Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Mm nnavyojua handbag lazima ifuate masharti yangu na si vinginevyo. Hakuna kunipigia simu au sms hadi mm nimtafute. Nikiwa na wife urafiki na yeye haupo, hakuna mambo yoyote yatakayomkwaza wife kwa sababu heshima yake inalindwa na contract niliyoweka kwa huyo handbag. Wife kwanza na kipusa baadae. Ndo utaratibu wangu lakini wajameni. Kwa hali hii respect kwa huba wangu itadumu milele.
 
laiti ingefaa ningekupa like 100 TIMES nami nimeaambia huku kweye blue ndo ukweli wenywe

watakufa waache watoto yatima au apate kovu la uzeeni kisa nini...

sifuatili mtu yoyote as long as ananipa mhitaj yangu
hata kama anakupa mahitaji yako yote nyumbani huwezi kumruhusu mumeo aendelee kuchepuka ilhali na wewe unajua fika tena huchukui hatua yeyote,hapo wote mnatenda dambi inabidi umbane ile ni mali yako hwcome uiache ipotee kama humuonei wivu katika hilo basi bila shaka hapo hamna mapenzi au yanaanza kupoungua au mnaishi pamoja ili muwanufaishe watu wa nje tu otherwise umruhusu aoe mke wa pili ujue moja.
 
Mkuu huu msimamo wako ningekubaliana nao wakati ule hakuna magonjwa hasa ukimwi to be specific.

Kwa hali ya sasa hivi ukisema humfuatilii as long anakupa mahitaji yako, una hakika gani kuwa huwezi ukaletewa ugonjwa ?!

Cha maana ni kutumia busara wakati wa kufuatilia. La sivyo utaogopa pressure ya kufuatilia uletewe pressure ya ugonjwa!

kikubwa ni TABIA KUBALIKA ....
wanagp wamefuatiliana na kupgwa hadi kuuawa??
kwani akifualia ukimwi hpati????
je nikikaa kimya kama ni ukimwi si ataniletea

kwenye RED ndo muhimu tu
 
nakubaliana na wewe katika baadhi ya mambo na mengine napingana na wewe kwanza sikubaliani na wewe kwamba mwanaume hatoshekii na mwanamke mmoja mi naamini kama upendo upo wa kweli na hamna migogoro na kila mtu anaplay part yake basi mwanume unaweza ukatosheka na mke mmoja kuna mbinu nyingi za mwanmke kumfanya mmewe atosheke nae na hata ikitokea mwanaume hajatosheka basi dini ya uislamu inaruhusu mwanaume kuoa wake mpk wanne lakini hata kama sio muisalmu hawezi kuoa mke zaidi ya mmoja hicho sio kigezo cha mume kumvunjia heshima mkewwe yaani unamcheat tena zaidi ya mara moja alafu usione kosa kiasi cah kukmba msahamha na mkeo unampiga mi naamini huyo mwanaume ana matatizo huwezi ukajisahau kiasi hiicho kwa mkeo inabidii umpe heshima yake,huwezi ukampa hawala kipaumbele zaidii.

Hahahahahaaaa!
Usjali Mndengereko! Naandaa nondo zangu hapa, nitakutag!
 
Asprin naomba kujua kwa uzoefu wako huyu Blue G ni me au ke? Ananchanginyi hakyamama
 
Last edited by a moderator:
Mke wa ndoa ana heshima yake ya kipekee ingawa kuna wachache hawatambui heshima tuwapayo na ndio chanzo cha kutoka njia kuu.
Turudi kwenye mada ni kweli kwa asilimia 90 wanaume tunachepuka but huyu bwana alilomfanyie mkewe ni upuuzi na ametudhalilisha wanaume,me sikatai nachepuka sana but sijaruhusu kimada yeyote amdharau ma wife,imekua principle akimdharau kwa namna yoyote napiga chini,huwa nawatahadharisha before kuhusu heshima kwa mke wangu.
 
hata kama anakupa mahitaji yako yote nyumbani huwezi kumruhusu mumeo aendelee kuchepuka ilhali na wewe unajua fika tena huchukui hatua yeyote,hapo wote mnatenda dambi inabidi umbane ile ni mali yako hwcome uiache ipotee kama humuonei wivu katika hilo basi bila shaka hapo hamna mapenzi au yanaanza kupoungua au mnaishi pamoja ili muwanufaishe watu wa nje tu otherwise umruhusu aoe mke wa pili ujue moja.

hapo kwenye red sio sanaaa wanawake wengi wanaamua kuwa wapole kwa maana ya ULIJALI wa mwanaume...unafuatilia then unapata kipondo cha mbwa mwizi while mume wako tena wa ndoa,.
tabia za wanume wengi wanapenda michepko bila ya kuwa na sababu maalm

na kusema eti namruhusu NOOO hakuna aayependa kushare utamu wake na mtu mwingne kwa maana uhuni ni TABIA YA MTU...paka unampa nyama ila akiona panya lazma umfukuzie kwa hiyo kama ni mhuni hta umbane vpi lazim ataenda kwa hiyo acheni tabia

KIKUBWA KUBADLI TABIA na KUWA NA HOFU YA MUNGU
 
Naona Wadau Wa Michepuko Wanajitetea sana,
Kutoka nje ya ndoa ni kuidharau ndoa yako na nafsi yako pia
 
Sasa mnaanza kumkosoa Mungu aliyemuumbia mwanaume mwanamke mmoja? Acheni kuhalalisha uhuni kwa kusingizia mwanaume hatosheki.

