Kwanini wanawake wengi ni single mothers?

Kwanini wanawake wengi ni single mothers?

Habari jioni wanajamvi na hongera kwa busy Monday.

Kwa ufupi nipo njia panda hivyo ningependa kupata ushauri wenu ndugu zangu. Story iko hivi, nina familia ya mke na watoto 4. Mtoto wa kwanza Form 6, form 4, form 1 na wa mwisho Std 5. Sasa mwanzoni mwa corona pandemic nikajikuta nimepata ka mchepuko ka single mother na kwa sababu ya work from home nikajikuta tumekuwa karibu sana. Tukaendelea kuwa pamoja na nikampa support ya maisha ya kila siku maana kazi yake ilivurugwa sana na corona.

Mpaka sasa tupo wote huu mwaka wa 2 na kinachoendelea sasa ni madai kwamba age yake imesonga sana na angependa apate angalau mtoto wa pili kabla ya kufikisha 40yrs maana sasa yuko na 38yrs. Demand ya mtoto wa pili imeendelea kuongezeka siku adi siku lakini mimi baada ya kutafakari nikamwambia kwamba sipo tayari kwa sasa maana yeye kwa sasa hana kazi so gharama za maisha yake na mtoto wake ni juu yangu 100% kwa sababu baada ya corona ofisi yao ilifunga operations Tanzania. Lakini yeye anasema mimi nipo selfish maana mimi tayari nina watoto 4 na yeye ana kamoja tu so ni kwanini nisimsaidie akapata katoto ka pili ??

Baada ya kuzozana kwa muda wa miezi kama 2 sasa amekuja na pendekezo kwamba nimruhusu ajiunge kwenye dating site/app inaitwa Bumble ambayo aliisoma kwenye app ya Mange ili apate mwanaume wa kudate naye na kama akifanikiwa kumpata basi waoane wazae mtoto maana anaona natural process ya kupata mtu wa kuzaa naye itachukua muda na atajikuta amevuka 40 bila mtoto wa pili. Mwanaume alozaa naye mtoto wa kwanza hawana mawasiliano tena na mimi ndo namsaidia kumtunza na kumsomesha mtoto wake ( yupo darasa la 2 sasa)

Baada ya kuja na mapendekezo ya kujiunga na dating site nikakasirika nikamwambia mimi na yeye then basi (though ki ukweli roho ilikuwa inauma kukaacha maana yaliyomo yamo saaana.) Yeye anasema kama sitaki kuzaa naye yafaa nimruhusu kwenda dating wakati tuko wote ili akipata mwanaume ndo tuagane maana nikimuacha hatokuwa na wakumtunza. Akaenda mbali zaidi anasema nikimuacha kabla ya kumpata mwanaume mwingine anakuja nyumbani kwangu kufanya fujo.

Naombeni ushauri wanajamvi

Asanteni sana.
Sasa wee umejiunga chama la wazinzi alafu hutaki kushare....watu bwana. Wee mruhusu tuu aliwe mbususu huko dating app mbususu yake yakhe wampangia nani wakumpa wakati hujamuoa.
 
Kaka anataka kuhalalisha Muunganiko wako na yeye...... enewei Dunia ina mambo hii.....

Hii kesi kama ya mjomba wangu vile😁
 
Unachipotia ni sawa na nnachopitia Mimi.

Mchepuko Wangu niko nae mwaka wa 3 Sasa.

Binafsi siko tayari kuzaa nae na kwa Sasa mpaka changamoto zake za kitabia zitakaporekebika.

Nina Watoto 3 , yeye Hana hata mmoja.

Anataka kabla hajafikisha 30 awe keshapata mtoto.


Ila chenga nnazompiga kuhusu kuzaa nae
Hata yeye mwenyewe haelewi hili picha nalichezaje.

Kategesha Sana ila mimba hapati ng'oo.
Afu mimi Ndio wa kwanza kumlaumu kwanini hataki kunizalia. Basi ananung'unika anataka mpaka kwenda hospitali kupima.[emoji4]

Cc: Joannah Interlacustrine E
 
Jf kazi sana

Itoe ushauri wa ndoa

Na ushauri wa uchepukaji

Pambana tu...ndio mshahara wa dhambi huo

Kwanza imekuwaje mvhepuko umejua kwako?

