Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
😄 🤣 mbona nyingi tuALL TRUE
Na ugly lazima awe na hela lkn
Holiday za kumwaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄 🤣 mbona nyingi tuALL TRUE
Na ugly lazima awe na hela lkn
Of course 📌⛏️No reason
Watoto wao wanaitwa Juniour baby boy 😅😅😅Suala sio kuogopwa suala hapo ni nguvu ya kuwa na mtu anaetongozwa 24/7
DM yake imejaa wazee na vijana maskini na tajiri
Ni hakuna kitu utamwambia maji ya bafuni utajipelekea kama ni hizi bafu zetu Kuna wakati nguo utajifulia na chakula utajipikia yani ni kama unaishi na mshikaji wako ndani
Na kwa kuongezea Junior atanyolewa kiduku na kitavirigwa na hutasema kitu
Tupatie mfano wa wanawake wenye sifa zote hizi tuone kama wapo.Ivi ushawahi kujiuliza kwanini
1. Wanawake wazuri sana wanakataaga wanaume?
Namaanisha..
UweeMbona wanalika mkuu?
Huku. Kwetu arusha wamejaaunauhakika mwanamke mwenye hizo sifa yupo !?
Hili swali au ni taarifa,?Kwa. N wanaume wazuri wanaoa wabaya wakezao
Utakufa maskini ukiilalamikia serikali
SauwaNo reason
Wamejaa kwetu ArushaKe aina hiyo hayupo katika sayari hii "Dunia", labda katika sayari ya Pluto huko.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Wanaliwa wakipenda sio wanaongozaWe upo nchi Gani
Mbona hao ndo wanaongoza kuliwa
Wamejaa kwetu Arusha njooTupatie mfano wa wanawake wenye sifa zote hizi tuone kama wapo.
Vepe?Aiseeeh!
Shangazi mbona umekuja na hasira kaliUTOTO TU
Rudia kusoma uzi nimeshaeleza tabiaili tuseme mwanamke ni
mzuri inabidi awe na Nini