Kwanini wanaume waliotalaka wake zao, hutumia watoto wao kutongoza wanawake wapya? Je wanakuwa wanapenda au ni matapeli tu?

Kwanini wanaume waliotalaka wake zao, hutumia watoto wao kutongoza wanawake wapya? Je wanakuwa wanapenda au ni matapeli tu?

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Dada: money penny nisaidie

Money penny: ndio boss

Dada: nimekutana na kaka mmoja, juzi ijumaa, tukaanza kuchat akasema anatafuta mke wa kuoa

Money penny: ndio boss

Dada: tumeongea kwa simu for hours siku ya kwanza, jioni yake akampa simu mwanae anisalimie tukaongea na mwanae muda wa dk 15,

Kesho yake tukaanza kupigiana simu kwa whatsapp, nikamwona sura yake, anapoishi, yeye alishaachana na mkewake kwa talaka

Ila leo siku ya 3 akawa ananipigia video yuko kifua wazi, mara kwenye mashuka, mara namimi nivue nguo nikamkatalia, nikamwambia mpaka anioe ndio nampa utamu, naona amepunguza simu hapigi tena

Sasa sijaelewa huyu mwanaume alinipenda kweli, alitaka kunioa au ni tapeli?

kwanini wanaume waliotalaka wake zao, hutumia watoto wao kutongoza wanawake wapya?!

Haya wenye experience ya kutongozwa na ma dirvocee mje mumsaidie dada wa watu. Afanyaje?
 
Sio Wanaume wote huwatumia watoto wao kama kigezo cha kutongozea Wanawake lakini kuna baadhi ya Wanaume hufanya hivyo kwa sababu zifuatazo

1. Kuvutia wanawake wenye huruma:

Wanaume wanaweza kutumia watoto wao kama njia ya kuvutia wanawake wenye hisia za huruma na upendo kwa familia. Kwa kuonyesha kuwa wanajali watoto wao, wanaweza kumvutia mwanamke anayependa watoto au aliye tayari kuwa na familia.


2. Kuonyesha uwajibikaji:

Baadhi ya Wanaume huwatumia watoto kuonyesha kuwa wao ni watu wanaowajibika na wanajali familia zao. Wanapojitokeza kama baba wanaowajibika, wanaweza kuvutia wanawake wanaotafuta wenza wanaojali majukumu ya kifamilia.

3. Kutafuta mwanamke atakayewasaidia kulea watoto:

Wanaume wengine wanaweza kutafuta mwanamke atakayechukua nafasi ya mama wa watoto wao kwa lengo la kuwasaidia kulea na kutoa malezi bora kwa watoto. Hivyo, wanatumia watoto kama sehemu ya kujenga uhusiano mpya ili kumtafuta mwanamke anayekubali wajibu huo.

Money Penny Sina muda wa kuandika mengi lakini hayo ni baadhi tu.
 
Sio Wanaume wote huwatumia watoto wao kama kigezo cha kutongozea Wanawake lakini kuna baadhi ya Wanaume hufanya hivyo kwa sababu zifuatazo

1. Kuvutia wanawake wenye huruma:

Wanaume wanaweza kutumia watoto wao kama njia ya kuvutia wanawake wenye hisia za huruma na upendo kwa familia. Kwa kuonyesha kuwa wanajali watoto wao, wanaweza kumvutia mwanamke anayependa watoto au aliye tayari kuwa na familia.


2. Kuonyesha uwajibikaji:

Baadhi ya Wanaume huwatumia watoto kuonyesha kuwa wao ni watu wanaowajibika na wanajali familia zao. Wanapojitokeza kama baba wanaowajibika, wanaweza kuvutia wanawake wanaotafuta wenza wanaojali majukumu ya kifamilia.

3. Kutafuta mwanamke atakayewasaidia kulea watoto:

Wanaume wengine wanaweza kutafuta mwanamke atakayechukua nafasi ya mama wa watoto wao kwa lengo la kuwasaidia kulea na kutoa malezi bora kwa watoto. Hivyo, wanatumia watoto kama sehemu ya kujenga uhusiano mpya ili kumtafuta mwanamke anayekubali wajibu huo.

Money Penny Sina muda wa kuandika mengi lakini hayo ni baadhi tu.
Wenzio wanahisi kuwa wametegewa watoto ili wakachapwe na kuachwaaa
Yaani
Unaaminishwa kama ulivyoqndika alafu unapigwa chini
 
Dada: money penny nisaidie

Money penny: ndio boss

Dada: nimekutana na kaka mmoja, juzi ijumaa, tukaanza kuchat akasema anatafuta mke wa kuoa

Money penny: ndio boss

Dada: tumeongea kwa simu for hours siku ya kwanza, jioni yake akampa simu mwanae anisalimie tukaongea na mwanae muda wa dk 15,

Kesho yake tukaanza kupigiana simu kwa whatsapp, nikamwona sura yake, anapoishi, yeye alishaachana na mkewake kwa talaka

Ila leo siku ya 3 akawa ananipigia video yuko kifua wazi, mara kwenye mashuka, mara namimi nivue nguo nikamkatalia, nikamwambia mpaka anioe ndio nampa utamu, naona amepunguza simu hapigi tena

Sasa sijaelewa huyu mwanaume alinipenda kweli, alitaka kunioa au ni tapeli?

kwanini wanaume waliotalaka wake zao, hutumia watoto wao kutongoza wanawake wapya?!

Haya wenye experience ya kutongozwa na ma dirvocee mje mumsaidie dada wa watu. Afanyaje?
Jifunze namna bora ya uandishi.
Usitumie general term kutoka kwenye sample ambayo huenda hata hawafiki watu watano out othe Male population world wide ambayo inaweza kuwa na watu karibu 3+/4bilion

Tumia neno Baadhi
 
Jifunze namna bora ya uandishi.
Usitumie general term kutoka kwenye sample ambayo huenda hata hawafiki watu watano out othe Male population world wide ambayo inaweza kuwa na watu karibu 3+/4bilion

Tumia neno Baadhi
Katika kumjibu post #9 nimemwambia ana generalize sana issues
 
Jibu ni rahisi sana. Akitumia mtoto wake, wewe dada utadhani huyu mtu yuko serious kabisa kunioa ndiyo maana anaanza hata kuwashirikisha watoto wake. Ni kama tapeli anavyokuonyesha simu ya kweli halafu ukiipenda anakubadilishia. Sasa mimi nina swali kwako.
 
Jifunze namna bora ya uandishi.
Usitumie general term kutoka kwenye sample ambayo huenda hata hawafiki watu watano out othe Male population world wide ambayo inaweza kuwa na watu karibu 3+/4bilion

Tumia neno Baadhi
Bado hujamsaidia mwenye shida yake
Acha mbwembwe
 
Katika kumjibu post #9 nimemwambia ana generalize sana issues hivi we Money Penny mbona unawadharau na kuwaona Wanaume kama Vikaragosi wakati hao hao ndio wanaokufanya ujisikie vizuri. Punguza hisia mbaya kuwalekea Wanaume
Uzi 1 sasa nachukua wanaume
Uzi 1 sasa nina hisia mbaya na wanaume
Makubwa
Acha mawenge nyau wewe
 
Back
Top Bottom