Au ndio nyie mkipata michepuko hadi wake zenu mnawasengenya huko???
Ha ha ha ...
Umeamua kumchana makavu
 
Kiufupi nyie wote ni wajinga!!!

Chakufanya;
1.Achana naye kwani hamkuzaa.
2.Akileta fujo wakati hamjazaa ni bora kuliko kuzaa naye, mute tu.
3.Usitoe matunzo kwa mtoto wako, sio wako.
4. M-block.
5.Mwache ajiunge na hizo site apate wa kumtimizia haja zake!!!
6.Usitoe msaada wa fedha.

Wewe kwenye fuvu zipo sawa kweli? Kama njemba ya mtoto ilisepa wewe unashindwa nini kula kona ambapo hamjazaa?

Aiseee!!! Wanaume siku hizi wameisha wamebaki wavulana tu mitaani.

Ungekuwa karibu nami ningekulabua makofi, unaaibisha sana wanaume wenzako!!

Ushauri gani unataka upewe? Huna akili kwani? Una mtoto f6 unauliza maswali kama ya mtoto wa f4?
Msiwe mnawahi kuhukumu,
Hujui anapata Nini uko kwa Mchepuko wake[emoji4]
 
Kama 1st born yupo form 6, lets say on average ulimpata ukiwa 25yrs, so tuweke na miaka ya shule za kibongo ni 13yrs, weka na 7yrs za kuanza shule inakua 20. Hapo kwa makisio unacheza 50 smthng au karibu hapo. Then unataka upate kipande na mchepuko. Hapo mtoto akizaliwa humsaidii wala yeye hakusaidii. Na kama haitoshi hapo umeshaliwa timing ya mafao, maana yakishatoka tu na ye atataka mgao wa kumsomesha mtoto/ watoto. Pole ndugu. Dawa yako iko jikoni inachemka na uzi wako wa kupigwa na kitu kizito nahisi inabidi uanze kuuandaa.
Hapa ndo unaelewa kwanini starehe nyingi zinaanza na herufi K.
Ha ha ha...
Usimtishe mwenzio,

Mbona Lyatonga Mrema wiki ijayo anaoa?
IMG_20220320_203557.jpg
 
Wanaume sio kuishiwa nguvu tu za kiume, siku hizi hata akili na moyo wa kiume hatuna tena.
Ni kweli kabisa mkuu. Mleta mada ni mtu asiepungua miaka 45 lakini akili ndio hizi.

Mtot wake wa kwanza (form six) ni 20 years old approximately. Tuseme alimpata akiwa 25 years.
 
Ungekua hujaoa ningesema kausha,sasa ushaoa Mtu anajua yeye cheo yake ni "mchepuko" tu na bado ana insist anataka kid na unamnyima,whyyyyyyyyyy

Pea dada ya watu kitu anataka,acha uchoyo na ubinafsi.
 
Ha ha ha...
Usimtishe mwenzio,

Mbona Lyatonga Mrema wiki ijayo anaoa?View attachment 2159704
🤣🤣🤣 Lyatonga yuko kwenye bodi ya parole. Sasa parole si inahusika na wafungwa? Ukienda kichwa kichwa unaeza swekwa lupango ukapumzishe akili kidogo. Sasa mjuba hapo juu yupo kwenye bodi ya "uchakataji uzeeni", hyo haina hakimu zaidi ya Ustawi na dawati la jinsia. Kule kutoka salama ni mbinde
 
Unachopotia ni sawa na nnachopitia Mimi.

Mchepuko Wangu niko nae mwaka wa 3 Sasa.
Binafsi siko tayar kuzaa nae na kwa Sasa mpk changamoto zake za kitabia zitakaporekebika.

Nina Watoto 3 , yeye Hana hata mmoja.
Anataka kabla hajafikisha 30 awe keshapata mtoto.


Ila chenga nnazompiga khs kuzaa nae
Hata yeye mwnyw haelewi hili picha nalichezaje.

