Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Nimewahi kufanya kazi na Lesbians, niliwapenda sana kufanya kazi nao, kwani wako motivated kiutendaji kama wanaume, na wanajitahidi kuwa na tabia kama za kiume na papo wako very strictly mambo ya mahusiano, usiwaguse kwani utaumbuka kama si kushtakiwa udhalilishaji. Kwa mtazamo wangu pamoja na mambo yao, lakini mbele ya jamii wanajiheshimu vizuri sana na ustaarabu wao ni mzuri kuliko wasichana wa kawaida wanaotaka kujirembua na kujipitisha na pia kuweka mitego mbalimbali kuwavutia wanaume.


Wewe unaonekana kuwa ni male chauvinist unaedhani kwamba kuwa kama mwanamme ndio kitu bora. Kwa mtazamo wako, wanawake wapo chini ya wanaume na hivyo mwanamke kujibadilisha kuwa kama mwanamme ndio bora.
Hiyo ni dharau na udhalilishaji kwa wanawake na haikubaliki hata kidogo. Kutetea kwako wasagaji kusitumike kudharau, kukejeli wala kukebehi wanawake wengine
 
bt ngono kinyume cha maumbile bado unafanya na mtu ambae hana jinsi moja kama wewe
 
Bora ndugu yangu umeliona hilo, maana msukumo wangu kuanzisha mada hii ni kutokana na jinsi jukwaa la wakubwa lilivyopoteza maana kamili ya kinachotazamiwa na kubaki kama maonyesho ya ushoga na usagaji. Picha zinazowekwa hapo kwa wastaarabu wanakimbia haraka kwani tunachotazamia pale ni kubadilishana mawazo juu ya maisha ya ndoa au mahusiano ya ngono kwa kufuata mila na desturi za utamaduni wetu. Lakini kinachoendelea ni kuelimisha jamii ibadilike na kufanya yafanywayo na lesbians/gays.

Pamoja na kwamba kuna special ID ya kuingia huko, hii isiwe ndio kigezo cha kuwa na uhuru unaopitiliza. Huku tunasema ushoga mbaya na papo hapa huko jukwaa jingine tunawafunda watu namna ya kufanya ushoga kwa maneno na picha. Hii haija kaa sawa. Haya haya ndiyo tuliyoyalalamikia Ze-utamu yamerudi kwa mlango wa nyuma kwenye JF yetu.

Jukwaa la Wakubwa JF is too much! nasema hivyo kwasababu hata ulaya ambapo kuna haki zao hao gays and lesbians, bado huwezi kukuta kwenye public forum kama JF inawapa watu access ya kupost huu uchafu. Mimi mwenyewe nilitegemea Jukwaa la Wakubwa lingesaidia watu namna gani ndoa zao na namna ya kukabiliana na changamoto mbalimbali za kufanya kuhusiana na maisha ya ngono lkn si katika hali iliyopo sasa kwenye hilo jukwaa.

Kwa ufupi jukwaa la wakubwa inanipa shida sana kuitembelea, hadi nalazimika kutafuta thread ambayo haionyeshi kwamba ina attachment, nikidhania kwamba huko kutakuwa namaelezo bora ya namna ya kufanya mambo ya wakubwa. Lkn cha ajabu, thread zingine hazionyeshi kwamba zina attachments lkn ukifungua tu unakutano na huo uchafu. Na jili jambo siyo zuri kabisa, kwani ukiona kitu cha ajabu hukaa kichwani muda mrefu kuliko kitu cha kawaida.

Ndugu yangu,
Mimi mpaka sasa kuna thread za watu sifungui hata kwa dawa, kwani ukifanya kosa na kufungua hakika utajuta. Kuna dada mmoja anaitwa Z...... na kaka mmoja anaitwa B........, ukifungua thread zao huko hakika hutakaa usahau uchafu wanaopost hapa JF hasa kwenye hili jukwaa la wakubwa.

Mimi kuna swali linanipa taabu,kwamba moderators hata wanapofanya evalutaion ya posts kwenye majukwaa tofauti, hivi hawaoni aina ya posts na aina fulani ya watu wakipost zenye huu mchezo kwa wingi, na hawajiulizi ni kwanini watu makini hawataki kuweka au kuchangia chochote kwenye hili jukwaa la wakubwa? Inauma kidogo na hasa mmoja wa moderator namfahamu vizuri sana na tumewahi kufanya naye kazi ofisi moja huyu mtani wangu, na ni mtu makini sana lkn nashangaa katika hili yeye na mods wengine wako kimya.

Niliwahi kusikia siku moja wakitetea kwamba watu makini wanapotembelea jukwaa hili wanakuwa na ID nyingine. Sasa swali la kuwauliza mods, je nini motives ya watu hawa kuingia hili jukwaa kwa ID ya siri? Je kuna mchango wowote wa maana kwenye jukwaa hili unaloweza kusema ni la watu makini kama ilivyo kwenye majukwaa mengine? Jibu ni moja tu, HAKUNA CHA MAANA ZAIDI YA UCHAFU unaopatikana kwenye hili jukwaa la wakubwa.

