Rwekaxa Autonomy
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 461
- 498
Mkuu wew unamshrikisha mwenzio?Habari Wana jamvi,
Kwa wanaume mliooa naomba kuuliza ni kwanini haumshilikishi mkeo vyanzo vyako vya mapato?? Au ulikua unamshilikisha afu ukaacha why?
Ladies take note
mwanamke unaepaswa kuwa nae karibu sana na kumshirikisha kwa kila jambo ni Mama yako tu.Mwanamke anastahili kuongozwa kwa kila jambo na kumshirikisha kilajambo mengine anapaswa aambiwe baada ya ndio maana tukatafuta neno zuri tunaita suprise
Tako tepe tepeTafuteni smart women wenye maono, shida huwa mnatafta sijui Kwa vigezo gani nyie
unaweza kumshirikisha tu hamna shida, ila tambua wakati wewe ukipambana ili umudu kuihudumia familia yako nakupata maendeleo ya kiuchumi Yeye anawaza kukumiliki wewe na kila kilicho chako.Habari Wana jamvi,
Kwa wanaume mliooa naomba kuuliza ni kwanini haumshilikishi mkeo vyanzo vyako vya mapato?? Au ulikua unamshilikisha afu ukaacha why?
Ladies take note
😅😅😅😅😅😅 hongera sana mkuu, mkeo kweli amekuwa ndugu yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nashukuru Mungu sijabahatisha mwanamke wa Dizaini hiyo ndugu zangu anawapokea vizuri na kuwahudumia ipasavyo hadi niliwahi mchunguza, na nikimpa hela akaitume inatumwa yote hajawai ipunguza, mapungufu yapo tu na ndio yanayo tufanya tuwe na jicho jekundu [emoji23][emoji23][emoji23] maana anajua dakika 0 nambadilikia.
Mjomba tu ndio alikuwa anajua?😅 safi ni ndugu yake haina ubaya hio aliojengewa mke inatoshaKuna jamaa kafa afu uncle kabahatika mjengo wa bure...marehemu alimthamini mtu baki kuliko kumwambia mkewe kuhusu Mali zake.Jumba hilo alikuwa anajenga kisirisiri
Hahahahah umeongea kweli kabisa maana tukumbuke mapenzi huwa yanaisha na urafiki unakufa ila undugu haufagi!Kwasababu baadhi ya wanawake hawataki wanaume tusaidie familia zetu ila wanataka tuwatngenezee upande wa kwao akijua kipato chako anakipangia bajeti na lazma iwe ugomvi lakin pia likitokea tatzo fadhila zao kwetu ni kutudharau kudai talaka na kwenda mahakamani kudai kugawana mali ili kuhakikisha anakukomoa kabsa Sasa akijua vichochoro vyako vyote atakumaliza kirahisi anatakiwa asijue akiba wala unaingiza shingap ili angalau siku akianza uadui asikumalize ili aendelee na maisha yake kwa amani na wewe uendelee na maisha yako
Kuna kitu umekigusa hapo, Mimi mara nyingi huwaga napishana kauli na mke wangu kwa suala kama Hilo... Siku hizi ananiuliza eti pesa hazioni naficha kwenye gari... Sasa na Mimi namuuliza swali niambie ni siku gani umelala na njaa, na siku gani ndani sijakupa akiba na Hela yako ya matumizi binafsi? Anakosa jibu maana hakuna hata siku moja ambayo kakosa anachikitaka kwa matumizi ya mwezi mzima. Ila ndo hivo hamridhiki mpaka muoneshwe pesa mkononi.Shida kama anakuhudumia ipasavyo wewe hayo hayakuhusu mwache na hela zake
Kikubwa malengo au mipango mikakati ya maisha yenu lazima uyajue haya kama huyajui mume anaamka anaamua tu anafanya nn anaenda site mwenyewe hakushirikishi hili ndio tatizo na sio kipato chake.
Kuna mwanamke asiyedanga?! Ukiamini basi siku ya kujuwa lazima ufe kwa pressure tuMkeo hudanga pole sana
Hahahahaha daaah[emoji38][emoji38][emoji38]Wanawake wanapenda control.
Akizijua pesa zako lazima atashika usukani na huwezi zuia sababu papuchi yake ni tamu sana.
Sasa utajikuta tu hata ndugu hutasaidia, rafiki hutakopesha bila kuamuandikia yeye proposal yenye sababu za msingi ni kwann unataka kufanya unalofanya.
Akijiliza liza akakukatikia halafu akaanza kuzipangia matumizi mtajikuta tu nyie ni mwili mmoja.
Afahamu 75% inatosha hii 25% ni kwa ajili yangu na ndugu zangu pengine na kusaidiana na marafiki wakipata tatizo.
Mashost wasimcheke unafikiri mchezo lazima akinukisheMwaka juzi nilimshirikisha wife kwenye project moja bahati mbayà nikipata loss ya milioni kadhaa, ilikuwa hatari yaani wife alipiga kelele nikakosa amani, mwaka huu sijamshilikisha na nimepata loss kubwa zaidi ila nipo na furaha tu, na nimepanga sitamshirikisha tena
Ahaaaahaaahaaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23]Wakuda wanawaza sisi tukifa tuuu....kufeni nyie kwanza
Wewe ni mwanaume kamili...si haya mapoyoyo hayajui nafasi ya mwanamke!Sio wote mimi kwa mke wangu anajua kila kitu.hadi nikikosa anajua mana ntakuwa nimenuna siku nzima sina raha.ukiwa na mke anaejua maisha bora kumshirikisha kuliko kujifanya mbinafsi...rejea jamaa alieokota nyumba bunju.!!! Mume anagemshirikisha mkewe nyumba isingepotea baada ya kufa.kawanyima watoto haki yao.
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Haahaaahaaa[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]Mimi nakumbuka kipindi naanza ajira matumizi binafsi ndani kwa mwezi laki 6 inaisha na hapo tunaishi mbali yeye town mimi bush kwenda mjini mara moja moja, nikajitoa kumfungulia biashara ya kama Milioni 6 hivi duka la nguo akaanza kunambia rafiki zake wanamshangaa kasoma ila anauza duka la nguo miezi 6 baadae biashara ikafa hakuna pesa wala nguo zilizopo kumuuliza eti kakopesha aliowakopa wamekimbia.
Hahaha hataree sana[emoji23]Hahahahaaa wapare hataree endlea kutafuta utampata anaemilik bank