Kwanini wanawake wenye mafanikio wanaogopwa?

Kwanini wanawake wenye mafanikio wanaogopwa?

UKIJIAMINI KAMA MWANAUME, UKAKIAMINI KIPATO CHAKO, UKASIMAMA KAMA MWANAUME ,UKAMPENDA MKEO HUYO, ATAKUHESHIIMU SANA.


NDOA HAITAKI KIPATO CHA MWANAUME, NDOA HAITAKI ELIMU ZENU, NDOA HAITAKI MANINI YENU !!!
We msahaulifu sn..

ila ni dhahiri hujaingia huku
 
Heheh dahhh hili povu lako leo watu tutalal tumechoka sana..
Naona una agenda yako

nilikua na comment nyingine ila uko OP hatari na mengine
Haya bwana
Ngoja nikuache.. Hujielewi.


Nmesema ukweli tuu. Ukiamua kuupokea upokeez ukiamua kupuuza upuuze ila huo ndo ukweli.



TAFUTA MWANAUME UKIWA NA MIAKA 40..ILA HAKIKISHA UNA PESA ZAKO ZA KUTOSHA ,HAKIKISHA UNAPESA AU KAZI YAMAANA.



lkn kama ndo una mawazo mgando ya kutafuta mwanaume mwenye Pesa??? Mtafute saizi ukiwa bado na kaumri kazuri.


WENYE PESA WANA KAWAIDA YA KUOA VIGOLI HATA KAMA NI MZEEE.


Ref..Mzee Mengi .
 
We msahaulifu sn..

ila ni dhahiri hujaingia huku
Huna akili.. Hapo jui nmesema Jiamin na kipato chako..


Chini nasema, Ndoa haitaki Kipato chako...


Nikijua wenye akili wameelewa kua, Haimanishi ukiwa na kipato gani, ndip utaimudu ndoa, unaweza ukawa Tajiri, usiimudu ndoa, unaweza ukawa una kamshahara ka laki nne , bado usiimudu ndoa.


Kuna kitu ambacho ni zaidi ya Kipato. Kitu hiko kikipatikana basi , kipato chenu hata km ni kidogo, kitatosha na mtakua nandoa ya amani.


NDOA NGAPI ZA MATAJIRI, WALIZOFUNGA KWA MBWBWE, BAADA YA MWEZI WAKAACHANA???.


Ben Pol, kaoa mwanamke kwao Tajiri mbona haikupita mwaka wameachana?? Kulikua hamna hela??


Kuna huyi jamaa ana mapesa kibao, lkn ndoa imevunjika, .


Sasa kama kipato kinanguvu, kwann ndoa zao zimevunjika.


JARIBU KUA NA AKILI BASI. WEE NI KATOTO NA HUJAOLEWA.
 
Kuna jamà kweny huu uzi anajiita Carlos cjui kalipwa sh ngap kuwatetea hawa wanawake weny uwezo kuanzia uchumi hadi elimu...ila nataka nimwambie tu kuwa kujiandikia kama unavyotuandikia ni rahc mnoo,hata mm nawezq kukuzidi..ilq hayo unayoyaandika kuyapeleka kweny vitendo ni ngumuu mnooo!kiuhalisia tu mwanamke mweny uwezo wa kifedha na kielimu kumzid mme wake huwa hakamatiki...wanakuwa na vibur vya maana wanajua chochote utakachofanya yy ndo mwamuzi wa mwsho!!nlikuwa nawaza kwa nini babu zetu wameishi kweny ndo hadi uzee na bibi zetuu!sababu ni hii!!hawakuwaruhusu kuwa na biashara au elimu kubwa kuwazidii na ndo maana walikuwa na heshima kwa waume zao..njoo sasa kwa hawa wa ss iv...ndoa haina mwezi tayari ishavunjika ...,kijana mwenzangu unaetaka kuoa,tafakar chukua hatua
 
