Kwanini wanawake wa Kitanzania huwa hawajiamini wanapokua kwenye mahusiano na sisi wanaume Mabrothermen?

Kwanini wanawake wa Kitanzania huwa hawajiamini wanapokua kwenye mahusiano na sisi wanaume Mabrothermen?

Huwezi kujua ukubwa wa pori ulimo mpaka utoke nje ya pori,aliyekuambia wewe ni brotherman ni nani?aliyekuambia wewe ni handsome man ni nani? aliyekuambia crown ni ndinga pendwa ni nani?
Wasichana wengi Wana wasiwasi kuwa unaweza kuwa shoga.
 
Kwanza ieleweke mwanaume brothermen sio kwamba ni bishoo,hapana yani sisi ni wale wanaume watanashati, tunajipenda hatuna shobo za kijinga kwa binadamu yeyote, tuna vijisent vya hapa na pale vya kuendesha maisha yetu ya kila siku, tunasukuma ndinga pendwa na vijana wa mjini kama vile crown etc, sio waongeaji sana,ni mahandsome kwa mbali, haturingi, tumeenda enda vidato, tumetembea tembea hii dunia hivyo tuna exposure flani,hatuna cycle kubwa ya the so called friends na mengine kadha wa kadha.

So recently kuna kautafiti kasiko rasmi nimekafanya nimegundua sisi wanaume mabrothermen tukiwa na mahusiano hasa na wanawake wa hapa kwetu Tanzania, hawa wanawake wana tabia ya kutojiamini kabisa,hivyo kupelekea mahusiano kufa na kuonekana kuwa sisi mabrothermen ni wazee wa hit and run kitu ambacho sio kweli kabisa.

Kautafiti kangu kalienda mbali zaidi na kugundua kuwa hawa wanawake huwa hawana amani kabisa wawapo na sisi brothermen.

So ebu naomba mnisaidie kunijibu kwa nini hii hali huwakuta wanawake wanapokua kwenye mahusiano na sisi mabrothermen?
Hii imenitokea Sana huku Kanda ya ziwa true kabisa
 
Kwanza ieleweke mwanaume brothermen sio kwamba ni bishoo,hapana yani sisi ni wale wanaume watanashati, tunajipenda hatuna shobo za kijinga kwa binadamu yeyote, tuna vijisent vya hapa na pale vya kuendesha maisha yetu ya kila siku, tunasukuma ndinga pendwa na vijana wa mjini kama vile crown etc, sio waongeaji sana,ni mahandsome kwa mbali, haturingi, tumeenda enda vidato, tumetembea tembea hii dunia hivyo tuna exposure flani,hatuna cycle kubwa ya the so called friends na mengine kadha wa kadha.

So recently kuna kautafiti kasiko rasmi nimekafanya nimegundua sisi wanaume mabrothermen tukiwa na mahusiano hasa na wanawake wa hapa kwetu Tanzania, hawa wanawake wana tabia ya kutojiamini kabisa,hivyo kupelekea mahusiano kufa na kuonekana kuwa sisi mabrothermen ni wazee wa hit and run kitu ambacho sio kweli kabisa.

Kautafiti kangu kalienda mbali zaidi na kugundua kuwa hawa wanawake huwa hawana amani kabisa wawapo na sisi brothermen.

So ebu naomba mnisaidie kunijibu kwa nini hii hali huwakuta wanawake wanapokua kwenye mahusiano na sisi mabrothermen?
Uwenda kwasababu
Mabrazameni = undercover simp

Hakuna tatizo kuwa simp.
Shida inakuja pale unapohitajika ku meet demand ya energy inayohitajika na mwanamke .

Thus why!
Unaona anakosa amani na utulivu
Kwasababu anajua upo soo weak rahisi kutekwa na wanawake wengine. . Hebufikiria gold digger kapata chimbo la madini unadhani atawaalika na wengine kuja kulitembelea .

Achana na disfunctional brazameni,
Hebu fanya tafiti na kundi lenyewe wanawake wanakuwa inchrested na wanakuwa na amani wakiwa kweny mahusiano.
 
Kwanza ieleweke mwanaume brothermen sio kwamba ni bishoo,hapana yani sisi ni wale wanaume watanashati, tunajipenda hatuna shobo za kijinga kwa binadamu yeyote, tuna vijisent vya hapa na pale vya kuendesha maisha yetu ya kila siku, tunasukuma ndinga pendwa na vijana wa mjini kama vile crown etc, sio waongeaji sana,ni mahandsome kwa mbali, haturingi, tumeenda enda vidato, tumetembea tembea hii dunia hivyo tuna exposure flani,hatuna cycle kubwa ya the so called friends na mengine kadha wa kadha.

So recently kuna kautafiti kasiko rasmi nimekafanya nimegundua sisi wanaume mabrothermen tukiwa na mahusiano hasa na wanawake wa hapa kwetu Tanzania, hawa wanawake wana tabia ya kutojiamini kabisa,hivyo kupelekea mahusiano kufa na kuonekana kuwa sisi mabrothermen ni wazee wa hit and run kitu ambacho sio kweli kabisa.

