Mr kenice
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 4,260
- 7,033
Cover the truth with your opinion.How old are you to come up with this ridiculous post/inquiry??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cover the truth with your opinion.How old are you to come up with this ridiculous post/inquiry??
So solution is...Akiona tarehe za mshahara gesi yake inaisha, luku inaisha, baba anaumwa, mdogo wake anataka nauli aje amtembelee, anataka kusuka na kubandika makucha ya kunguru, bando lake linaisha, anadaiwa kikoba, anaona gauni zuri etc. WTF?!!!
Kiufupi dada poa ni mfumo wa plug and play.Ni wazuri sana kama haupendi maisha ya kitoto toto na drama za kijinga jinga. Kwa watu tunaopenda amani ya moyo na ku concentrate kwenye mambo mengine ya msingi wanatuokoa sana.
- Dada poa hawaombi hela ya Gesi wala wazazi wao hawaumwi ghafla pale utakapo onyesha nia ya kuhitaji kipochi manyoya.
- Hawana usumbufu kwenye suala la budget huwa wana Price tag kabisa.
- Baada ya kukupatia huduma hana usumbufu wa kukutumia meseji wala kukupigia simu za kukuuliza 'umekula baby?', 'ulikuwa wapi?', 'ulikua unaongea na nani?'.
- Next time hata mkikutana ukiwa na demu mwingine yeye hana noma, atakupa hi tu.
Elezea zaidi...wakati u spending money hukoTuna nunua sababu ya ugumu wa maisha
Tunaweza boresha mfumoProcess ya kupewa ni ndefu... nunua
Kuna utofauti gani kati ya mchepuko na dadapoaSawa michepuko ipo...why dada poa
So what's the solution kwa mademu zetuKiufupi dada poa ni mfumo wa plug and play.
Hawana after purchase maintanance costs.
Naongelea dadapoa as in no communication no wat fika kula lipa tembea..hamjuaniKuna utofauti gani kati ya mchepuko na dadapoa
Kila mtu apambane na hali yake, watao enjoy madada poa waendelee kukodisha. Wale ambao wanapenda mahaba waendelee kuhudumia mademu zao kwa kila kitu wakitoswa watiane visu vya shingo 😁😁😁So what's the solution kwa mademu zetu
Hizo logistics nani kakudanganya 😄Naongelea dadapoa as in no communication no wat fika kula lipa tembea..hamjuani
🤣So kila mtu ashinde mechi zake.. Aya lakini I believe tunaweza tengeneza mahusiano mazuri Katika jamii zetu na umalaya ukaisha ila tamaa, uvivu na ego ndo inatuuaKila mtu apambane na hali yake, watao enjoy madada poa waendelee kukodisha. Wale ambao wanapenda mahaba waendelee kuhudumia mademu zao kwa kila kitu wakitoswa watiane visu vya shingo 😁😁😁
We umeelewa ryt?Hizo logistics nani kakudanganya 😄
No communication bei wanafikiana vipi sasa
Aliye kuambia dadapoa hawajuani na watu ni nani watu wanatumiwa hadi usafiri wa ndege wakutane mbugani huko
Simply hawataki mahusiano.Habari wanajukwaa
Kama mnavyoiona swali Katika kichwa hicho Cha habari. Hili ni swala serious sana na watu hulikemea na kutafuta suluhisho bila kujua tatizo
Kila siku tunaskia mara dadapoa wamekamatwa wapi cjui...ila hatujiulizi why wanaongezeka badala ya kupungua.
Naamini Katika maisha Kuna demand side na supply side. Ukisema uzuie dadapoa unakuwa hujasolve tatizo la wanaotumia hao dadapoa.
So inabidi tuulize, why wanaume hutumia dadapoa. Siulizi kusema vibaya mtu yoyote, coz tunatofautiana Imani, mapenzi, hisia, mitazamo etc. na kutumia dadapoa ni kama kupiga puli hamna mwanaume atakubali ila ndo wengi hufanya kwa siri. ..
Sipo hapa kujua nani anafanya nini Nataka nipate Sababu tu zinazodhaniwa kufanya wanaume kufata dadapoa. Kwanzia watoto mpaka wababa wenye wake na watoto...madadapoa wengine wana wateja mpaka watano kwa siku...
Kwa nini na Kuna mademu mitaani, maofisini, vyuoni, nyumbani nk...
Sababu zinazosemwa ni
Kutoridhika na mahusiano au ndoa
Mapenzi siku hizi ni gharama so hamna tofauti na kununua dadapoa
Wengine hawaenjoy mademu normal wanapenda mambo mazuri mazito
Na kadhalika
So wanajukwaa...waume kwa wakike
Why why why
Naomba majibu
Huhitaji maneno mengi unamwambia nataka dudu atakwambia kiasi ukiwa nacho unapewa no other stories hahahaHabari wanajukwaa
Kama mnavyoiona swali Katika kichwa hicho Cha habari. Hili ni swala serious sana na watu hulikemea na kutafuta suluhisho bila kujua tatizo
Kila siku tunaskia mara dadapoa wamekamatwa wapi cjui...ila hatujiulizi why wanaongezeka badala ya kupungua.
Naamini Katika maisha Kuna demand side na supply side. Ukisema uzuie dadapoa unakuwa hujasolve tatizo la wanaotumia hao dadapoa.
So inabidi tuulize, why wanaume hutumia dadapoa. Siulizi kusema vibaya mtu yoyote, coz tunatofautiana Imani, mapenzi, hisia, mitazamo etc. na kutumia dadapoa ni kama kupiga puli hamna mwanaume atakubali ila ndo wengi hufanya kwa siri. ..
Sipo hapa kujua nani anafanya nini Nataka nipate Sababu tu zinazodhaniwa kufanya wanaume kufata dadapoa. Kwanzia watoto mpaka wababa wenye wake na watoto...madadapoa wengine wana wateja mpaka watano kwa siku...
Kwa nini na Kuna mademu mitaani, maofisini, vyuoni, nyumbani nk...
Sababu zinazosemwa ni
Kutoridhika na mahusiano au ndoa
Mapenzi siku hizi ni gharama so hamna tofauti na kununua dadapoa
Wengine hawaenjoy mademu normal wanapenda mambo mazuri mazito
Na kadhalika
So wanajukwaa...waume kwa wakike
Why why why
Naomba majibu
Duu hayaSimply hawataki mahusiano.
Duu so unataka tuwe hivi alwaysHuhitaji maneno mengi unamwambia nataka dudu atakwambia kiasi ukiwa nacho unapewa no other stories hahaha
Mi mwanaume weweNyie mnatudownload sana lkn mgodi hatuchimbi,tukiwatongoza hamkatai ila Ndiyo ujiandae uwe Father house lkn mgodi hupewi kwa wakati, mara nyingi tunawaacha tu
Ndiyo ukweli mnahudumiwa lkn mapoz nam mapoz nawe!, We learn through mistakes, unashangaa mtu pruuu! km ndege ambaye hana manyoya ya kutosha yaani harudi tenaMi mwanaume wewe
Mkabidhi Yesu yehova yire maisha yakoSo solution is...