Kwanini wanawake wenye pesa hawadumu kwenye ndoa, wengi wao ni single mothers

Kwanini wanawake wenye pesa hawadumu kwenye ndoa, wengi wao ni single mothers

Protector

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2019
Posts
422
Reaction score
893
Habari wanajukwaa,

Moja kwa moja kwenye mada.

Wanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa nyingi wakiwahudumia kwa kila kitu na wakizingua wanawatimua.

Hasa watumishi ndiyo wanaongoza kuwa single mothers kuliko wafanyabiashara. Kuna ofisi fulani kubwa tu, kati ya wanawake 16 wanaofanya kazi hapo 12 waliolewa na kuachana na waume zao.

Shida ni nini wadau?
 
Habari wanajukwaa,
Moja kwa moja kwenye mada.
Wanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa nyingi wakiwahudumia kwa kila kitu na wakizingua wanawatimua.

Hasa watumishi ndiyo wanaongoza kuwa single mothers kuliko wafanyabiashara. Kuna ofisi fulani kubwa tu, kati ya wanawake 16 wanaofanya kazi hapo 12 waliolewa na kuachana na waume zao.

Shida ni nini wadau?

Una maana huyu wa 5m/- @ goli hana Hela?
 
0EjOZR.gif
 
Habari wanajukwaa,
Moja kwa moja kwenye mada.
Wanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa nyingi wakiwahudumia kwa kila kitu na wakizingua wanawatimua.

Hasa watumishi ndiyo wanaongoza kuwa single mothers kuliko wafanyabiashara. Kuna ofisi fulani kubwa tu, kati ya wanawake 16 wanaofanya kazi hapo 12 waliolewa na kuachana na waume zao.

Shida ni nini wadau?
Unazani tatizo ni hizo fedha basi, tatizo ni umalaya tu umepamba moto watu hawataki kujishusha. Sasa kama anatembea ma watu hata 2 tu, je mmoja akikorofisha unazani nini kitatokea? Kumbuka anae mwingine pembeni
 
Habari wanajukwaa,
Moja kwa moja kwenye mada.
Wanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa nyingi wakiwahudumia kwa kila kitu na wakizingua wanawatimua.

Hasa watumishi ndiyo wanaongoza kuwa single mothers kuliko wafanyabiashara. Kuna ofisi fulani kubwa tu, kati ya wanawake 16 wanaofanya kazi hapo 12 waliolewa na kuachana na waume zao.

Shida ni nini wadau?
sio kweli labda kama unaongelea wanawake washama malibukeni hasa wasanii watumishi wa serikali lakini wafanya wako kinyume chake zaidi wanamtaka mwanaume mwenye uwezo wa kuzalisha hela
 
Ni mtazamo tu. Je kuna utafiti wowote ulioufanya juu ya hili au ni story za vijiweni tu?
Binafsi kuna watu wawili nimeshuhudia wake zao wana mali za kurithi faida kedekede na wanawaheshim mno. .
sijafanya utafiti ila kupitia uzoefu, halafu sijasema wote nimesema wengi wao. Katika hao unaowasemea wewe ni wachache kati yao.
 
Back
Top Bottom