Hiki alichokifanya huyo jamaa ni unyama na haustahili kuungwa mkono na mtu yoyote.
 
mke ana thamani kuliko nyumba ndogo and it always be like that ukiona imekuwa kinyume chake ujue kuna tatizo kwa either kwa upande wa mwanmake(hatekelezi majukumu yake inavyotakiwa) au kuna matatizo upande wa mwaname (kashikiwa akili kiasi hajui umuhimuwa mke wwake mbele ya hawala)
 
Asante kwa mchango wako mzuri mkuu Kighiria Wachal natamani wengine pia waosome hapa wapaelewe,babu Asprin cam zis wei pulizi.
Kumdhalilisha mkeo ni laana kubwa,hatakama una mambo yako pembeni mheshimu mkeo.Katika maisha ya raha nyumba ndogo zinathaminiwa sana ila siku yamemkuta makubwa na kafulia ndio umuhimu wa mke unapoonekana. Unampiga mkeo wewe najua kwenye hiyo nyumba ndogo mko wangapi mnao mtunza huyo mwanamke? Asubiri siku ya kdhalilika naye haipo mbali.
 
Last edited by a moderator:
hapo kwenye red sio sanaaa wanawake wengi wanaamua kuwa wapole kwa maana ya ULIJALI wa mwanaume...unafuatilia then unapata kipondo cha mbwa mwizi while mume wako tena wa ndoa,.
tabia za wanume wengi wanapenda michepko bila ya kuwa na sababu maalm

na kusema eti namruhusu NOOO hakuna aayependa kushare utamu wake na mtu mwingne kwa maana uhuni ni TABIA YA MTU...paka unampa nyama ila akiona panya lazma umfukuzie kwa hiyo kama ni mhuni hta umbane vpi lazim ataenda kwa hiyo acheni tabia

KIKUBWA KUBADLI TABIA na KUWA NA HOFU YA MUNGU
sasa tabia mtu atabadilisha vipi na wewe humkumbushi umeamua kumsusia eti kwa kuogopa kupigwa ilhali huo ni mume wako??? wewe huwezi kupigana naye na kama unasema anaonyesha tabia za urijali(according to ur defn) basi chuku ahatua nyingine za kumbadilisha tabia yake lakini sio kumzila kama vile umem legalize aendelee kuchepuka either kamshtaki kwa wazazi wake au kwa matu anaemheshimu ili badilike ila kitu cha msingi ni kuhakikisha kwamba kwanza wewe mke unatekeleza majukumu yako ipasavyo,
mimi siamini ksana katika swala la tabia kawamba kuchepuka ni tabia ingawaje ipo ila ni kwa wachache pia siamini kama mtu anaooa ili aendelee kuchepuka nachojua ni kwamba mtu unaoo ili upate kutulia uepuke kuhangaika na ujikinge na athari za kuhaingaika(kutotulia na mtu mmoj) and not otherwise.ukiona imekuwa otherwise ujue kuna tatizo somewhere..
 
mke ana thamani kuliko nyumba ndogo and it always be like that ukiona imekuwa kinyume chake ujue kuna tatizo kwa either kwa upande wa mwanmake(hatekelezi majukumu yake inavyotakiwa) au kuna matatizo upande wa mwaname (kashikiwa akili kiasi hajui umuhimuwa mke wwake mbele ya hawala)

thamani ya mke au mume ni kubwa sana na huwezi kuifananisha na chochote kwa wale wenye kujua maana...

ILa kwa wale wachepukji ni vigum kujua haya ndo mana utaona wanawadhalilisha wake zao mbele ya michepuko...

tukibadili tabia namin hayo mapungufu /matatizo hyatakuwepo
 
Uzi wako mref sana mpaka unakera subir wakina shigongo waje wakujbu
 
Haya mkuu asnte kwa mchango wako.
kila kitu kina sababu zake, na pia kama hutaki maumivu usiyatafute kwasababu hata ukiyapata kuyahandle itakuwa taabu. Kwamfano kwanini uamue kumuwekea ulinzi au kumfuatilia mpenzi wako wakati unajua ukijua ukweli mchungu kama huo kuondoka huwezi na kulipiza ni ujinga? Hapo utakuwa unajitafutia maumivu unnecessarily (so if you cannot fight them join them).
Pili mahusiano siyo swala la kugombana bali kuelewana, so kwa mfano unakuta mpenzi wako yuko na mtu mwingine, kumbuka huyu hakuwafumania guest au kuwakuta wanafanya ngono, labda kawakuta bar au anywhere na nafanya assumption kuwa hawakuwa wao tu kulikuwa na watu wengine. So kwanini afike na matusi au ugomvi au kumvaa mtu aliyenaye? Labda wanaongea business, au ni social gathering au wanamaongezi mengine. So jambo la busara ilikuwa ni kuvunja ukimya na siyo kuanzisha zogo (if you nannot convince confuse)
ni hayo tu kwa leo
 
Amemkosea sana mkewe,basi mi jana mume kama hio utakuta ata mkewe amfikish kilelen,ila umaraya kauweka mbele,pengne atasema nyumba ndogo inaufundi wakati yeye mwenyewe ajitumi kwa mkewe,

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom