Kwanini wanawake Waislamu hawaruhusiwi kwenda makaburini kuzika wapendwa wao?

Kwanini wanawake Waislamu hawaruhusiwi kwenda makaburini kuzika wapendwa wao?

Taratibu na Sheria mama kwenye dini yeyote Ile iwe Islam au Ukristo huwa ni Maandiko matakatifu (QURAN & BIBLIA)

Ndiyo maana binafsi ninataka kufahamu kama Quran Ina maelekezo yeyote kuhusu hili suala la Wanawake kutokwenda makaburini wakati wa mazishi!

Kama hakuna andiko na zinatumika kanuni na Sheria tu (Utamaduni) basi nadhani itakuwa Batili kwasababu Sheria na kanuni huweza kubadilishwa na yeyote lakini Msaafu haubadiliki!
Siku nyingine unapoandika kuhusu Vitabu vitakatifu anza na BIBLIA kisha fatia vingine
 
Je na kukamuliwa kinyesi kitoke ikoje??!!
Sultani wa Zanzibar alifariki akiwa safarini baharini, mtoto wale alisafiri na mwili mpaka akafika nao Zanzibar wakazika, je unajuwa ni kwa nini mwili haukuharibika na hakuna monchwari?
 
Huyo Sheikh alimaindi baada ya majirani wa Dida kugoma kwenda kuagia makaburini wakisema kwamba kwa nini hajapelekwa nyumbani kwake alikokuwa anaishi akaagwe kwa mara ya mwisho?

Walichofanya hao majirani, na wao wakaenda huko huko makaburini, wanaume kwa wanawake.

Sasa kama wao waliweka ratiba ya kuagia iwe makaburini walitegemea mashoga zake wasiende makaburini kwenda kuaga?

Badala ya kubwata na wanawake walioenda makaburini kuaga, wangedili na walioandaa ratiba ya mazishi.

View attachment 3118369

View attachment 3118370
Just imagine huyo ndio mke wako anaongea kama chiriku
 
Wanawake.waislamu wavaa hijabu hawadangi? Acha unafiki wewe.

Uliza sehemu zenye waislamu wengi za mikoa ya Pwani yote kuanzia Tanga hadi mtwara .Na hijabu zao wanadanga,pombe wanakunywa na kitimoto wanakula na umalqya kama kawa tena kuwazidi hata wakristo

Ukimsalimia tu na hijabu lake dada hujambo anakwambia sijamb9 nakusikiliza unasemaje funguka nakusikiliza
Jaribu kuficha ujinga wako hata kwa sekunde chache acha kudhihaki dini za watu
 
Jaribu kuficha ujinga wako hata kwa sekunde chache acha kudhihaki dini za watu
Narudia mikoa ya Pwani hakuna malaya kama wanawake Waislamu ndio maana kutwa wanaachika hata kama wake za watu na hijabu zao
Utakuta wanajisifia kabisa ohh mimi nimeolewa vyuo vitano kuwa ana soko akiachika kwa umalaya anaolewa na mwanaume mwingine

Kuolewa wao huita chuo kuwa kadiri anavyoachika na kuolewa maana yeye soko lake kubwa sana

Hijabu kitu gani ohhh anajistri wapi wanaume wanamfunua ba mahijabu yake tena akikuta mwanaume mkristo anakomaa naye yuko tayari kumgharimia kila kitu wawe tu wanakutana savabu hicho kidume chake kioa wake wanne na kinaruka nje huko hakimpi nyege zikimpanda

Kawwdanganye wajinga wenzio misikitini kuwa kuvaa mahijabu na ma nikabu mwanamke ana tabia nzuri na anajistri

Kujistri na nguo ni vitu tofauti

Anatakiwa kujistri ndaninya roho sio kwanza sio hayo mahijabu

Wakristo waweza kuta mwanamke kavaa kimini mke wa mtu hatongozeki ng'oo.hata useme nitakununulia ndege na kukununulia nyumba ufaransa humpati

Lakini sio mwanamke wa kiislamu rahisi sana hata kama mke wa imanu
 
Hivi Waturuki ni waislamu wa aina gani? Mbona uislamu wao hauna makandokando ya Kiarabu! Tamthilia zao sioni makanzu, balaghashia wala mashungi! Kwa kweli wanawake wao wazuri and very modest. Haya, kuna shida gani kwenda makaburini kumzika mpendwa wako!!?
 