UPO ukweli kuwa wanaume wengi wanawaogopa wanawake wenye mafanikio. Hawa ni wanawake wenye kiwango kikubwa cha elimu, fedha, umaarufu au hata madaraka katika jamii. Hoja ya wanaume wenye mawazo haya ni ugumu wa kuwaongoza wanawake wanaowazidi kama alivyonieleza Godfrey, mwalimu wa sekondari jijini Arusha:

“Mwanawake akipata kitu anakuwa jeuri sana. Hawezi kukusikiliza tena na atataka awe huru kufanya mambo yake bila kuingiliwa.” Kwa mujibu wa Godfrey, uwezo wa kifedha na mafanikio kwenye maeneo mengine ya maisha mara nyingi humfanya mwanamke asiwe na utayari wa kuwa chini ya utawala wa mwanaume. “Huwezi kuishi na mwanamke anayejiona yuko juu yako na ukabaki salama. Hatokuwa tayari kukupa nafasi ya kuwa na sauti kwenye nyumba.”
Ni ulimbukeni tu wa wanawake wa kiafrika Mana hawakuzoea kuyaishi hayo maisha. Wengi wao vyuoni ukiongea nao wanasoma ili wasije kunyanyaswa na wanaume.
Yaani ukiwagusa tu kidogo wanaruka Mana Wana majeraha ya kizazi na kizazi.
Mbona wazungu kawaida Ile 50/50 wanaijua vizuri Sana.
Anajenga mpaka kwao mwanaume Sasa mke black atajenga kwao mwanaume kweli.

Ni ulimbukeni wao tu wa kuwa ivyo Mana sio kawaida Yao.
Mke hawezi ishi na mwanaume miaka miwili ama mmoja akiwa Hana kazi amekaa tu nyumbani.
Ila sie twawalisha Kama watoto wetu mpaka wanazeeka.
Ni Kama masikini akipata atasumbua nyodo Sana atajitangaza ajulikane Mana haukuwa kawaida yake kumiliki Mali cheo ama pesa ama mengineyo
 
Kuna jamà kweny huu uzi anajiita Carlos cjui kalipwa sh ngap kuwatetea hawa wanawake weny uwezo kuanzia uchumi hadi elimu...ila nataka nimwambie tu kuwa kujiandikia kama unavyotuandikia ni rahc mnoo,hata mm nawezq kukuzidi..ilq hayo unayoyaandika kuyapeleka kweny vitendo ni ngumuu mnooo!kiuhalisia tu mwanamke mweny uwezo wa kifedha na kielimu kumzid mme wake huwa hakamatiki...wanakuwa na vibur vya maana wanajua chochote utakachofanya yy ndo mwamuzi wa mwsho!!nlikuwa nawaza kwa nini babu zetu wameishi kweny ndo hadi uzee na bibi zetuu!sababu ni hii!!hawakuwaruhusu kuwa na biashara au elimu kubwa kuwazidii na ndo maana walikuwa na heshima kwa waume zao..njoo sasa kwa hawa wa ss iv...ndoa haina mwezi tayari ishavunjika ...,kijana mwenzangu unaetaka kuoa,tafakar chukua hatua
Wanawake wenyewe tunamshangaa..

ana vinadharia flani hivi
Ngja tumuache akikua atayaona
 
Huna akili.. Hapo jui nmesema Jiamin na kipato chako..


Chini nasema, Ndoa haitaki Kipato chako...


Nikijua wenye akili wameelewa kua, Haimanishi ukiwa na kipato gani, ndip utaimudu ndoa, unaweza ukawa Tajiri, usiimudu ndoa, unaweza ukawa una kamshahara ka laki nne , bado usiimudu ndoa.


Kuna kitu ambacho ni zaidi ya Kipato. Kitu hiko kikipatikana basi , kipato chenu hata km ni kidogo, kitatosha na mtakua nandoa ya amani.


