Kwanini wanawake wazuri sana wanakataa wanaume?

Kwanini wanawake wazuri sana wanakataa wanaume?

Ivi ushawahi kujiuliza kwanini
1. Wanawake wazuri sana wanakataaga wanaume?
Namaanisha
A. Mzuri wa umbo
B. Mzuri wa kili
C. Mzuri wa utafutaji
D. Mzuri wa Dini
E. Mzuri wa Tabia na maadili

Yani awe na vitu vyote 5 hapo juu,

Hao wanawake wanakuwaga hawapatikani kirahisi kwa wanaume hata kama mwanaume ana hela

Ushawahi kujiuliza ni kwanini?
Market value yao ni kubwa, yaani sia kwamba wanakataa ila ule uhakika wa kupata mwanaume anytime ndio unawapa kiburi

Lakini as kawaida, market yao huwa ina depreciate haraka aka the wall, ama na muda. Wakati kwa wanaume muda unavyozid kwenda ndio ubora unazidi kuongezeka ( if akijitunza)
 
Market value yao ni kubwa, yaani sia kwamba wanakataa ila ule uhakika wa kupata mwanaume anytime ndio unawapa kiburi

Lakini as kawaida, market yao huwa ina depreciate haraka aka the wall, ama na muda. Wakati kwa wanaume muda unavyozid kwenda ndio ubora unazidi kuongezeka ( if akijitunza)
Kwa mara ya kwanza mtu ame comment kitu cha maana
 
Ivi ushawahi kujiuliza kwanini
1. Wanawake wazuri sana wanakataaga wanaume?
Namaanisha
A. Mzuri wa umbo
B. Mzuri wa kili
C. Mzuri wa utafutaji
D. Mzuri wa Dini
E. Mzuri wa Tabia na maadili

Yani awe na vitu vyote 5 hapo juu,

Hao wanawake wanakuwaga hawapatikani kirahisi kwa wanaume hata kama mwanaume ana hela

Ushawahi kujiuliza ni kwanini?
😂😂😂Umeleta sunami
 
Sio kweli
Babe
My love 😘 Money Penny

Duniani humu, wanaume wachache sana wanayo haiba ya kutulia na kumtuliza mwanamke mrembo mwenye ulimbo!

Sanaa ya kudumu na mrembo ni sanaa adimu mno. Niamini sweetheart. Kwa mfano, mwanamke mrembo bila kujali kuwa ameolewa ama lah, kila siku anapambana na mlolongo wa kutongozwa. Hili ni kero kubwa kwa mwenza wake. Sababu hii ndio sababu kubwa inayolazimisha mwanamke mrembo kuwa selective mno kuhusu mwanaume mwelewa ambaye hatokuwa anamhukumu kila mara anapokuwa akipangua mashambulizi.
 
Vigezo ulivyovitoa vinatoa vinampa kiburi mwanamke husika na kujiona muda wowote atapata achokihitaji.

Na kukaa na kiumbe wa vigezo hivyo lazima uwe na moyo wa ujasiri sana. Always men are there to rule and not to be ruled na hapo ndiyo mambo yanapoanza huharibika hiyo Sheria ikienda ndivyo sivyo.
 
Ivi ushawahi kujiuliza kwanini
1. Wanawake wazuri sana wanakataaga wanaume?
Namaanisha
A. Mzuri wa umbo
B. Mzuri wa kili
C. Mzuri wa utafutaji
D. Mzuri wa Dini
E. Mzuri wa Tabia na maadili

Yani awe na vitu vyote 5 hapo juu,

Hao wanawake wanakuwaga hawapatikani kirahisi kwa wanaume hata kama mwanaume ana hela

Ushawahi kujiuliza ni kwanini?
A mpaka D mbona wanaliwa sana, halafu wanaokataa wanaume ni wanawake wa kawaida sana, hao wazuri wa shape hata shule huwa hawamalizi wanajazwa mimba au huo utafiti umeufanyia wapi? Tanzania hii hii?
 
My love 😘 Money Penny

Duniani humu, wanaume wachache sana wanayo haiba ya kutulia na kumtuliza mwanamke mrembo mwenye ulimbo!

Sanaa ya kudumu na mrembo ni sanaa adimu mno. Niamini sweetheart. Kwa mfano, mwanamke mrembo bila kujali kuwa ameolewa ama lah, kila siku anapambana na mlolongo wa kutongozwa. Hili ni kero kubwa kwa mwenza wake. Sababu hii ndio sababu kubwa inayolazimisha mwanamke mrembo kuwa selective mno kuhusu mwanaume mwelewa ambaye hatokuwa anamhukumu kila mara anapokuwa akipangua mashambulizi.
Sa warembo wakaolewe na nan
 
Back
Top Bottom