Bado sanaa hujawajua hawa watu mkuu,na bad enough nahc ww bdo n bachelor na ndo maana uko free sanaa kujiandikia kile ambacho ndo uelewa wako kuhusu wanawake..ila kama ndo course ya kuwajua wanawake ndo kwanz upo kweny orientation!we elewa tu mke wako kukuzid kiuchum hautofurukuta
..na kama ndo upo kwenye uchumba na mpnz wa aina hyo na kuona kwamba anakuweka mjin bac usitarajie hivyo kweny ndoa...yaan kama ni hela yake itumue vilivyo kwa sasa hivii,na hyo ni ridhaa yake tu si kwamba umeweza ku mcontrol..muoe alafu uje utuandikie kama unavyoandika ss iv
Aahhh unaona ulivyo dhaifu...Kua na mwanamke mwenye kipato, ni kuwekwa mjini??
Sasa mimi mwenyewe kiuchumi , kielimu najiweza 100%, naanzaje sasa kuwekwa mjini?. Kwaufupi SINA NJAA, nmetengeneza ajira kwa vijana wapatao Saba.
Hapa suala ,ni Kufuata kile moyo wako unapenda..mimi siwez kuutesa moyo wangu kisa Niogope atanidharau?? Au nn??
Bahati nzuri ukijua kumuishi mwanamke, HAWEZI KUKUFANYIA HAYO MAUJINGA UNAYOHOFIA.
Kinachowasumbua wanaume kama wewe, ni HOFU YA KITU KISICHOKUWEPO .
Hofu inayowapa udhaifu ambao ,ili uonekane una nguvu, umeishia kuoa mwanamke anayekutegemea kila kitu.
Mimi sio wa aina hiyo., mimi ni mchaguzi, bado sijauza nafasi yangu ya uchaguzi ktk Hayo.
Nadhan hata kama angekua ni mwanamke asokua na kitu, bado ningekua naye ili mradi tu ,ndie aliyeugusa moyo wangu vilivyo.
Narudiaaa, Nyie mnaosema wanawake wanaowategemea, ivi sindo mandoa kila siku ,na sijuo kuua, sijuo vipigo, si nyinyi au ???
MAISHA YA NDOA, HAYATEGEMEI WEE NDO KILA KITU, SIJUI UNATEGEMEW.
sanasana mwanamke atakuogopa tu lkn NO HESHIMA.