Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili yaweje?Hahahaha ngoja nicheke tu
Yang'aeeeeIli yaweje?
Yakishang'aa yaonekane na nani?Yang'aeeee
Nipake mafuta makalio ili nigundue ninj eti.Kweli kabisa hawapaki mafuta hasa kwenye makalio wamepauka balaaa na inapelekea ukurutu chini ya uvungu wa makendeee
Ushauri wangu watumie mafuta ya nazi kwa suluhisho lao.
Hapana wewe sio mwanaumeMwanaume
Poleni na ugumu wa maisha… Hapa kazi tu !
Wanaume mpo ?
Kuna kasumba fulani kwa wanaume wengi hapa Tanzania.
Wakioga hawapwndi kabisa kupaka mafuta na hata akipaka anapajipaka usoni tu na mikononi halafu anaishia mtaani kiroho safi. Anakula suti yake na tai kumbe huko ndani ukimcheck amepauka kinoma mpaka ngozi imekakamaa.
Na hawapendi kabisa kuvaa nguo za ndani.
Ni kwamba huwa wana haraka sana ama wanaogopa mafuta yanawaunguza huko ndani? Au wakivaa nguo za ndani watababuka kwenye joints za mapaja ?
Mwanaume akiumwa ama akapata ajali akawa hajitambui halafu akaenda hospital utastaajabu ya Musa…
Kukata kucha huwa kazi sana.
Kuvaa nguo za ndani kuna tatizo gani ? Kupaka mafuta vizuri mwili mzima ukanawili nini shida?
Badilikeni maana mnachana mashuka na kukwangua wake zenu…
Ukimaanisha ni hatari kwa afya kukaa na mimi au!?..hahaha...."" Muache demi wetu aisee..."" wewe ukiingia " mimi naomba pooohh najitoa..
kabisaaa"" hahaaa"" kuanzia hapo nitakuwa na vaa protection tatu " tatu "..Ukimaanisha ni hatari kwa afya kukaa na mimi au!?..
Utavaa na mdomon nini!?..😀🙂kabisaaa"" hahaaa"" kuanzia hapo nitakuwa na vaa protection tatu " tatu "..
hahaha...dadeq ...naagiza oder ya hiyo kitu China ..hawashindwi kitu wale aisee..""..Utavaa na mdomon nini!?..😀🙂
Nielimishe basi mkuu😀😀😀😀😀 hiii nimecheka sana..hahahah