Hahaha nawaona omba omba[emoji38][emoji38][emoji38]Jamani nisamehe hivi kila wakati ukiomba nikakupa sema Laki
Zikiwa x 10 hapo hujakaa na kuuza hata samaki wa kukaanga
Tatizo sio hilo ila naona ni kuona kama mtu ana hadhi ya kuwa na Range wakati hata baiskeli hana
[emoji23][emoji23]
Ila nawapenda
Tunaomba omba sana wanaume hela[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tumefanyaje tena jamani [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siyo poa..
Hatuwezi acha mpaka Jesus atakaporudi
Yaan hakuna pesa tamu dunian kama ya kupewa tu ni tamu mno ndio maana tushakuwa addicted 😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siyo poa..
Tuombe nini sasa Witty.. Maana hela ya Baby ni tamu aisee...
Akikupa hata elfu kumi na wewe una elfu hamsini.. ile elfu kumi itathaminiwa ajabu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Washauri wasiache kutupatia.. halafu siyo hadi waombwe jamani[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hizo loss ni unaforexiana huko niniMwaka juzi nilimshirikisha wife kwenye project moja bahati mbayà nikipata loss ya milioni kadhaa, ilikuwa hatari yaani wife alipiga kelele nikakosa amani, mwaka huu sijamshilikisha na nimepata loss kubwa zaidi ila nipo na furaha tu, na nimepanga sitamshirikisha tena
Hata Yesu anaweza kurudi na tusiache etiii[emoji2][emoji2][emoji2]Hatuwezi acha mpaka Jesus atakaporudi
Hatuwezi achaHata Yesu anaweza kurudi na tusiache etiii[emoji2][emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile feelings inayokujaga sasa....Aaaaawwww!!!!Yaan hakuna pesa tamu dunian kama ya kupewa tu ni tamu mno ndio maana tushakuwa addicted [emoji23][emoji23]
We utakuwa marioo....ndo maana unapenda hizi dizain[emoji57][emoji848]salute chief [emoji1478]
Hawajui tuu mkuu...elfu kumi ya hubby tamu kuliko 50k yako[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siyo poa..
Tuombe nini sasa Witty.. Maana hela ya Baby ni tamu aisee...
Akikupa hata elfu kumi na wewe una elfu hamsini.. ile elfu kumi itathaminiwa ajabu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Washauri wasiache kutupatia.. halafu siyo hadi waombwe jamani[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikinukisha ni balaa, ila baadaye nilikuja kujua kuwa wanawake wengi ni result oriented wanataka matokeo chanya kwenye project atashangilia na kujisifia kuwa yeye ndio alikuwa anapambana, ila yakitokea matokeo hasi yeye anakuwa hausiki na hapo ndio utabeba lawama zoteMashost wasimcheke unafikiri mchezo lazima akinukishe
Ahaaaahaaahaaa[emoji91][emoji1787]Alikinukisha ni balaa, ila baadaye nilikuja kujua kuwa wanawake wengi ni result oriented wanataka matokeo chanya kwenye project atashangilia na kujisifia kuwa yeye ndio alikuwa anapambana, ila yakitokea matokeo hasi yeye anakuwa hausiki na hapo ndio utabeba lawama zote
Hawajui Kabisa Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawajui tuu mkuu...elfu kumi ya hubby tamu kuliko 50k yako[emoji848]
Sema hawajui tuu
Hili neno ni mmelikariri au maana kila mwanamke analiongea acheni hizo bana.Hawajui tuu mkuu...elfu kumi ya hubby tamu kuliko 50k yako[emoji848]
Sema hawajui tuu
Witty niombee laki 😁Hahaha nawaona omba omba[emoji38][emoji38][emoji38]
witnessj
Evelyn Salt
Dinazarde
Makiwendo
cocastic
Ndio ukweli huo dearHili neno ni mmelikariri au maana kila mwanamke analiongea acheni hizo bana.
Sent from my RMX2189 using JamiiForums mobile app