Hata kama, Laki na nusu sio hela mkuu Kwa maisha ya Sasa amabyo Kila kitu kinahitaji pesa..π lakini kumbukeni hao wa laki na nusu hawana PAYE, NSSF, Bima nk
Wangapi wana hela na nyuso hazina nuru? π€£Hata kama, Laki na nusu sio hela mkuu Kwa maisha ya Sasa amabyo Kila kitu kinahitaji pesa..
Yaan unakuta manzi hata sura haieleweki maana imemkomaa hatari hela ya lotion hana
Binti akijiingiza kwenye maisha ya kupanga bila kipato cha uhakika ni razima awe kahaba usipindishe maneno.Unamjua Mkuu watu wana genaralized mambo hawajui Hali halisi za Watz hasa wakiwa mijini Kama Daslama mtu Ndugu anao yes lakini wapo hoi hata Sehemu ya kulala Hakuna achilia Mbali chakula
Demu/ Mwanamke kuamua kupanga ni startup nzuri ya kujitafta swala kuangukia Katika umalaya ni pale tu kukosa MAARIFA sahihi ya kujiendesha . Na tabia binafsi za mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wengi wakikupeleka ghetto kwake anataka uanze kununua vitu vya ndani.
Utasikia, 'uje uninunulie TV basi.'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahAcha wapange sisi Mario watupunguzie gharama za kwenda guest
Hii ndo shida ya watz hantumii Akili kujibu hoja Bali mnajibu tu yaani hausomi kuelewa unasoma ili kujibu.Binti akijiingiza kwenye maisha ya kupanga bila kipato cha uhakika ni razima awe kahaba usipindishe maneno.
Mzazi kumruhusu binti yako kwenda kupanga bila sababu za msingi jua ww ni mzazi wa hovyo na ahumthamini binti yako.Sio wanawake tu, hata vijana wa kiume wakipata ajira hukimbilia zao kujitegemea.
Unataka uendelee kudharaulika nyumba za watu na tayari una access ya kipato?! Simama mwenyewe na mtu timamu anatakiwa awe na maamuzi hayo!
Labda ni ww tu πWangapi wana hela na nyuso hazina nuru? π€£
Nina huyo mwanangu.Sio wanawake tu, hata vijana wa kiume wakipata ajira hukimbilia zao kujitegemea.
Unataka uendelee kudharaulika nyumba za watu na tayari una access ya kipato?! Simama mwenyewe na mtu timamu anatakiwa awe na maamuzi hayo!
na wewe piaLabda ni ww tu π
Kama uwezo anao bora kupanga kuliko kukaa nyumbani. Nyumbani uhuru ni changamotoNina huyo mwanangu.
Uwa namuuliza kwanini ulipanga wakati kwenu ni hii hii Kinondoni. Anajibu, ana mshahara wa kumtosha kwanini aendelee kubaki home ale ugali wa shikamoo.
Hakuna cha hoja hapo ww unataka kupindisha maneno kwa kitu ambacho kiko dhahiri.Hii ndo shida ya watz hantumii Akili kujibu hoja Bali mnajibu tu yaani hausomi kuelewa unasoma ili kujibu.
Uhuru wa kufanya uzinzi sio?Kama uwezo anao bora kupanga kuliko kukaa nyumbani. Nyumbani uhuru ni changamoto
na wewe pia
Ndio maana unawasingizia watoto wa watu wenye income za laki 2. Pasipo kuelewa mambo ya ngozi hayaangalii ni una hela au huna. Kama ngozi ni chachu itabaki kuwa chachu tu. Mf mdogo angalia humo kazini kwenu
Me hapana jamani. Sina tabia za kuhitaji uhuru wa hivyo.Kama uwezo anao bora kupanga kuliko kukaa nyumbani. Nyumbani uhuru ni changamoto
Unakuwa na muonekano tu mzuri. Just smart, hamna faida nyingine.Ngozi ikiwa na Nuru inampa mtu faida gani?
Sio uzinzi uhuru upo wa mambo mengi, kuna mambo huwezi kuyafanya ukiwa nyumbani.Uhuru wa kufanya uzinzi sio?
I think peoples should be AuthenticUnakuwa na muonekano tu mzuri. Just smart, hamna faida nyingine.
Nilichotaka mm ni kuwasilisha tu Uhalisia content yangu Wala sio ngozi ya mtu.. Ila we Inawezekana una ngozi ngumu mno maana hata sura hyo utaki tuione hapo kwa Avatar ππna wewe pia
Ndio maana unawasingizia watoto wa watu wenye income za laki 2. Pasipo kuelewa mambo ya ngozi hayaangalii ni una hela au huna. Kama ngozi ni chachu itabaki kuwa chachu tu. Mf mdogo angalia humo kazini kwenu