the numb 1
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,562
- 2,902
- Thread starter
-
- #181
Kwa nini Wanaume uchagua wanawake wenye sura nzuri, maumbo mazuri na wenye kuvaa vizuri? Ukijibu hili swali, pia utakuwa umejibu unalouliza.
Mwamba umesema kweli, mie kuna mmoja nilimpotezea baada ya kunitumia booking ya Overhang, $ 150 per night ndo twende huko.
Sio kwamba siwez kulipa but nilijiuliza mengi sana… maana kila mwezi mshahara wake huwa haumtoshi kuishi na ataomba support ya matumiz kwangu, then bila ya aibu akataka niende kuchoma 350,000 just for a room for one night and this price is excluding chakula na vinywaji… kwa kweli nilimuona boya na limbukeni kabisa.
Safi sana baharia.. mi kuna demu niliachana nae alipodai anataka nimpeleke self container wakati nishapata chumba cha bei chee, 4000.. chumba hapa, choo na bafu mita 30.. alipoanza kuleta masharti nikasepa.. hawa wa short time wapunguze masharti..
Hili kosa usije ukalirudia maishani mwako. Baharia hapangiwi location na demu. Shika hii utakuja kunishukuru.
Huyo demu lengo kuu la hotelini ni kuwatambia snapchat kuwa kapata boya wake anae mcare[emoji28] hadi insta asingewaacha salama[emoji28]
Samahani kidogo,
Hivi ule mzigo huwa mnakata kipande kidogo mnaondoka nacho au anabaki nao mwenyewe?
Ni ujinga kumwachia changudoa akutawale.Hivi inakuaje unaekeana appointment na mwanamke wewe upo kazini anakuambia ameshatangulia sehemu husika halafu hiyo ndio mara ya kwanza kukutana kwa ajili ya show.
Manzi anakupa location unachukua usafiri wako unaibuka mara ghafla mtu kashatangulia reception kubook chumba alaf ni hotelini 150,000 aseh mpk nmepatwa na stroke ya ghafla. Nikajiuliza huyu anajua mfukon niko na shingp!!!!
Nikajaribu kumshawishi tuhamie lodge mbon nmeona sehemu nzuri zaid bei ya kawaida ili tuepushe matumizi yasiyokuw na lazima dem kagoma kabisa kuhama pale.
Nikaona isiwe kesi nikainuka kmya kmy nakusepa katuma msg kibao kauli yangu ile ile tubadilishe eneo tuepushe gharama bado kagoma nimeamua kusepa na kupotezea mzigo
[emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1312] na hapo bado kula kunywa na nauli na umpe ya matumizi 200k hiyoo na zaidi.
Dah, mbona balaa mzee,hiyo hela kwenye Business mtaji huo, doh, kweli ukiendekeza zinaa unafilisika.
Nakupa hongera kwa maamuzi uliyo fanya, upo sahihi, na mara nyingi matukio kama hayo ni kama yana laana, baada ya siku mbili unaitafuta hata buku tano kwa tochi[emoji23][emoji23], hela huioni hasa ukikumbuka ulichoma 150k for only one night, lazma uumie mzee.
Mjini mipango!Probably
Ulikutana na muuzaji.
Iyo unakuta ni hotel Yake ya kupelekea vichwa vyake, yeye kakilipia siku nzima labda laki.
kwa uhakika kwa siku anapata vichwa viwili Kama Wewe.
Anaongea na mhudumu kua kila nikileta mteja sema chumba Ni 150,000.
Ukilipa Iyo pesa anabaki na 100,000 ya juu,
Iyo 50 anampoza mhudumu.
Kwa siku mkipatikana 3, anauhakika wa kuingiza laki 3 kwa chumba TU.
Hapo Bado posho utakayomuachia[emoji4]
Hakika[emoji4][emoji106]Mjini mipango!
Wanawake wa aina yako mara nyingi sana hugongewa kwenye gari! Bisha na wwe kama hujawai,Mungu anakuona hapa!!Hawezi kukupeleka sehemu anayojua huwezi kulipia.
Anajua akikuzoesha kumpandisha nyeunge kila siku atakuwa wa nyehunge miaka yote. Kumbe wengine unawapandishaga ndege yeye unamuona cheap anastahili nyehunge.
Anyway. Kama hiyo hela hauna ondoka ila kama unayo unataka umlaze vyumba vya bei rahisi shindwa na ulegee na ka dushe kako kasifanye kazi.
Nb.kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake. Binafsi huwezi nilaza chumba cha efu 10 wakati nina uwezo wa kujilipia chumba cha elfu 50 na nikalala mwenyewe.
Mnakuwa na hela zenu na mtu anakusubiria reception si angelipa tu kwanza😂tukienda hizo hotel kubwa tunakua na hela yetu umejichanganya tu kukimbia
Ukiwa na million 200 au zaidi bank zinapumua tu hata kulipia 700K per night pale Ramada sio ishu nini 150k bana.Dunian tunaishi mara moja enjoy life 150 sio mbaya km mtoto ananukia vizur ana viwango kimuonekano toa pesa bro ndo matumizi yake ayo
Mwanamke haweZi kukuomba laki km hadhi yako ni elf10 nazan kulingana na hadhi yako au jinsi ulivyojiweka kaona apo ndo panafaa
"Kizuri mimi nimuwazi nakwambia baby mpaka nakuja kwako na mimi kuna gharama nimeingia, zawadi kibao nimekubebea nguo kali nimekubebea zote jumla haviko chini ya laki wewe unilaze vyumba vya buku 20? Hapana baby unatakiwa na wewe kuingia gharama kidogo.its whether tulale hotelini au unipeleke kwako."Mimi sio msanii wale maisha yao ni kujinadi hotelini. Mimi ni mtu wa kawaida ila dunia hii sinaga starehe, situmii pombe, siendagi club, sina starehe yeyote, jan to dec nikogo kwangu -kazini. Sasa imetokea ndo nimekupata badala ya kupata ka starehe kamoja hata mara moja kwa mwaka nibadirishe mazingira unanilaza chumba buku 10? Hapana.
Kizuri mimi nimuwazi nakwambia baby mpaka nakuja kwako na mimi kuna gharama nimeingia, zawadi kibao nimekubebea nguo kali nimekubebea zote jumla haviko chini ya laki wewe unilaze vyumba vya buku 20? Hapana baby unatakiwa na wewe kuingia gharama kidogo.its whether tulale hotelini au unipeleke kwako.
Kama wewe ni mme wa mtu unaogopa nipeleka kwako mme gani huna hata 50 ya hotel? .
Mkuu ukidate mtu msome kwanza jua kama ni anastail hizo gharama ama ni zoa zoa au ni mtu anaejiheshimu?
Mpaka nadate na wewe nakuwa nishajihakikishia kuwa huwezi nipeleka lodge za mothers union.
Mahusiano (read conjugation) ni kwa ajili ya copulation sio kujuana huko.
So yes. Ni kwa ajili ya ndoa.