Kwanini wanaume wengi hawajui kufikisha wanawake zao kileleni?

Kwanini wanaume wengi hawajui kufikisha wanawake zao kileleni?

Kasema eti yy ndo mentor wako na kapania akufundishe mpk umchukue tayana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila kashindwa battle hana hamu, bora muende kwenye siasa tyuuu!!
Nimeona comment yako unavyofagilia kukupa disha juu ya kilele. Namsubiri aje aanze kusema mambo ya mshindo sijui umafika mara 10. 😁🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Wanajua tena sana. Sema tu hawataki. Ungeuliza kwa nini wanaumiza wanawake. Bei iwe juu, biya wamekunywa, msosi wamefakamia,gharama kama za TRA,af tena na burudani. Hapana. Nakataa.

Kwanza mkiona wote ni hivyo,jitafakalini🤣🤣🤣🤣
 
Bora lawama kuliko kunyonya Papa manake kwa kuvutana tu huwezi ikomoa Manati.
 
Huwezi kufika kileleni km akili na mwili wako havijapanga kufika kileleni, vitu vingine wanawake na sie tunajiendekeza.
Inatakiwa umpe ushirikiano wa kutosha huyo anayekufikisha kileleni sio umebweteka.
Gogo linataka lipandishwe mlimani mpaka kileleni, litaishia kulalia udongo na kuliwa na mchwa tu.
 
Baada ya kugundua kuwa mwanamke kufika kileleni sio jukumu langu, bali ni lake...niliacha kuwaza huo ujinga kabisa,...hutaki kufika kileleni hiyo mi hainihusu,utakapohitaji kufika utaenda mwenyewe....
 
Anti: unajua money penny, nimwambie kitu?

Money penny: ndio

Anti: unajua wanaume wengi hapa mjini hawajui kufikisha wanawake zao kileleni. Wengi hawajui G spot ya mwanamke iko wapo. Hawajui kukojoza wanawake zao

Yani wanaume anakupanda Tu kama gari ya mwendo Kasi, akishamaliza yeye anajiona kidume.

Hivi kwanini wanaume wengi hawajui kufikisha wanawake zao kileleni?

Shida iko wapi?
Tugawane majukumu mkitaka sex nzuri punguzen kuomba pesa nasi tutawapa sex nzuri
 
Back
Top Bottom