hatari, kuwa mkichangamana na wanawake mtu anaweza kuwaka tamaa akatenda dhambi. Swali kwani nikimuona mwanamke barabarani siwezi kumtamani na kutenda dhambi? Hizi dini hizi, zoooooooooooooote, nasema zote, na si uislamu tu, zote, ni rubbish , mambo ya kufikirika yasiyokuwa na logic........mchanganyano wa jinsia kwakua huenda ukaleta athari hasi na zikasababisha watu kupata dhambi.
Hata huko falme za kiarabu tunachangamana vizuri kwenye bus, treni , boat sembuse huku bongo. Ni utamaduni ulipitwa na wakatiHapo sasa hakuna utofauti. Ni sawa na kenge anakimbia mvua alafu anaenda kuingia bwawani
Ukweli wa mambo kwa maisha ya sasa hayo mambo yenu yamepitwa na wakati. Hamtaki kuchangama na wanawake lakini kwenye mwendokasi mnabambiana, kwenye daladala mnapumuliana, Sasa mnakua mmefanya nini?
Dini ya kiislamu sijui wanawake waliwakosea nini ?hatari, kuwa mkichangamana na wanawake mtu anaweza kuwaka tamaa akatenda dhambi. Swali kwani nikimuona mwanamke barabarani siwezi kumtamani na kutenda dhambi? Hizi dini hizi, zoooooooooooooote, nasema zote, na si uislamu tu, zote, ni rubbish , mambo ya kufikirika yasiyokuwa na logic........
Mkuu jibu hoja,hoja haipigwi rungu.Utachukua muda kuelewa sana hata ISIS walijitangaza ni Dola la kiislamu kule Iraq na Syria, kusema ni moja na kufanya ni mbili, hiyo nchi ni ya kifalme hakuna uhusiano na Dola ya kiislamu
Unajuwa kusoma kingereza? hiyo ni dini rasmi.
Wakifa wanawake sehemu ambapo hakuna wanaume hii imekaaje?
Sehemu isiyokuwa na wanaume na kuwa na wanawake pekee ni wapi?Jela maalum za wanawake?Assumption zingine za kijinga haswa.Unashangaa kama mtu alishirikisha ubongo vizuri kabla ya kuandika.
My country pipo 😂Sio assumptions za kijinga, ana hoja. Mbona uislamu umeruhusu kula nguruwe ikiwa hiyo sehemu hakuna chakula kingine zaidi ya nguruwe na mtu anataka kula asife njaa.
Hapo mbona hujauliza ni wapi huko ambapo inaweza kutokea hakuna chakula kingine zaidi ya nguruwe
Kwanza ni lazima kiongozi mkuu wa Dola apatikane kwa shura sio kurithishana kwa damu kama uongozi wa ukoo, Saudi arabia ni dola ya ukoo ambayo inataka kutumia faida ya sehemu takatifu kuwa pale kujinufaisha ila ukweli wa mambo ile ni dola ya watu tuNimekuuliza sifa ya nchi ya kiislamu ni zipi? Kipi kifanyike ili ujue hii nchi ni ya kiislamu na ipi sio ya kiislamu?
Saudi Arabia wanatumia sharia laws, katiba yao inafuata Quran na sunna. Lipi tena lifanyike?
Kwanza kiongozi mkuu wa dola la kiislamu ni lazima apatikane kwa shura, sio kurithishana kama serikali ya ukoo wa HIJAZ pale Saudi arabiaMkuu jibu hoja,hoja haipigwi rungu.
Je ni sifa zipi za nchi inayotakiwa kuitwa nchi ya Kiislamu?
Huwa inatokeaMBona hatuoni wakifanya hivyo wanaposhiriki misiba ya kikristu?
ExtrovertWaislamu acheni kukariri, kuweni extrovert
Alifungua kipub chake mitaa fulani kino,sehemu ndiyo olikuwaSasa mtu anamuweka Kumbuka, Dotto, kwenye kundi la wanaume
Mbona Kashamaliza, kasema wanawake hawakatazwi hakuna hiyo kitu kwenye Qur'ani, hadithi ni porojo tu, mazishi ni faragha ya familia hata wanaoingia kwenye kaburi wanateuliwa.
Ahh aiseMbona Kashamaliza, kasema wanawake hawakatazwi hakuna hiyo kitu kwenye Qur'ani, hadithi ni porojo tu, mazishi ni faragha ya familia hata wanaoingia kwenye kaburi wanateuliwa.
Hii ngoma lishangazi FF ameshapiga hat trick saa nyingi tu.
Kimsingi wanawake hakuna wanachofanya makaburini kwahiyo hakuna umuhimu wa wao kujaza magari kwenda kutembea makaburini wakati wazikaji wanakosa seat.Ahh aise
Ova
Labda waliyoenda waliishia pembezoni nje huko...si unajuwa misiba kama hii kila mtu anataka kuuza nyago 😄Kimsingi wanawake hakuna wanachofanya makaburini kwahiyo hakuna umuhimu wa wao kujaza magari kwenda kutembea makaburini wakati wazikaji wanakosa seat.
Wanawake wanafamilia waislamu huwa wanakwenda kuona kaburi siku inayofuata asubuhi.
Kijana nani kakwambia hadith ni porojo? hadithi ni maelekezo ya mtume kwa waumini, mwanamke hawezi kubeba jeneza wala kuingia ndani ya kaburi, ila anaweza kukaa pembeni kwa utulivu wakati wa kuzikaMbona Kashamaliza, kasema wanawake hawakatazwi hakuna hiyo kitu kwenye Qur'ani, hadithi ni porojo tu, mazishi ni faragha ya familia hata wanaoingia kwenye kaburi wanateuliwa.
Hii ngoma lishangazi FF ameshapiga hat trick saa nyingi tu.
Pitia uzi vizuri.
Kutembelea makaburini ni jambo muhimu kwa wote wanawake na wanaume ,maana inakukumbusha kuwa maisha ni mapito na Mungu anakuonaKimsingi wanawake hakuna wanachofanya makaburini kwahiyo hakuna umuhimu wa wao kujaza magari kwenda kutembea makaburini wakati wazikaji wanakosa seat.
Wanawake wanafamilia waislamu huwa wanakwenda kuona kaburi siku inayofuata asubuhi.