Kwanini wanawake wazuri sana wanakataa wanaume?

Kwanini wanawake wazuri sana wanakataa wanaume?

Vigezo ulivyovitoa vinatoa vinampa kiburi mwanamke husika na kujiona muda wowote atapata achokihitaji.

Na kukaa na kiumbe wa vigezo hivyo lazima uwe na moyo wa ujasiri sana. Always men are there to rule and not to be ruled na hapo ndiyo mambo yanapoanza huharibika hiyo Sheria ikienda ndivyo sivyo.
Acha nidham ya woga
 
A mpaka D mbona wanaliwa sana, halafu wanaokataa wanaume ni wanawake wa kawaida sana, hao wazuri wa shape hata shule huwa hawamalizi wanajazwa mimba au huo utafiti umeufanyia wapi? Tanzania hii hii?
Huku mtaani kwetu hawana watoto, mume, hawajatoa mimba ila wamejaa
 
Ivi ushawahi kujiuliza kwanini
1. Wanawake wazuri sana wanakataaga wanaume?
Namaanisha
A. Mzuri wa umbo
B. Mzuri wa kili
C. Mzuri wa utafutaji
D. Mzuri wa Dini
E. Mzuri wa Tabia na maadili

Yani awe na vitu vyote 5 hapo juu,

Hao wanawake wanakuwaga hawapatikani kirahisi kwa wanaume hata kama mwanaume ana hela

Ushawahi kujiuliza ni kwanini?
They are for display, not for consumption
 
Suala sio kuogopwa suala hapo ni nguvu ya kuwa na mtu anaetongozwa 24/7
DM yake imejaa wazee na vijana maskini na tajiri
Ni hakuna kitu utamwambia maji ya bafuni utajipelekea kama ni hizi bafu zetu Kuna wakati nguo utajifulia na chakula utajipikia yani ni kama unaishi na mshikaji wako ndani
Na kwa kuongezea Junior atanyolewa kiduku na kitavirigwa na hutasema kitu
 
Back
Top Bottom