Kwanini wanawake wenye mafanikio wanaogopwa?

Kwanini wanawake wenye mafanikio wanaogopwa?

Kiasili anaeolewa ni mwanamke, hivyo Mwanaume ndiye anayestahiki kuwa juu ya mke wake.

Hivyo mwanamke mwenye mafanikio hayuko tayari kuwa chini ya mwanaume anaemzidi elimu au mafanikio. Hapo lazima mahusiano yawe na mgongano.

Ndio maana wanawake wengi wenye mafanikio wanaishi wenyewe tu na watoto wao, ndoa huwa zinawashinda
Kweli single mothers 😃
 
Hawaogopi Bali ndo wanawatamani Ili wenyewe pia wawe nafasi ya kwanza katika maamuzi
Ni nature ya mwanamke kuzidiwa na mume! Hata hofu anayowapandikizia wanaume (wasiojiamini) ili wawaogope na inapokolea tayari nao wanawaogopa wanaume wasiofanikiwa...
 
Na ikitokea unataka Maisha mserereko
Achana na mawazo ya kusaidiwa maisha.


Wewe kama umemuona mwanamke mzuri ana maisha yake zaidi yako ..nenda mtongoze.


Hawa wanawake hamjui tu. Kwakua watu wengi wanaogopa kuwatongoza, mara nyingi sana wanaishiwa kuliwa na Madereva wao, au watu wao wa kazin au walosoma pamoja.


Na kama haya yote hayapo, naye anakua nakiu ya kua na mtu sana, ukijitutumua tu ukamtongoza, Huyo hapo kajaa.


KWA UFUPI, AKILI YA MWANAMKE ITABAKI KUA YA MWANAMKE, AWE NI WAZIRI, MBUNGE, RAS, DED, RAIS, MJESHI, CEO, POLIS, MFANYABIASHARA N.K.



Wee kama umemwelewa tu vzuri, na unamhitaji, tafuta wapi pakumpatia, kisha endeleza safari.
 
Achana na mawazo ya kusaidiwa maisha.


Wewe kama umemuona mwanamke mzuri ana maisha yake zaidi yako ..nenda mtongoze.


Hawa wanawake hamjui tu. Kwakua watu wengi wanaogopa kuwatongoza, mara nyingi sana wanaishiwa kuliwa na Madereva wao, au watu wao wa kazin au walosoma pamoja.


Na kama haya yote hayapo, naye anakua nakiu ya kua na mtu sana, ukijitutumua tu ukamtongoza, Huyo hapo kajaa.


KWA UFUPI, AKILI YA MWANAMKE ITABAKI KUA YA MWANAMKE, AWE NI WAZIRI, MBUNGE, RAS, DED, RAIS, MJESHI, CEO, POLIS, MFANYABIASHARA N.K.



Wee kama umemwelewa tu vzuri, na unamhitaji, tafuta wapi pakumpatia, kisha endeleza safari.
Umenimotivate mkuu kesho namfuata
 
Wanaume wengi Ni dhaifu na wana inferiority complex, wanapenda wanawake wanyonge wawatese Ili waonekane wao ni vidume wa shoka, wanaamini hivo, sasa mwanamke anayejitegemea mwenye shule wanaume wakitanzania Wana mwogopa ka kituo Cha police na kumwita jeuri
Sio kweli kabisa.
Je unadhani ni kwanini mwanaume naweza kuishi kwa zaidi ya miaka mitano na mkewe asie na kazi wala kibarua ilie muoa na nguo alizo vaa tu?
Na nikwanini mwanamke mwenye kazi yènye mshahara hawezi kumalizi hata miezi sita ya ndoa na mwanaume asiye na kazi wala kibarua?
 
Achana na mawazo ya kusaidiwa maisha.


Wewe kama umemuona mwanamke mzuri ana maisha yake zaidi yako ..nenda mtongoze.


Hawa wanawake hamjui tu. Kwakua watu wengi wanaogopa kuwatongoza, mara nyingi sana wanaishiwa kuliwa na Madereva wao, au watu wao wa kazin au walosoma pamoja.


Na kama haya yote hayapo, naye anakua nakiu ya kua na mtu sana, ukijitutumua tu ukamtongoza, Huyo hapo kajaa.


KWA UFUPI, AKILI YA MWANAMKE ITABAKI KUA YA MWANAMKE, AWE NI WAZIRI, MBUNGE, RAS, DED, RAIS, MJESHI, CEO, POLIS, MFANYABIASHARA N.K.



Wee kama umemwelewa tu vzuri, na unamhitaji, tafuta wapi pakumpatia, kisha endeleza safari.
Unajidanganya, kuna tofauti kati ya sex toy na mume.

