Kwanini wanaume waliotalaka wake zao, hutumia watoto wao kutongoza wanawake wapya? Je wanakuwa wanapenda au ni matapeli tu?

Kwa mara ya kwanza mwanaume amejibu swali, sio Manyanza Na ScaniaR wanambwela mbwela tu hapa
 
Nimemjibu kama alivyojibu huyu kaka
Manyanza
 
🤣🤣🤣
Acha basi kuwa na hisia negative kuwaelekea Wanaume sasa ukiwa kama mtoa ushauri inatakiwa uwe unasikiliza zaidi na kuwa na tafakuli ya mambo.
Sinaga kabisa
Usiniwekee maneno mdomoni kwa ukweli ulioandikwa kwa uzi
Au unalalamika tumeshajua mbinu zenu ziko hewani
 
Jifunze namna bora ya uandishi.
Usitumie general term kutoka kwenye sample ambayo huenda hata hawafiki watu watano out othe Male population world wide ambayo inaweza kuwa na watu karibu 3+/4bilion

Tumia neno Baadhi
 
 
Tapeli tu huyo. Ila nayeye amezidi mapema hivi anakutambulisha mwanae🚩 🚩

'ke tunahusisha wababa wanaokuwa karibu na watoto wao na tabia ya ku-care. Na kuna ambao ukiwa nao ndio ticket ya kukimbia, hawataki kudeal na baby mama
 
Tapeli tu huyo. Ila nayeye amezidi mapema hivi anakutambulisha mwanae🚩 🚩

'ke tunahusisha wababa wanaokuwa karibu na watoto wao na tabia ya ku-care. Na kuna ambao ukiwa nao ndio ticket ya kukimbia, hawataki kudeal na baby mama
Yani wewe umeongea point kabisa
Sio kichwa maji Manyanza
 
Tapeli tu huyo. Ila nayeye amezidi mapema hivi anakutambulisha mwanae🚩 🚩

'ke tunahusisha wababa wanaokuwa karibu na watoto wao na tabia ya ku-care. Na kuna ambao ukiwa nao ndio ticket ya kukimbia, hawataki kudeal na baby mama
 
😏😏😏
Kichwa maji how ???
Unataka mtu atoe maoni ambayo unayataka mwenyewe ??? So there was no need to mention me on your thread
 
Tapeli tu huyo. Ila nayeye amezidi mapema hivi anakutambulisha mwanae🚩 🚩

'ke tunahusisha wababa wanaokuwa karibu na watoto wao na tabia ya ku-care. Na kuna ambao ukiwa nao ndio ticket ya kukimbia, hawataki kudeal na baby mama
 
Aiseeeh! Unblock namba yangu nikutwangie video kwanza,vibaya hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…