Kwanini wanaume waliooa huacha kuwashirikisha wenza wao kwenye vyanzo vyao vya mapato?

Haahaaahaaa haha..husband material [emoji38]
 

salute chief [emoji1478]
 
Nikitazama mtiririko wa michango naona vijana wanazidi kuwatambua wanawake na namna ya kuishi nao......hali hii itapelekea kupunguza vifo vya wanaume wengi na magonjwa ya msongo wa mawazo........

Sifa kuu ya mwanaume ni kuhakikisha kuwa familia yake inapata mahitaji yote ya msingi kwa wakati muafaka........
 
Wanaume wasiojielewa ndio huficha mambo Matokeo Yao hufa ghafla na kuacha familia ikiteseka, Sasa unaishije na mtu usiye mwamini na hamshirikishani mambo yenu, wanaume oeni wanawake mnaoendana nao vision
Ukikua utaelewa kwani maoni mengi ni tofauti na unavyodhani wewe
 
Haahaaahaaa[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23]

Hivi wanawake wana nini na hela? Shetani alimwambia nini Eva baada ya tunda kuhusu hela?[emoji38][emoji38][emoji38]

[emoji23][emoji23] kwa kweli najiiliza kila siku hili swali maana hata Sheitani anakuna kichwa

Kuna mara naona niwasaidie baadhi na kuwapa hata mtaji ila kibri nayo inawasumbua
Kutwa kuomba ila ukimwambia shika mtaji anza biashara ndogo hataki hilo ndio tatizo
Wengi ni ombaomba (sorry) [emoji23][emoji23]
 
Pamoja na kwamba sisi kama binadamu- wake kwa waume hata tunapokuwa watu wazima kuna nyakati huwa tunafanya mambo ya kitoto na kijinga.

Lakini kwa upande wa wanawake mambo yao ya kitoto na kijinga ni mengi zaidi ya wanaume.
 

[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe inatakiwa ujengewe Sanamu pale round about DODOMA.
 
Wanaume wasiojielewa ndio huficha mambo Matokeo Yao hufa ghafla na kuacha familia ikiteseka, Sasa unaishije na mtu usiye mwamini na hamshirikishani mambo yenu, wanaume oeni wanawake mnaoendana nao vision
Mimi nipo upande huu wa Wanaume wasiojielewa,na ninataka nibaki huku huku.
 
Wanaume wote wana fikra sawa na wewe ila shida moja ni kuwa hawa viumbe wote wanafanana tabia sasa utaacha wangapi
Ndugu yangu kama mlivyo nyie hamfanani bac nasisi wanawake hatufanani sabab huwezi kuniweka kundi moja na kahaba au Malaya wa mitaani
 
mwanamke unaepaswa kuwa nae karibu sana na kumshirikisha kwa kila jambo ni Mama yako tu.
Acheni ubinafsi kama mama yako asingeaminiwa na baba yako Leo mngefika hapo ebu waangalie wanao ni yupi atakae Walea na kuwajali zaid nimama yao ila mama yako hawezi kuonyesha upendo mkubwa kama alionao mama yao hivyo kama umeamua hivyo bac jua wanao wataish maisha magumu na watakukumbuka kwa mabaya yako na kukulaani kila Leo na ikiwa bahat mbaya wakakosa support ya elimu labda ukifarik hapo ndio chuki itaongezeka Mara dufu.
Kama unamuona mama wa thaman sana kuliko mkeo ni bora usioe wala usiwe na watt
 
Mjomba tu ndio alikuwa anajua?[emoji28] safi ni ndugu yake haina ubaya hio aliojengewa mke inatosha
Sidhan kama inatosha sabb kaacha watoto hao watoto wataishije watakuwa vipi naukute mama yao alikatazwa asifanye kazi hao watt nani atakae wasaidia kutimiza ndoto zao? Tukijiuliza maswali hayo inapaswa wanaume kama umuamin mkeo ila assets zako andika majina ya wanao kwani hakuna atakae wadhurum wala Mali zake hazito teketea
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] ni mahaba tu yamemkolea
 
Mmmmhhhh sio wote maana kama kunakuwa na bajeti ya familia kila mwezi huwezi kutumia pesa hovyo na ili ujue unatoa kias gani. Kwanza unapaswa kukaa na mkeo kupanga bajeti iwe katika sehem Tatu
1. Chakula, kama wote ni wafanyakaz inabid kila mtu achangie kiasi chapesa ila mume uwe zaid ya mke namjue vitu gani ndani vinahitaj kwa suala la chakula na inagharm bei gan kwa manunuz
2. Elimu, kama mnawatoto mnapaswa kufungua account ya familia kulingana na idad ya watoto mlionao inapaswa kila mtu achangie kwa asilimia kadhaa kweny hiyo account
3. Afya. Sasa hapa mnaweka pesa ya akiba ikitokea jambo lolote la dharula itawasaidia kama matatiz ya wazaz au ndugu mnachukua kweny pesa hii ambayo mnaitunza kila mwezi
MKIFANYA HIVI KILA MTU ATAKUWA NA UHURU WA KUPAMBANA NA FAMILIA NA KUONDOA HALI YA UTEGEMEZI PANDE ZOTE MBILI NA PESA YENU MTAJUA MATUMIZ YAKE MTAPUNGUZA GHARAMA ZINGINE AMBAZO HAZINA MSINGI
 
Kuna mwanamke asiyedanga?! Ukiamini basi siku ya kujuwa lazima ufe kwa pressure tu
Sio wote wanaodanga ndugu kulingana na tabia ya mume mchapukaji ndio wanahofia na wake zao watachepuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…