Kwanini wanaume wenye matatizo ya nguvu za kijinsia huwa wakali mno na wakati mwingine wanakua wanyonge na wenye mfadhaiko sana?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kwa mfano pakiwekwa mada au pakianzishwa mjadala unaohusu matatizo ya nguvu za kijinsia, udhaifu katika tendo la ndoa, matatizo ya afya ya uzazi, magonjwa ya zinaa, athari za punyeto na mambo mengine yanayofanana na haya,

Mtu huyo anakua mkali sana au anajifanya mtakatifu mno na kwamba linalojadiliwa ni dhambi au uchafu, kumbe bana jamaa hana hisia, mambo yake yalishalegea na kupoa kabisaa, network haishiki kabisaaa, anaskia kwa watu tu habari ya mgegedo.

Wengi hukimbilia kujificha kwa kulambalamba nyuchi kumba hawana khabari huko chini, chubulu ni legevu haiendi hewani.

Nini huwafanya wawe wakali au watakatifu kihivyo?πŸ’
 
Huyo mumeo atakuwa ana mchepuko nje bibie,kwahiyo nguvu nyingi anamaliza huko, pole sana bibie
 
 
Kumbe wewe ni KE πŸ€’πŸ€’πŸ€’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…