desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,593
- 5,848
Na anaepata faida kwenye ndoa ni mwanamkeNdoa hazidumu kwasababu NDOA NI UTAPELI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na anaepata faida kwenye ndoa ni mwanamkeNdoa hazidumu kwasababu NDOA NI UTAPELI
Umesema wamerithi, means wao walitafuta ndoa na sio kutafuta Atm mashine.Ni mtazamo tu. Je kuna utafiti wowote ulioufanya juu ya hili au ni story za vijiweni tu?
Binafsi kuna watu wawili nimeshuhudia wake zao wana mali za kurithi faida kedekede na wanawaheshim mno. .
Waswahili maskini ndio hawajali wanaachana daily. We omba update mke mwema.Habari wanajukwaa,
Moja kwa moja kwenye mada.
Wanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa nyingi wakiwahudumia kwa kila kitu na wakizingua wanawatimua.
Hasa watumishi ndiyo wanaongoza kuwa single mothers kuliko wafanyabiashara. Kuna ofisi fulani kubwa tu, kati ya wanawake 16 wanaofanya kazi hapo 12 waliolewa na kuachana na waume zao.
Shida ni nini wadau?
Well saidUmesema wamerithi, means wao walitafuta ndoa na sio kutafuta Atm mashine.
90% ya wanawake wanaolewa kwa sababu ya umasikini na sio kujua nini maana ya ndoa. Thus wakipata mali uwadharau waume zao au wakikosa mali uwakimbia waume zao wenye aibu ubakia kuwadharau waume zao.
Mwanamke akiwa na pesa tena za kurithi au katokea kwenye utajiri hawi limbukeni anatafuta mume na sio ATM.
Kikawaida mwanamke ameumbwa kupokea na sio kutoa (ni imani na mtazamo wangu)dats mara chache kukuta mwanamke anaejiweza kiuchumi kumhudumia mwanaume ambae hayuko responsible kwa familia yake wakasurvive kwa mda mrefu wanachoka mapema coz hawakuumbwa hivo..Habari wanajukwaa,
Moja kwa moja kwenye mada.
Wanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa nyingi wakiwahudumia kwa kila kitu na wakizingua wanawatimua.
Hasa watumishi ndiyo wanaongoza kuwa single mothers kuliko wafanyabiashara. Kuna ofisi fulani kubwa tu, kati ya wanawake 16 wanaofanya kazi hapo 12 waliolewa na kuachana na waume zao.
Shida ni nini wadau?
Mara nyingi kama anavyovyote tamaa hapo juu akisurvive kwa ndoa mwanamke huyo yupo kwa ajili ya status ya ndoa tu lkn mwanaume cha moto utaona huko ndan soon or laterUmesema wamerithi, means wao walitafuta ndoa na sio kutafuta Atm mashine.
90% ya wanawake wanaolewa kwa sababu ya umasikini na sio kujua nini maana ya ndoa. Thus wakipata mali uwadharau waume zao au wakikosa mali uwakimbia waume zao wenye aibu ubakia kuwadharau waume zao.
Mwanamke akiwa na pesa tena za kurithi au katokea kwenye utajiri hawi limbukeni anatafuta mume na sio ATM.
Pesa ndiye mtawala namba moja na controler wa kila kituWanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa nyingi wakiwahudumia kwa kila kitu na wakizingua wanawatimua.
Wanawake hawana utii wanaume hawana maarifa ya kuishi na wanawake.Ndoa ngumu sana sikuhizi
Wanawake hawana utii wanaume hawana maarifa ya kuishi na wanawake.
Kweli Tena Hawa walotangulia ndo wanatuogopesha zaidiWanawake hawana utii wanaume hawana maarifa ya kuishi na wanawake.
Wanaume dhaifu kwa asilimia kubwa. Wengi sio viongozi kwa hao wanawake.Habari wanajukwaa,
Moja kwa moja kwenye mada.
Wanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa nyingi wakiwahudumia kwa kila kitu na wakizingua wanawatimua.
Hasa watumishi ndiyo wanaongoza kuwa single mothers kuliko wafanyabiashara. Kuna ofisi fulani kubwa tu, kati ya wanawake 16 wanaofanya kazi hapo 12 waliolewa na kuachana na waume zao.
Shida ni nini wadau?
Ila nimekuja kugundua huwezi kuta feminist anatokea Tanga [emoji23][emoji23]wengi ni wa mikoa fulani fulani na hawajui kupika. Sijui kwa niniHabari wanajukwaa,
Moja kwa moja kwenye mada.
Wanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa nyingi wakiwahudumia kwa kila kitu na wakizingua wanawatimua.
Hasa watumishi ndiyo wanaongoza kuwa single mothers kuliko wafanyabiashara. Kuna ofisi fulani kubwa tu, kati ya wanawake 16 wanaofanya kazi hapo 12 waliolewa na kuachana na waume zao.
Shida ni nini wadau?
Je, wanaume watafute wanawake kutoka familia za watu wenye pesa ??Umesema wamerithi, means wao walitafuta ndoa na sio kutafuta Atm mashine.
90% ya wanawake wanaolewa kwa sababu ya umasikini na sio kujua nini maana ya ndoa. Thus wakipata mali uwadharau waume zao au wakikosa mali uwakimbia waume zao wenye aibu ubakia kuwadharau waume zao.
Mwanamke akiwa na pesa tena za kurithi au katokea kwenye utajiri hawi limbukeni anatafuta mume na sio ATM.
wanawake wakiislamu wengi wapo humble.Ila nimekuja kugundua huwezi kuta feminist anatokea Tanga [emoji23][emoji23]wengi ni wa mikoa fulani fulani na hawajui kupika. Sijui kwa nini