Kwanini wanaume wananunua dada poa?

Kwanini wanaume wananunua dada poa?

So issue nzima ni wadada ni expensive na wana drama?
Hapana Gharama sio issue, issue ni pale unapotaka kuleta gharama kwa sababu ambazo hazina mashiko, hilo kwangu huwa nalichukulia ni kama unadharau utashi wangu (insulting my intelligence) so ni vyema niende kwa anayekuja na gharama zake mezani tu bargain tufunge biashara katika hali ya win-win situation.

Kuliko nipoteze muda kukutongoza alafu nikiomba game uanze kuja na story za luku imekata, mara hauna gesi etc. Naweza kugharamia vyote hivyo but not at the expense of 'Insulting my intelligence', ni bora niende kwenye huduma za kulipia moja kwa moja
 
Habari wanajukwaa
Kama mnavyoiona swali Katika kichwa hicho Cha habari. Hili ni swala serious sana na watu hulikemea na kutafuta suluhisho bila kujua tatizo
Kila siku tunaskia mara dadapoa wamekamatwa wapi cjui...ila hatujiulizi why wanaongezeka badala ya kupungua.
Naamini Katika maisha Kuna demand side na supply side. Ukisema uzuie dadapoa unakuwa hujasolve tatizo la wanaotumia hao dadapoa.
So inabidi tuulize, why wanaume hutumia dadapoa. Siulizi kusema vibaya mtu yoyote, coz tunatofautiana Imani, mapenzi, hisia, mitazamo etc. na kutumia dadapoa ni kama kupiga puli hamna mwanaume atakubali ila ndo wengi hufanya kwa siri. ..
Sipo hapa kujua nani anafanya nini Nataka nipate Sababu tu zinazodhaniwa kufanya wanaume kufata dadapoa. Kwanzia watoto mpaka wababa wenye wake na watoto...madadapoa wengine wana wateja mpaka watano kwa siku...
Kwa nini na Kuna mademu mitaani, maofisini, vyuoni, nyumbani nk...
Sababu zinazosemwa ni
Kutoridhika na mahusiano au ndoa
Mapenzi siku hizi ni gharama so hamna tofauti na kununua dadapoa
Wengine hawaenjoy mademu normal wanapenda mambo mazuri mazito
Na kadhalika

So wanajukwaa...waume kwa wakike
Why why why
Naomba majibu
Huo ndio uhalisia wa "missing gap" na kwa kifupi kabisa naweza kusema hivyo.
 
Tutake radhi wanunuzi wa dada poa na pia tutake radhi wapiga nyeto..

Hivyo vitu viwili vina utofauti, kwanini useme ni sawa??

Kuna shida gani mtu akinunua dadapoa? Mnasaidiwa afu bado mnakuja kuwananga mitandaoni, serikali yako tu inaona umuhimu wa hawa watu ndio maana imewaacja mpaka kesho.
 
Tutake radhi wanunuzi wa dada poa na pia tutake radhi wapiga nyeto..

Hivyo vitu viwili vina utofauti, kwanini useme ni sawa??

Kuna shida gani mtu akinunua dadapoa? Mnasaidiwa afu bado mnakuja kuwananga mitandaoni, serikali yako tu inaona umuhimu wa hawa watu ndio maana imewaacja mpaka kesho.
Usiwe na hasira nimeuliza nipate majibu
 
Hapana Gharama sio issue, issue ni pale unapotaka kuleta gharama kwa sababu ambazo hazina mashiko, hilo kwangu huwa nalichukulia ni kama unadharau utashi wangu (insulting my intelligence) so ni vyema niende kwa anayekuja na gharama zake mezani tu bargain tufunge biashara katika hali ya win-win situation.

Kuliko nipoteze muda kukutongoza alafu nikiomba game uanze kuja na story za luku imekata, mara hauna gesi etc. Naweza kugharamia vyote hivyo but not at the expense of 'Insulting my intelligence', ni bora niende kwenye huduma za kulipia moja kwa moja
Okay nimeelewa asa mademu nao wakiamua kuwa direct yaani unalipa unapewa Kuna tofauti Gani na hao malaya
 
Kila mwanamke ni dada poa, isipokua tu yule anayeingia kwenye mahusiano asitake hela ya mwanaume, ila kama wewe ukiingia kwa mwanaume siku unaenda kwake yeye ndo akusafirishe, akuvishe, akulishe hauna tofauti na dada poa.
Okay ila umeelewa nachomaanisha na tofauti unaijua...so plz answer accordingly
 
So unataka mademu wawe kama Malaya
Demu aliyepoteza bikra yake kwa kupenda kwake anatofauti gani na malaya?. BTW Wacha niingie viwanjani, vyombo vikikolea naweza kuja kuendelea kubishana.

Kwa muda huu unaweza endelea kuchakata maoni ya mdau hapa
Wanawake wote hata mkeo ni dadapoa, utofauti ni jinsi wanavojiuza. Sasaiv wameboresha inaitwa hookup lkn mwendo ni ule ule. Mwanamke ambaye unalala nae kwa lengo umpe chochote k2 ni dadapoa, hata mchepuko wako na hao mademu mtaani na maofisini. Naomba kuwasilisha. # No malice to anybody
 
Back
Top Bottom