NDOA NGAPI ZA MATAJIRI, WALIZOFUNGA KWA MBWBWE, BAADA YA MWEZI WAKAACHANA???.


Ben Pol, kaoa mwanamke kwao Tajiri mbona haikupita mwaka wameachana?? Kulikua hamna hela??


Kuna huyi jamaa ana mapesa kibao, lkn ndoa imevunjika, .


Sasa kama kipato kinanguvu, kwann ndoa zao zimevunjika.


JARIBU KUA NA AKILI BASI. WEE NI KATOTO NA HUJAOLEWA.
Sawa baba ndo niko chuo cbe hapa😅🤣
 
Wanawake wenyewe tunamshangaa..

ana vinadharia flani hivi
Ngja tumuache akikua atayaona
Hivyo vinadharia kwa genetation hii havifanyi kazi..yaan mwanaume we na uwezo kiuchumi tu kumhudumia mke pamoja na wtt,hayo mengine tuwaachie tu ninyi ndo mnajua..ila kunambia kuwa mwanamke akiwa na uchumi mkubwa kumzidi mke ndoa itakuwa stable nitakataa katukatu
 
Sawa baba ndo niko chuo cbe hapa[emoji28][emoji1787]
Ndio maana nmesema wewe ni katoto, hujielewi, na huna akili na hujaolewa bado.

Chuo cha CBE ,tuschana tudogo dogo ambato, vimeishia kutegemea Wanaume kurun maisha.




Unataka baadae uolewe na mwanaume wa aina gan?.
 
“Ata mwanaume akipata pesa huwa jeuri vile vile atataka mambo yake yasiingiliwe”
Sasa haujui tofauti ya wanawake na wanaume kwenye maswala ya fedha?!

Mwanaume anatoa fedha kwa mwanamke bila shurti, anahudumia familia, anatoa matumizi, anatoa mgegedo. Sasa unataka awe anampigia magoti na mwanamke wake tena hivi hata kama hauna macho ya kuona hauwezi hata kusikiliza maoni ya wataalamu wa mambo ya kijamii.....
 
Wanawake wenyewe tunamshangaa..

ana vinadharia flani hivi
Ngja tumuache akikua atayaona
Et wanawake..sema wewe ..nasio mwanamke ..sema mschana.

Siku hizi wanawake wenye akili wanapamba kua huru kiuchumi, na bado anaendelea kua Mwanamke bora .



Maujinga yenu ya Kutegemea kila kitu kwa wanaume, yamewafanya mpaka mnapigwa weee, mnafumania michepuko na mambo ya kijinga anayofanya mumeo..lkn kwakua Kuanzia kuvaa mpaka kula na kuishi unamtegemea Mumeo... Unamwomba msamaha mumeo kwa ujinga wake ...



SASA NAKUAMBIA, UKITAKA MWANAUME AKUHESHIM NA AKUONE SEHEM YA MAISHA YAKE, HAKIKISHA UNA KITU CHAKO MWENYEWE KAMA NI KAZI KUA NAYO.


Kama hauna hayo yotez hakikisha Upate mwanaume mwenye akili na akupende.
 
Kuna jamà kweny huu uzi anajiita Carlos cjui kalipwa sh ngap kuwatetea hawa wanawake weny uwezo kuanzia uchumi hadi elimu...ila nataka nimwambie tu kuwa kujiandikia kama unavyotuandikia ni rahc mnoo,hata mm nawezq kukuzidi..ilq hayo unayoyaandika kuyapeleka kweny vitendo ni ngumuu mnooo!kiuhalisia tu mwanamke mweny uwezo wa kifedha na kielimu kumzid mme wake huwa hakamatiki...wanakuwa na vibur vya maana wanajua chochote utakachofanya yy ndo mwamuzi wa mwsho!!nlikuwa nawaza kwa nini babu zetu wameishi kweny ndo hadi uzee na bibi zetuu!sababu ni hii!!hawakuwaruhusu kuwa na biashara au elimu kubwa kuwazidii na ndo maana walikuwa na heshima kwa waume zao..njoo sasa kwa hawa wa ss iv...ndoa haina mwezi tayari ishavunjika ...,kijana mwenzangu unaetaka kuoa,tafakar chukua hatua
Oyaa, hata km umeoa mwanamke hana kitu ,mbumbu wa akili na pesa nakila kitu.


KAMA UTASHINDWA KUA MWANAUME, ATAKUSUMBUA SANA TUU TENA SANA TUU

alafu utajuta kwann hujaoa msomi !!...

Utaoa msomi, ila kwakua hauna Uanaume , naye atakushinda kama kawaida.


Siwatetei wanawake wenye uchumi wao, ila ukweli nikua, MWANAMKE ANAKUA VILE UNAVYOTAKA AWE


tena nikuambie kitu kimoja, nirahisi ya mwanamke alokua anakutegemea, kukukimbiaa au kua na mwanaume mwengine,, sababu tu akajitimizie mahitaj yake pale unapopunguwa

Ref... Uzi wangu niliowah andika, VIKOBA na wanawake kuchepuka.


Lkn ni ngumu sana kwa mwanamks mwenye huru wa uchumi, kukukimbia kisa tu wee umezidi kutetereka.


Sansana Atajitahidi kukufanya uonekane mwanaume mbele ya wanaume wenzako na atakufichia aibu yako.


Ila hao wategemezi, kama hana akili, Utakuta kahamia kwa jirani yako anapelekewa moto.
 
Oyaa, hata km umeoa mwanamke hana kitu ,mbumbu wa akili na pesa nakila kitu.


KAMA UTASHINDWA KUA MWANAUME, ATAKUSUMBUA SANA TUU TENA SANA TUU

alafu utajuta kwann hujaoa msomi !!...

Utaoa msomi, ila kwakua hauna Uanaume , naye atakushinda kama kawaida.


Siwatetei wanawake wenye uchumi wao, ila ukweli nikua, MWANAMKE ANAKUA VILE UNAVYOTAKA AWE


tena nikuambie kitu kimoja, nirahisi ya mwanamke alokua anakutegemea, kukukimbiaa au kua na mwanaume mwengine,, sababu tu akajitimizie mahitaj yake pale unapopunguwa

Ref... Uzi wangu niliowah andika, VIKOBA na wanawake kuchepuka.


Lkn ni ngumu sana kwa mwanamks mwenye huru wa uchumi, kukukimbia kisa tu wee umezidi kutetereka.


Sansana Atajitahidi kukufanya uonekane mwanaume mbele ya wanaume wenzako na atakufichia aibu yako.


Ila hao wategemezi, kama hana akili, Utakuta kahamia kwa jirani yako anapelekewa moto.
Bado sanaa hujawajua hawa watu mkuu,na bad enough nahc ww bdo n bachelor na ndo maana uko free sanaa kujiandikia kile ambacho ndo uelewa wako kuhusu wanawake..ila kama ndo course ya kuwajua wanawake ndo kwanz upo kweny orientation!we elewa tu mke wako kukuzid kiuchum hautofurukuta
..na kama ndo upo kwenye uchumba na mpnz wa aina hyo na kuona kwamba anakuweka mjin bac usitarajie hivyo kweny ndoa...yaan kama ni hela yake itumue vilivyo kwa sasa hivii,na hyo ni ridhaa yake tu si kwamba umeweza ku mcontrol..muoe alafu uje utuandikie kama unavyoandika ss iv
 
Pata picha umemuoa ke kama cariha halafu kakuzidi kila kitu.
[emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi sinaga shida napenda free and open minded people hayo ya kuzidiana hayana nafasi kikubwa nikuelewe tu na wewe uende na flow zangu na sipendi uonevu na kupelekeshana loh
 
Back
Top Bottom