkeo
Chepuko lako iwe siri yako na umwambie una mke komando kama umaga or ray sterio. heshima ichukue mkondo wake..au vip wangu
wengi wa wanaochepuka huwa wana dushelele kuanzia nchi 6.5 na kuendelea
fuatilia hii case study utaniambia kuwa ni kweli.
yani ukishasifiwa tu na Munkari, basi utataka ichana, sweetlicious, preta, karucee, na king'asti wajue!
lazima uchepuke tu kutangaza ubingwa..
Ha ha ha come on...nani kakudanga ukicheza mechi za mchangan itakusidia kuwa champion kweny league kuu...
Kuwa mzooefu kwenye uwanja wako wa home like messi no matter uwe mbali kiaje or kona ipi lazima utikise nyavu...
Fanyia mazoezi kiwanja cha home bhana kitakusaidia kujua korongo na kona ipi ya kufungia
Daah!!Ama kweli Wanawake tutalia sana na michepuko ya waume zetu
Daah!!Ama kweli Wanawake tutalia sana na michepuko ya waume zetu
hapo hakuna mwenye uvumilivu labda usijue kuwa unat..o mb e wa. Lakin sisi tunawaonea huruma nyinyi wenyew utakuta mdada wa watu yupo idle hana aman wakat huo mm mwenyew nahtaji frend match kujifua dhid ya ligi kuu naamua kumpa kampan na kumuondolea upweke. Sasa kosa letu ni lip