Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha hahaha hahapole mama..inaonekana type zako ni zile za hovyo hovyo ungekuwa unapata wanaume wa level za juu usingekutana hizo kash kash. ndege wa rangi moja huruka pamoja.
Aiseee...hahaha ...watu mnavisaMwanaume mzima unaanzaje kujishika shika matako eti unapaka mafuta.. Unataka kua na tako laini kama dada yako!?
Sasa na wewe makalio yapakwe mafuta ili yaweje?Kweli kabisa hawapaki mafuta hasa kwenye makalio wamepauka balaaa na inapelekea ukurutu chini ya uvungu wa makendeee
Ushauri wangu watumie mafuta ya nazi kwa suluhisho lao.
Hahahaaaa. Lol.Wewe jinsia gani kwanza?
Hivi mafuta ya Nazi ni ya mwili mzimaKweli kabisa hawapaki mafuta hasa kwenye makalio wamepauka balaaa na inapelekea ukurutu chini ya uvungu wa makendeee
Ushauri wangu watumie mafuta ya nazi kwa suluhisho lao.
Hahahaha kazi kweliMimi mafuta ni usoni na mikononi tu, nitapaka miguuni nikivaa pensi tu vinginevyo imetoka. Asili ya mwili wangu sehemu nitakayoifunika na nguo haipauki hata nisipopaka kitu.
Ila pamoja na hayo kuna maeneo mwanaume ni haramu kupaka mafuta, ukipaka tutaweka shaka juu yako.
[emoji15] Kabisaa unalipaka kalio lako mafuta ili iweje?
Lilainike?
Kwa manufaa ya nani anayevutiwa nalo?
[emoji34] Atakayevutiwa nalo maana yake yupo mgongoni mwako, anafanya nini?
Lazima tukutilie shaka wanaume wenzako
Hahaha hatari sana dadakeHahahaaaa. Lol.
Mafuta mafuta, kina anti fulani ndiyo huanza hivyohivyoHahahaha kazi kweli
😀😀😀😀😀 hiii nimecheka sana..hahahahHivi mafuta ya Nazi ni ya mwili mzima
Hahahaha ngoja nicheke tuSasa na wewe makalio yapakwe mafuta ili yaweje?
Mengine mtuachie wenyewe jamani
Yes mafuta mazur sanaHivi mafuta ya Nazi ni ya mwili mzima