Kwanini wanawake wazuri hawaolewi

Umesema kweli mkuu, unajua hata mimi sio muumini wa mambo ya soulmates na true love... naamini ukimuelewa mwenzako unaweza kuishi nae bila kumpenda kuliko ukimpenda wakati haujamuelewa.
 
Wanakuwa tayari wamewaachia viliwi luwi. Usije kujifanganya kula hiyo inayoitwa kimasihara, za maboss, wake za watu na Matajiri ukajisifu? Umeungwa kwenye grid
 
Hichi kichwa cha habari kinasomeka kama kichwa cha nyoka .Nimekaa namtazama mke mara mbili mbili ni kweli nilioa mke mbaya au ni kasumba ya mleta mada.

Wanawake wazuri walitenganishwa na akili kama ilivyo Kwa wanaume mahandsome walivyotenganishwa na Hela.Jeuri Yao ipo kwenye uzuri ila wakisanuka uzuri Hata mbuzi anao tayari jua la jioni.

Mara utawasikia ohoo wanaume wa siku hizi hawaeleki Bora nipate wa kunizalisha nilee mtoto mwenyewe.kumbe wapi !!Hana lolote wakati wake wa kutamba umeshakwisha

Itaeendelea..
 
Nafikiri kwenye suala la ku-describe uzuri tuna-complicate tu mambo. Mwanamke mzuri anaonekana na mbaya anaonekana tu kwa macho.
 
Umesema kweli mkuu, unajua hata mimi sio muumini wa mambo ya soulmates na true love... naamini ukimuelewa mwenzako unaweza kuishi nae bila kumpenda kuliko ukimpenda wakati haujamuelewa.
Kuna mambo siku hizi yamebadirika sana mkuu hebu fikiria una matazamio ya kuoa ila katika kuchagua sample ya kuoa katika zile ulizozitarget kuna moja sura ya baba inajari sana uwepo wako na hii yenye sura ya mama yake inakuwa nawewe lakini wala haigopi kuachana nawewe, moja kwa moja moyo wako utakimbilia pale ambapo unaamini patakua salama
Hawa wanawake wenye sura nzuri tuwalage tu na kuwazarisha wakitaka ila sio wa kuoa hawa.
 
Wengi wana tabia za hovyo ambazo wanaume wengi hawawezi kuzivumilia...
 
Aliekuambia wanaolewa ni nani au wewe na mashoga wenzako hamjui tofauti ya pisi kali na sura za baba.
Wewe ni PUNGUANI,aliyekwambia Pisi aziolewi ni nani?,yaani kwasababu ya kibamia chako unataka kuwabebesha watoto wazuri mzigo na laana ya baba yako?
 
Aliekuambia wanaolewa ni nani au wewe na mashoga wenzako hamjui tofauti ya pisi kali na sura za baba.
Ukiambiwa huna akili unabisha,Sasa hapo suala la Ushoga linatoka wapi,au wewe ni shoga ndo maana ukaona uwazungumzie wenzio?

Hapa mada ni "KWANINI WANAWAKE WAZURI HAWAOLEWI"

Mimi Nina mwanamke mzuri nimemuoa,Je,Swali lako bado Lina mashiko?

ACHA MATUSI,JENGA HOJA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…