Kwanini wanaume wengi hawajui kufikisha wanawake zao kileleni?

Kwanini wanaume wengi hawajui kufikisha wanawake zao kileleni?

Da candy kwani kuna tatizo?? Hebu endelea kufundisha somo la wapenzi niko hapa nakusikiliza 😜
Ni laki 5 oral na practical ni 1ml unaandika unaona picha zake una study kama darasani vile halafu nakupa somo la practical na wanaume wanaojiweza vizuri wanakuonyesha kwa practical uhalisia yote niliyokuwa nakufunda kama umesahau somo unamcheck mnarudia tena
 
Ni laki 5 oral na practical ni 1ml unaandika unaona picha zake una study kama darasani vile halafu nakupa somo la practical na wanaume wanaojiweza vizuri wanakuonyesha kwa practical uhalisia yote niliyokuwa nakufunda kama umesahau somo unamcheck mnarudia tena
Kwasababu we mzoefu iko kitengo mi ntakaa pembeni na filimbi km refa nikiwashuhudia miamba mkimenyana ulingoni huku naandika notes 🤣🤣🤣🤣🤣
Hapo vipi da candy?? 😜
Umeona itakavyokuwa pambe
 
Anti: unajua money penny, nimwambie kitu?

Money penny: ndio

Anti: unajua wanaume wengi hapa mjini hawajui kufikisha wanawake zao kileleni. Wengi hawajui G spot ya mwanamke iko wapo. Hawajui kukojoza wanawake zao

Yani wanaume anakupanda Tu kama gari ya mwendo Kasi, akishamaliza yeye anajiona kidume.

Hivi kwanini wanaume wengi hawajui kufikisha wanawake zao kileleni?

Shida iko wapi?
Nimesema heading to na kupata hitimisho. Kama nakulipa why should I bother kupeleka pale, nikikojoa deal done. Sitaki matumizi mabaya ya nguvu.
 
Back
Top Bottom