njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 13,144
- 6,942
Wapi duniani mwananmke wa kiislam alipigwa mawe mpaka kufa sababu hajavaa stara .. lete ushahidi hata kutoka kwenye GoogleKuna huyu wa western world anavaa kwa vile ametaka, MY BODY MY RIGHT! lakini huyu wa arabuni anavaa kwa vile ni lazima,MTUME AMEAMRISHA akikaidi anapigwa mawe na WANAUME anakufa\ANAPIGWA VIBOKO NA WANAUME. Do you see the difference?