Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Wengi huanza taratibu hadi wanakubuhu sana tu kisa mapenzi ati kumfuraisha mwanaume. Na ukizoea huachi
 
Mbona mie napenda uko [emoji108] [emoji126] [emoji8]
Ooh km unapenda mpigie huyu jamaa,ni bingwa,namba zake ni

Bashite 659 bashite 71 bashite bashite bashite

NOTE: bashite ni 0
 
Wali huwa mtamu ukila na UKOKO ...
 
Kuna mkaka alikuja na gia hiyo sijui alifikiri na mie bwe.ge??? Eti ukinipa tigo ntakupenda milele... Nikamwangalia na kumjibu kampende milele mama yako.
Sipendi ujinga mimi!
Ukampa voda tu akasepa au
 
Na ndo wengi wako hivi wanataka huo mchezo kuliko lolote watu warudie maandiko. Sasa hivi kila mwanaume anataka mchezo, hafu ukimwambie yeye ageuzwe mkali. Mwanaume akupendaye hawezi kukufanyia hivo kamwe.
Duuh
 
Hahaaaaaaa pole mkuu kumbe watu hufokoa huko hamkuoneana aibu kweli? Maana hilo tendo kufanya binadamu timilifu lazima nati ilegee
Ujana unakuja na mengi Diva, sio lazima nati ilegee ndio mtu afanye au kujaribu huo uchafu, ni ujana tu...mshukuru Mungu kwa kuwa unaweza kuutawala ujana hadi kujitambua, kwa wengine kujitambua kunakuja when they've done it.

Uzuri ni kuwa God forgives, wengi wameanguka mara moja/mbili lakini wakajitambua na kuacha, but this is an issues, especially for youth. Huu uchafu una-trend sana kwa vijana wetu.
 
Biblia imesema ole wao wafirao na wafirwao... adhabu yao ni kubwa kuliko....

Na ndiyo maana ugonjwa tezi dume umeongezeka sana siku za karibuni...

God forbid hii tabia mbaya...
kitabu gani hicho mkuu na mimi nikipitie pitie kidogo
 
Naskia haka kamchezo kanafanywa sana na wale wavaa ushungi wa kiharabu ili kutunza bkr zao za mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…