Kwanini wanawake wengi wakiwa kwenye umri mzuri (prime age) lazima wachague wanaume wasio sahihi?

Kwanini wanawake wengi wakiwa kwenye umri mzuri (prime age) lazima wachague wanaume wasio sahihi?

Si semei hao tu mi nazungumzia zaidi Rika la 20-30 na ndo Hawa wanaopigiwa kelele kuwa wanaringa wanajiona

Wengi wa wasichana hao wanamaisha Fulani hivi ambayo wanatuambia pindi tupigapo stori kuwa Sasa hivi hakuna shobo na ndoa Wala mwanaume
Japo pia Huwa mnasema wakifikisha miaka 30's Huwa wanahaha
Ndio mana Mimi na sema watafute tu pesa nao waishi kivyaovyao mambo yasiwe mengi maana wanasema wanaume hatueleweki na tuishie kudet tu
Mkuu mwanamke akishafika 25 wengi wanakua na wasiwasi wa ndoa.
Umri wao wa maringo ni mfupi sana, ndo huo kuanzia 15 hadi 24, baada ya hapo wanaaza kuisakama ndoa au hayo maneno ya mkosaji kua hahitaji mwanaume, yeye anachotaka ni pesa tu nk ila deepdown huwa wanawataka sana wanaume saana zaidi ya sisi tuwatakavyo wao.

Yaani mwanamke ana 28 anaringaje sasa mkuu umri ushaenda huyo hata kuzaa kwake ni kwa mahesabu makali.
 
Kuna moja alinikataa [emoji16][emoji16][emoji16] alinambia nitafute pesa nkapokea positively kauli yake ila alimdate mshkaji wangu tunapambana nae chimbo Moja! Juzi nimekutana ana mimba kubwa Ile haikosi 7++ alivo tu nlimuonea huruma ashaanza kua na muonekano wa mtu mzima, mshkaji kamkataa mpaka anamfata kazini
Akataka contact zangu nkachukua zake nkamwambia takucheki
Ulikua hauna swagga..
 
Kuna kidem kilimjibu vibaya mwalimu,eti mimi mwalimu nimpeleke wapi na wakat huo mwalimu alitaka kukatoa out waende kwenye kiwanja cha mpira wa miguu wakapige story

Afu kidemu chenyew hata seko hakikumaliza,muda huo kananing'ang'ania mimi kisa nina hela za dili haramu afu hakajui ni za muda mfupi tu,nilitaman kukiambia nenda kwa mwalimu ni sehemu salama zaidi
 
Kuna kidem kilimjibu vibaya mwalimu,eti mimi mwalimu nimpeleke wapi na wakat huo mwalimu alitaka kukatoa out waende kwenye kiwanja cha mpira wa miguu wakapige story

Afu kidemu chenyew hata seko hakikumaliza,muda huo kananing'ang'ania mimi kisa nina hela za dili haramu afu hakajui ni za muda mfupi tu,nilitaman kukiambia nenda kwa mwalimu ni sehemu salama zaidi
Labda alikuwa amevutiwa na wewe, kuliko mwalimu..machoni pake labda wewe ulikuwa ni handsome kuliko mwalimu Wagumu Tunadumu
 
KWahiyo wewe hao waliiolewa ndo umeona kua hawadangi??

Mbona wapo wengi sana tu wenye mpenzi mmoja na ni pisi kali?
Ujue tatizo la wanaume siku hizi ni kutojiamini na ndio maana dem anakucheat coz unamharass sana kwa kutojiamini kwako.

Ukiwa na dem mzuri unaamini hauko peke yako, wasiwasi mwingi, humwamini hata kidogo, unadhani yeye atakuaje na amani na wewe usiejiamini??
Ndio maana badboys wanawala sana pisi kali coz hawanaga time nao, hawawafatilii kama goodguys mlivyo.

Futa hiyo kua kila dem mzuri ni malaya.
Jipe moyo
 
Umri huo binti anakua anataka kushine, aonekane mtu, aweze kumtambulisha mtu anaedate nae kwa rafiki zake.

Na pia mimi siwalaumu hao kina dada, hata akikuchagua wewe atajuaje kama wewe ni mtu sahihi?? Au labda usahihi wa mtu unaupimaje?

Mnawalaumu bure tu ila ni ngumu kupima kua huyu jamaa ni mwema au si mwema. Na kipindi hicho kila mmoja wenu anafanya jitihada za kumuwin huyo dem, so yule anaeonekana boya ni kwamba anakua hana mbinu ila yule janja janja anamuwin kwasababu ana mbinu za kumteka akatekeka.

Na kama unavojua girls wanafanya maamuzi kwa hisia, weww ukienda na propaganda zako za ndoa wakati bint ana miaka 18 atakuona jau, kuna janja ataenda na pigo za kumpeleka viwanja na shopping unadhan nani atakubaliwa??
Wewe wa ndoa atakufata akiwa na 27 yrs ili umuoe sasa ashamaliza starehe zote.
Uko vizuri mkuu
 
Back
Top Bottom