Kwanini wanawake wazuri sana wanakataa wanaume?

Kwanini wanawake wazuri sana wanakataa wanaume?

Ke aina hiyo hayupo katika sayari hii "Dunia", labda katika sayari ya Pluto huko.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Suala sio kuogopwa suala hapo ni nguvu ya kuwa na mtu anaetongozwa 24/7
DM yake imejaa wazee na vijana maskini na tajiri
Ni hakuna kitu utamwambia maji ya bafuni utajipelekea kama ni hizi bafu zetu Kuna wakati nguo utajifulia na chakula utajipikia yani ni kama unaishi na mshikaji wako ndani
Na kwa kuongezea Junior atanyolewa kiduku na kitavirigwa na hutasema kitu
Watoto wao wanaitwa Juniour baby boy 😅😅😅
 
Shangazi mbona umekuja na hasira kali
Njoo wasaidie watoto wa 2000 huku
 
Back
Top Bottom