Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Yaa unajua hakuna kitu kibaya kama kumpenda mtu to the state of comma, yaani baadae atakuwa mind controller wako,siku ataomba ajaribu hata kidogo,huta kuwa na uwezo wa ku resist,madem wengi walio kubuhu ukimuuliza alianzaje wala hawez kwambia alibakwa,atakwambiaalishwishiwa na man wake kkaanza kichwa mwisho mabawa........mwishoe yote!
Wengi huanza taratibu hadi wanakubuhu sana tu kisa mapenzi ati kumfuraisha mwanaume. Na ukizoea huachi
 
Siku za hivi karibuni umeibuka mchezo mchafu sana wa mabinti hasa wa mjini kutaka au kupenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile ,uchunguzi wangu mdogo nimegundua mabinti wengi wa siku hizi wanapenda sana huu mchezo na hata sisi wanaume tunapenda kuwashawishi mabinti kuwasukuma tope,unakuta binti ana miaka 17 lakini tayari keshazoe kufanywa nyuma ni hatari sana sasa najiuliza huu mchezo unazidi kukua kwa kasi kutokana na utandawazi au ndo kuiga au tunarudi enzi za sodoma na Gomora..!??
Nawasilisha hoja za utafiti wangu
Mucho gracias amigos
Wali huwa mtamu ukila na UKOKO ...
 
Hahaaaaaaa pole mkuu kumbe watu hufokoa huko hamkuoneana aibu kweli? Maana hilo tendo kufanya binadamu timilifu lazima nati ilegee
Ujana unakuja na mengi Diva, sio lazima nati ilegee ndio mtu afanye au kujaribu huo uchafu, ni ujana tu...mshukuru Mungu kwa kuwa unaweza kuutawala ujana hadi kujitambua, kwa wengine kujitambua kunakuja when they've done it.

Uzuri ni kuwa God forgives, wengi wameanguka mara moja/mbili lakini wakajitambua na kuacha, but this is an issues, especially for youth. Huu uchafu una-trend sana kwa vijana wetu.
 
Biblia imesema ole wao wafirao na wafirwao... adhabu yao ni kubwa kuliko....

Na ndiyo maana ugonjwa tezi dume umeongezeka sana siku za karibuni...

God forbid hii tabia mbaya...
kitabu gani hicho mkuu na mimi nikipitie pitie kidogo
 
Naskia haka kamchezo kanafanywa sana na wale wavaa ushungi wa kiharabu ili kutunza bkr zao za mbele
 
Back
Top Bottom