Kautafiti kangu kalienda mbali zaidi na kugundua kuwa hawa wanawake huwa hawana amani kabisa wawapo na sisi brothermen.

So ebu naomba mnisaidie kunijibu kwa nini hii hali huwakuta wanawake wanapokua kwenye mahusiano na sisi mabrothermen?
Ukute mleta mada ni muhaya
 
Wanaume ambao Tumepambana, Tuna maisha fulani [sio mazuri kiviiile], Tunajielewa , Tuna dress better, Hatuongei sana, Tunasikiliza watu, hua Tunachorwa kama watu wenye akili na Tunasukumwa na malengo...

Hatuna hofu ya kupoteza chochote kile ikiwemo mwanamke , sababu tuna kitu kinacho tusukuma zaidi kuliko chochote..

Wanawake hua wanatuogopa sababu hua wanatambua watu wa aina hii hatupendi ujinga , Tunahitaji mke sio demu, Wanawake wanakua na hofu like "Hivi namtendea mambo sahihi kweli?, Nikiomba pesa si ataona napenda hela zake? Nikimkosea si ataniacha, ntakua nimechezea bahati ?"

Mimi pia ni Gentleman, Nina experience ya kutosha kwenye hili..

Tupambanee.

Kuvaa vizuri ni hizi tshirt mpauko za kariakoo ama mjinga mimi [emoji28]
 
Kuvaa vizuri ni hizi tshirt mpauko za kariakoo ama mjinga mimi 😅
Yaah mkuu hizohizo, ukizipangilia vizuri unapendeza Fresh tuu...

Kama Nguo zingekua hazipauki mkuu, Mzunguko wa biashara ungekua mgumu sana...

So ikianza kupauka unacheki nyingine, ndio mzunguko wa maisha mkuu, Kila mmoja apate, Tunasaidiana...
 
Kwanza ieleweke mwanaume brothermen sio kwamba ni bishoo,hapana yani sisi ni wale wanaume watanashati, tunajipenda hatuna shobo za kijinga kwa binadamu yeyote, tuna vijisent vya hapa na pale vya kuendesha maisha yetu ya kila siku, tunasukuma ndinga pendwa na vijana wa mjini kama vile crown etc, sio waongeaji sana,ni mahandsome kwa mbali, haturingi, tumeenda enda vidato, tumetembea tembea hii dunia hivyo tuna exposure flani,hatuna cycle kubwa ya the so called friends na mengine kadha wa kadha.

So recently kuna kautafiti kasiko rasmi nimekafanya nimegundua sisi wanaume mabrothermen tukiwa na mahusiano hasa na wanawake wa hapa kwetu Tanzania, hawa wanawake wana tabia ya kutojiamini kabisa,hivyo kupelekea mahusiano kufa na kuonekana kuwa sisi mabrothermen ni wazee wa hit and run kitu ambacho sio kweli kabisa.

Kautafiti kangu kalienda mbali zaidi na kugundua kuwa hawa wanawake huwa hawana amani kabisa wawapo na sisi brothermen.

So ebu naomba mnisaidie kunijibu kwa nini hii hali huwakuta wanawake wanapokua kwenye mahusiano na sisi mabrothermen?
Crown nayo gari?
Kijana unaumri gani kwani, mbona oil level y akili zako ipo chini sn
 
Kwanza ieleweke mwanaume brothermen sio kwamba ni bishoo,hapana yani sisi ni wale wanaume watanashati, tunajipenda hatuna shobo za kijinga kwa binadamu yeyote, tuna vijisent vya hapa na pale vya kuendesha maisha yetu ya kila siku, tunasukuma ndinga pendwa na vijana wa mjini kama vile crown etc, sio waongeaji sana,ni mahandsome kwa mbali, haturingi, tumeenda enda vidato, tumetembea tembea hii dunia hivyo tuna exposure flani,hatuna cycle kubwa ya the so called friends na mengine kadha wa kadha.

So recently kuna kautafiti kasiko rasmi nimekafanya nimegundua sisi wanaume mabrothermen tukiwa na mahusiano hasa na wanawake wa hapa kwetu Tanzania, hawa wanawake wana tabia ya kutojiamini kabisa,hivyo kupelekea mahusiano kufa na kuonekana kuwa sisi mabrothermen ni wazee wa hit and run kitu ambacho sio kweli kabisa.

Kautafiti kangu kalienda mbali zaidi na kugundua kuwa hawa wanawake huwa hawana amani kabisa wawapo na sisi brothermen.

So ebu naomba mnisaidie kunijibu kwa nini hii hali huwakuta wanawake wanapokua kwenye mahusiano na sisi mabrothermen?
Wangu alikua hana izo characters zote na bado alinipiga tukio, hayana formula mzee
 
Back
Top Bottom