Kwanini wanaume wengi wa kitanzania hawapendi kupaka mafuta na kuvaa nguo za ndani ?

Pole sana...

Inaonekana hizo nguo wanazovaa ni transparent mpaka unawaona...


Jaribu kubadili type ya wanaume...


Cc: mahondaw
 
Kama mme wako havai nguo za ndani na hapaki mafuta ni yeye usiingize wanaume wote
 
nipake mafuta ili iweje tako ilainike au? ila boxer lazma ila so chupi
 
Kweli kabisa hawapaki mafuta hasa kwenye makalio wamepauka balaaa na inapelekea ukurutu chini ya uvungu wa makendeee

Ushauri wangu watumie mafuta ya nazi kwa suluhisho lao.
Nipake mafuta makalio ili nigundue ninj eti.
 


Wenyewe wanasema hawapendi kuvaa chupi kwa sababu wanajiandaa na lolote litakalotokea.
 
duh!
siku zote nilikuwa najuaga wewe ni ME
 
Upake mafuta makalionii yanafuata nini.....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…