Kategesha Sana ila mimba hapati ng'oo.
Afu mi Ndo wa kwanza kumlaumu kwann hataki kunizalia,Basi ananung'unika anataka mpk kwenda hospitali kupima.[emoji4]

Cc: Joannah Interlacustrine E
Unakuwa inafanyaje mpaka hanasi?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Lyatonga yuko kwenye bodi ya parole. Sasa parole si inahusika na wafungwa? Ukienda kichwa kichwa unaeza swekwa lupango ukapumzishe akili kidogo. Sasa mjuba hapo juu yupo kwenye bodi ya "uchakataji uzeeni", hyo haina hakimu zaidi ya Ustawi na dawati la jinsia. Kule kutoka salama ni mbinde
Ha ha ha....
Apo jamaa anapaswa kutumia akili kumkwepa.
 
Habari jioni wanajamvi na hongera kwa busy Monday.

Kwa ufupi nipo njia panda hivyo ningependa kupata ushauri wenu ndugu zangu. Story iko hivi, nina familia ya mke na watoto 4. Mtoto wa kwanza Form 6, form 4, form 1 na wa mwisho Std 5. Sasa mwanzoni mwa corona pandemic nikajikuta nimepata ka mchepuko ka single mother na kwa sababu ya work from home nikajikuta tumekuwa karibu sana. Tukaendelea kuwa pamoja na nikampa support ya maisha ya kila siku maana kazi yake ilivurugwa sana na corona.

Mpaka sasa tupo wote huu mwaka wa 2 na kinachoendelea sasa ni madai kwamba age yake imesonga sana na angependa apate angalau mtoto wa pili kabla ya kufikisha 40yrs maana sasa yuko na 38yrs. Demand ya mtoto wa pili imeendelea kuongezeka siku adi siku lakini mimi baada ya kutafakari nikamwambia kwamba sipo tayari kwa sasa maana yeye kwa sasa hana kazi so gharama za maisha yake na mtoto wake ni juu yangu 100% kwa sababu baada ya corona ofisi yao ilifunga operations Tanzania. Lakini yeye anasema mimi nipo selfish maana mimi tayari nina watoto 4 na yeye ana kamoja tu so ni kwanini nisimsaidie akapata katoto ka pili ??

Baada ya kuzozana kwa muda wa miezi kama 2 sasa amekuja na pendekezo kwamba nimruhusu ajiunge kwenye dating site/app inaitwa Bumble ambayo aliisoma kwenye app ya Mange ili apate mwanaume wa kudate naye na kama akifanikiwa kumpata basi waoane wazae mtoto maana anaona natural process ya kupata mtu wa kuzaa naye itachukua muda na atajikuta amevuka 40 bila mtoto wa pili. Mwanaume alozaa naye mtoto wa kwanza hawana mawasiliano tena na mimi ndo namsaidia kumtunza na kumsomesha mtoto wake ( yupo darasa la 2 sasa)

Baada ya kuja na mapendekezo ya kujiunga na dating site nikakasirika nikamwambia mimi na yeye then basi (though ki ukweli roho ilikuwa inauma kukaacha maana yaliyomo yamo saaana.) Yeye anasema kama sitaki kuzaa naye yafaa nimruhusu kwenda dating wakati tuko wote ili akipata mwanaume ndo tuagane maana nikimuacha hatokuwa na wakumtunza. Akaenda mbali zaidi anasema nikimuacha kabla ya kumpata mwanaume mwingine anakuja nyumbani kwangu kufanya fujo.

Naombeni ushauri wanajamvi

Asanteni sana.
We sio Wakiume acha uongo hakuna mwanaume mjinga hivi duniani
 
Ha ha ha....
Apo jamaa anapaswa kutumia akili kumkwepa.
Kwa sasa hawezi maana tayari kuna feelings involved hapo kati. Na unachosema ni kweli, inawezekana huko mpango wa kando kapewa vitu adimu ndo maana kafungua moyo hadi mchepuko anajua siri muhimu za kambi.
Mimi nadhani mkuu inabidi uchapishe gazeti huru humu ndani kuelekeza jinsi ya ku-deal na michepuko ili wadau wengine waelewe, maana ule wa kwako umekaa standard juu ya mstari tena bila kelele.
NB: Nangojea mrejesho wa ulichofikiria na kuamua kuhusu yule shemeji anaelalamika unaenda kwake na mchepuko
 
Back
Top Bottom