Kwanini Wanawake hulazimisha kulala na wapenzi wao hoteli za kifahari?

Mwamba umesema kweli, mie kuna mmoja nilimpotezea baada ya kunitumia booking ya Overhang, $ 150 per night ndo twende huko.

Sio kwamba siwez kulipa but nilijiuliza mengi sana… maana kila mwezi mshahara wake huwa haumtoshi kuishi na ataomba support ya matumiz kwangu, then bila ya aibu akataka niende kuchoma 350,000 just for a room for one night and this price is excluding chakula na vinywaji… kwa kweli nilimuona boya na limbukeni kabisa.
 
Safi sana baharia.. mi kuna demu niliachana nae alipodai anataka nimpeleke self container wakati nishapata chumba cha bei chee, 4000.. chumba hapa, choo na bafu mita 30.. alipoanza kuleta masharti nikasepa.. hawa wa short time wapunguze masharti..
 
Hili kosa usije ukalirudia maishani mwako. Baharia hapangiwi location na demu. Shika hii utakuja kunishukuru.
 
Sasa ukikubali nikutongoze si unanipa maujanja?

Ona sasa ninavyofeli feli.

No, Thank you

Na unafeli sana Bibie,, Unataka watu wajuane nini,,? kipi hasa ukijue kwa binadamu uliyemkuta ameishi miaka kibao,, ujue mapepo au? au muigiziane kimtindo kama movie za kihindi...

Au unataka ndoa?
 
No, Thank you

Na unafeli sana Bibie,, Unataka watu wajuane nini,,? kipi hasa ukijue kwa binadamu uliyemkuta ameishi miaka kibao,, ujue mapepo au? au muigiziane kimtindo kama movie za kihindi...

Au unataka ndoa?
Mahusiano (read conjugation) ni kwa ajili ya copulation sio kujuana huko.

So yes. Ni kwa ajili ya ndoa.
 
Hahahahah Chumba cha elfu 10 majanga 😅 hivyo huwa tunapigia short time tu kwa kazi zisizo rasmi.

Personally naona chumba kwenye lodge cha kuanzia 25K-35K its more than enough kulala na mtu anaeeleweka na kunakuwa na full facilities kama AC, feni TV, choo kisafi na mazingira masafi kiujumla no matter the location ila ni grade nzuri.

Chumba cha hoteli utalipia kuanzia elfu 60 au zaidi but tofauti itakuwa ni ukubwa tu. Hotel utapewa lichumba likubwa hata la futi 20*20 which is of no importance ikiwa facilities zote hata lodge zipo.

Jamaa yupo sahihi kumkimbia huyo mshenzi ambaye anataka alalwe kwa 150K bed na bado atadai posho baada ya kuliwa.
 
Huyo demu lengo kuu la hotelini ni kuwatambia snapchat kuwa kapata boya wake anae mcare😅 hadi insta asingewaacha salama😅
 
wee acha tu japo mtoto anazigo ila nimeamua kuupotezea mazima ila kafeli padogo sana
Samahani kidogo,
Hivi ule mzigo huwa mnakata kipande kidogo mnaondoka nacho au anabaki nao mwenyewe?
 

Kwel kabisa upo sahihi
 

Wala sijawahi kumwambia mambo km hayo mm nilitupa ndoano tu sinaga stor za kujikosha
 

150k [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…