Kwa nini wanawake Waislamu hawaruhusiwi kushiriki shughuli muhimu za maziko kama hata kwenda makaburini kuzika wapendwa wao?
Katika uislam sheria imekataza Wanaume na wanawake kuchanganyika pamoja, pia imekataza wanawake na wanaume kugusana isipokuwa kwa ndugu wa damu, na hilo si msibani tu bali mahala popote pale hata harusini, pawe na hadhara au la,mfano mzuri ni msikitini "wanaume husali peke yao na wanawake husali peke yao.sio kama wakristo na dini nyingine ambapo wanaume na wanawake wanaruhusa yakukusanyika pamoja na hata kukumbatiana.
Pia ieleweke kwamba,Wanawake hawajazuiwa kwenda makaburini bali wamezuiwa kufuatana na Wanaume. kwamaana hiyo basi, mara baada ya wanaume kuondoka kwenye eneo la makaburi wanawake wanaweza kwenda. Hoja ya kusema wanawake wanazuiwa kumuaga mpendwa wao (marehemu)haina ukweli na niuongo uliowazi kabisa, kwasababu mara baada ya msiba kutokea marehemu hupekekwa kwao kwa ndugu na jamaa zake ili afanyiwe usafi na kuagwa kabla ya kupelekwa makaburini kuzikwa. Suala la usafi wa marehemu hufanywa na wanaume au wanawake kulingana na msiba husika.
(Ewe Mwenye-ez-Mungu,wasamehe maiti wetu na uwarehemu wote kwa jumla)
 
Hivi Waturuki ni waislamu wa aina gani? Mbona uislamu wao hauna makandokando ya Kiarabu! Tamthilia zao sioni makanzu, balaghashia wala mashungi! Kwa kweli wanawake wao wazuri and very modest. Haya, kuna shida gani kwenda makaburini kumzika mpendwa wako!!?
Fuatilia jibu kuna andiko nimeshaweka.
 
Hivi Waturuki ni waislamu wa aina gani? Mbona uislamu wao hauna makandokando ya Kiarabu! Tamthilia zao sioni makanzu, balaghashia wala mashungi! Kwa kweli wanawake wao wazuri and very modest. Haya, kuna shida gani kwenda makaburini kumzika mpendwa wako!!?
Uturuki Rais wao kwanza Mustafa Kemal Atatürk aliamua kulifanya taifa lake lisilo la kidini na kuelekea magharibi zaidi.
 
Jaribu kuficha ujinga wako hata kwa sekunde chache acha kudhihaki dini za watu
Hivi tangu lini kafir akawa na lugha njema kwa dini ya Allah? Wewe unafikiri kwa nn Allah kawaita maadui zake na maadui wa waumin?
Lugha anayoielewa kafir ni upanga tu
 
Uturuki Rais wao kwanza Mustafa Kemal Atatürk aliamua kulifanya taifa lake lisilo la kidini na kuelekea magharibi zaidi.
Na hiyo ndio njia sahihi. Kuna sababu gani mimi kuvaa kama Mroma, sipati picha! Tizama tunalazimisha hata watoto wetu eti wavae ushungi shule za msingi na sekondari, wakirudi nyumbani hawavai, sikukuu ya IDI EL FITR hawavai!!!
 
Kwa nini wanawake Waislamu hawaruhusiwi kushiriki shughuli muhimu za maziko kama hata kwenda makaburini kuzika wapendwa wao?

Mkuu kumradhi kidogo, nikadhani sitakutendea haki nikiacha kukuonyesha uzi wa mwenzako kama wewe huu in case hujauona:

Huu utamaduni wa kuweka mashada ya maua makaburini umetokea wapi?

Kwenye uzi huo, wewe kama yeye majibu haya nikadhani yanakuhusu:

IMG_20241008_160611~2.jpg


Si kwa ubaya lakini.

#KikulachoChako, Hammaz, FYI.
 
Back
Top Bottom