Be careful usipotoshe watu.
 
Unajidanganya, kuna tofauti kati ya sex toy na mume.

Be careful usipotoshe watu.
Sikiliza Man, sio dhambi kuoa Mwanamke anayekuzidi kipato.SIO DHAMBI.

Ni Dhambi kubwa kumwogopa mwanamke mwenye kipato kuliko chako nakumtoa katika kundi la mtu anayefaa kuolewa nawewe.


UKIJIAMINI KAMA MWANAUME, UKAKIAMINI KIPATO CHAKO, UKASIMAMA KAMA MWANAUME ,UKAMPENDA MKEO HUYO, ATAKUHESHIIMU SANA.


NDOA HAITAKI KIPATO CHA MWANAUME, NDOA HAITAKI ELIMU ZENU, NDOA HAITAKI MANINI YENU !!!


Kuna kitu kikubwa sana kipo nyuma ya hayo yote, na ukiwa nacho , haijalishi kakuzidi uchumi vipi, ATAKUHESHIMU.




Kwan wangapi mmeoa wamama wa nyumban au wanaowazidi kipato??? Lkn ndan ya nyimba hamuheshimiwi, mnadharauliwaaa vibayaa mpaka siri zenu ,zinajulikana nje?? Wangapi wenu mmeoa wanawake wadhaifu aa elimu,uchumi, uhuru, lkn bado wanawapelekesha kinoma????.





Wewe !!! acha hizo..hamna cha sez toy wala mume... WEWE KAMA NI MWAMAUME, USIPOUJUA UANAUME WAKO NANGUVU YAKE, HATA UPEWE MKE AMBAYA KAKOSWA ELIMU KAKOSWA UCHUMI YAAN ANAKUTEGEMEA, ATAKUSHINDA TUU.

NASEMA, ATAKUSHINDA.
 
Uoga tu. Kuna wanawake wanatokea familia zenye uwezo mkubwa kifedha. Sidhani kama ni malimbukeni
Wanalishana matongo pori tuuu ..

Sio tu familia bora, kuna wadada wamesoma, wamepambana wamekua na uchumi wao... Kwamba tusiwaoe??? Kisa wametuzidi kipato??


Woga ,nakutojiamin nakuhisi kudharauliwa.


Mwanamke, awe wa familia duni, au familia bora, mwenye elimu asokua nayo, mwenye uchumi ,asokua nao...


Usipojua kumtreat, atabaki kua mchungu tu na mwiba ..na utakufa kabla ya siku zako.
 
Wanalishana matongo pori tuuu ..

Sio tu familia bora, kuna wadada wamesoma, wamepambana wamekua na uchumi wao... Kwamba tusiwaoe??? Kisa wametuzidi kipato??


Woga ,nakutojiamin nakuhisi kudharauliwa.


Mwanamke, awe wa familia duni, au familia bora, mwenye elimu asokua nayo, mwenye uchumi ,asokua nao...


Usipojua kumtreat, atabaki kua mchungu tu na mwiba ..na utakufa kabla ya siku zako.
Hii positivity ingekua kwa wengi, dunia ingekua sehemu salama [emoji2]
 
Katika hali ya kawaida mwanamke hana kasoro ni kwa nini haolewi?

Tuweke kando baraka za Mungu na bahati.
Broo, Hii Dunia ukiona mahali hapako sawa ujue Kuna wanaume wameshaharibu kitambooooo.


Kwan ma dizaina wa nguo hizi za uchi uchi ni akina nani?? .sisi wanaume.......lkn hapo kuna mwanaume atasema " mwanamke akivaa nguo hizi simuoi"

Kwan watengeneza Vipodozi vya kujichubua ni akina nani??..wanaume.....lkn hapo utasikia...Mwanamke aliyejichubua nimpeleke wapi???.

Lkn haya yote yanafanywa nao. Kujichubua, nguo za nusu uchi, kwajili yanan?? Kuwaridhisha wanaume.


Ikiwa wanaume wangesema Jaman wanawake vile mlivyo ndivo tunawapenda, unadhan wasingeolewa ??? Au leo wanaume tuamue, Kuanzia leo Wanawake wanaojichubua ndio wataolewa, unadhan kuna mwanamke atabaki nyuma???





Kwahiyo swali lako hilo la kwann hawaolewi..JIBU NI KUA, WAOAJI WENYEWE NDIO WAZENGUAJI...

unatongoza binti wa mtu, unamla zaidi ya miaka mitatu, umemtoa kwenye Age yenye thaman, mpaka umemleta kwenye age isokua thaman, umemtolesha mimba za kutoshaa

Kwann uhoji kuolewa kwake????
 
Back
Top Bottom