hatari, kuwa mkichangamana na wanawake mtu anaweza kuwaka tamaa akatenda dhambi. Swali kwani nikimuona mwanamke barabarani siwezi kumtamani na kutenda dhambi? Hizi dini hizi, zoooooooooooooote, nasema zote, na si uislamu tu, zote, ni rubbish , mambo ya kufikirika yasiyokuwa na logic........mchanganyano wa jinsia kwakua huenda ukaleta athari hasi na zikasababisha watu kupata dhambi.