Kwanini wanaume wengi wanaoendeshwa na wake zao hupenda kujionyesha vijogoo wakati ni tetea?

Kwanini wanaume wengi wanaoendeshwa na wake zao hupenda kujionyesha vijogoo wakati ni tetea?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Wanangu, huwa sipendi kuchangia wala kujadili mambo ya ngono na mambo binafsi. Ila baada ya kusoma nyuzi nyingi za wanaume wanaobemendwa na wake zao wakijifanya vijogoo, nimeamua lau leo niulize. Kuna nyuzi nyingi za kuwakandia na kuwaonyesha wanawake kama viumbe wa ajabu na dhaifu. Nahisi wengi wanaoleta nyuzi kama hizi ni wahanga wanaolipiza kisasi bila kutaka kujulikana kuwa ni wahanga. Nashauri waache. Imetosha. Tushaona na kujua mateso yao na tunawapa pole.
 
Ktk Maisha yangu, nimewai Kuishi na mwanamke anapenda kugombana, Niliona hiyo hali ya kugombana Kila mara, niimpa tu taarifa kua mda si mrefu tutachana, akaulizia Mali nikamwambia tutagana,sitaki usumbufu ktk Maisha nikamuacha nikaendelea na Maisha yangu.
 
Back
Top Bottom