Hivyo basi mimi napendekeza jina jipya la hili jukwaa liwe JUKWAA LA KUCHANGIA KUHARIBU MAADILI YA JAMII badala ya jukwaa la wakubwa. Nasema hivyo kwasababu,watafiti walio wengi duniani wanakubaliana katika jambo moja nalo ni kwamba hakuna kitu kisichokuwa na faida na hasara. Vitu vyote au jambo lolote lina faida na hasara zake. Na kitu kinaonekana ni mbaya pale HASARA zinapokuwa nyingi kuliko FAIDA , na kinyume chake ni sahihi. Sasa hili Jukwaa la Wakubwa ukiangalia based on this theory, then utakubaliana na mimi kwamba HASARA NI NYINGI KULIKO FAIDA. Hii inamaanisha kwamba, Jukwaa la Wakubwa badala ya kujenga jamii sasa inabomoa jamii kwa kutaka kutahaminisha kwamba chochote kinachofanyika Ulaya au Marekani au Uarabuni ni sahihi sisi kuiga. Watu wanashindwa kujua kwamba mazingira na tamaduni za watu ni tofauti? na sisi waafrika na hasa watanzania kwa kushindwa kuliona hili ndiyo maana hatufanyi maendeleo, kwani tunaingiza tamaduni ambayzo kwayo hatuna msingi na si zetu, hivyo matokeo yake tunaishia kushindwa.
TELO.
 
Jukwaa la Wakubwa JF is too much! nasema hivyo kwasababu hata ulaya ambapo kuna haki zao hao gays and lesbians, bado huwezi kukuta kwenye public forum kama JF inawapa watu access ya kupost huu uchafu. Mimi mwenyewe nilitegemea Jukwaa la Wakubwa lingesaidia watu namna gani ndoa zao na namna ya kukabiliana na changamoto mbalimbali za kufanya kuhusiana na maisha ya ngono lkn si katika hali iliyopo sasa kwenye hilo jukwaa.

Kwa ufupi jukwaa la wakubwa inanipa shida sana kuitembelea, hadi nalazimika kutafuta thread ambayo haionyeshi kwamba ina attachment, nikidhania kwamba huko kutakuwa namaelezo bora ya namna ya kufanya mambo ya wakubwa. Lkn cha ajabu, thread zingine hazionyeshi kwamba zina attachments lkn ukifungua tu unakutano na huo uchafu. Na jili jambo siyo zuri kabisa, kwani ukiona kitu cha ajabu hukaa kichwani muda mrefu kuliko kitu cha kawaida.

Ndugu yangu,
Mimi mpaka sasa kuna thread za watu sifungui hata kwa dawa, kwani ukifanya kosa na kufungua hakika utajuta. Kuna dada mmoja anaitwa Z...... na kaka mmoja anaitwa B........, ukifungua thread zao huko hakika hutakaa usahau uchafu wanaopost hapa JF hasa kwenye hili jukwaa la wakubwa.

Mimi kuna swali linanipa taabu,kwamba moderators hata wanapofanya evalutaion ya posts kwenye majukwaa tofauti, hivi hawaoni aina ya posts na aina fulani ya watu wakipost zenye huu mchezo kwa wingi, na hawajiulizi ni kwanini watu makini hawataki kuweka au kuchangia chochote kwenye hili jukwaa la wakubwa? Inauma kidogo na hasa mmoja wa moderator namfahamu vizuri sana na tumewahi kufanya naye kazi ofisi moja huyu mtani wangu, na ni mtu makini sana lkn nashangaa katika hili yeye na mods wengine wako kimya.

Niliwahi kusikia siku moja wakitetea kwamba watu makini wanapotembelea jukwaa hili wanakuwa na ID nyingine. Sasa swali la kuwauliza mods, je nini motives ya watu hawa kuingia hili jukwaa kwa ID ya siri? Je kuna mchango wowote wa maana kwenye jukwaa hili unaloweza kusema ni la watu makini kama ilivyo kwenye majukwaa mengine? Jibu ni moja tu, HAKUNA CHA MAANA ZAIDI YA UCHAFU unaopatikana kwenye hili jukwaa la wakubwa.

Hivyo basi mimi napendekeza jina jipya la hili jukwaa liwe JUKWAA LA KUCHANGIA KUHARIBU MAADILI YA JAMII badala ya jukwaa la wakubwa. Nasema hivyo kwasababu,watafiti walio wengi duniani wanakubaliana katika jambo moja nalo ni kwamba hakuna kitu kisichokuwa na faida na hasara. Vitu vyote au jambo lolote lina faida na hasara zake. Na kitu kinaonekana ni mbaya pale HASARA zinapokuwa nyingi kuliko FAIDA , na kinyume chake ni sahihi. Sasa hili Jukwaa la Wakubwa ukiangalia based on this theory, then utakubaliana na mimi kwamba HASARA NI NYINGI KULIKO FAIDA. Hii inamaanisha kwamba, Jukwaa la Wakubwa badala ya kujenga jamii sasa inabomoa jamii kwa kutaka kutahaminisha kwamba chochote kinachofanyika Ulaya au Marekani au Uarabuni ni sahihi sisi kuiga. Watu wanashindwa kujua kwamba mazingira na tamaduni za watu ni tofauti? na sisi waafrika na hasa watanzania kwa kushindwa kuliona hili ndiyo maana hatufanyi maendeleo, kwani tunaingiza tamaduni ambayzo kwayo hatuna msingi na si zetu, hivyo matokeo yake tunaishia kushindwa.
TELO.

TELO@ umenikuna kwa maoni yako.

Jamii forums ni mtandao ambao hapa Tanzania umekua kiasi cha kuwa na watembeleaji wengi wa jinsia, rika na mataifa mbalimbali. Uwezo wake wa kupanga majukwaa mbalimbali kumefanya wengi waipende kwani mtu uko na uhuru kupanda jukwaa ulipendalo na uhuru wa ku-post, kuchangia na kusoma maoni na post mbalimbali za washiriki.

Mitandao mingi ambayo inakuwa na idadi kubwa ya wachangiaji ambayo inagusa zaidi jamii nzima imekuwa na
restriction kwa baadhi ya mambo ambayo yanaweza kuathiri jamii kimtazamo, kiutamaduni, kimahusiano, kimaendeleo, kiuchumi nk. Mtandao huu umefanikiwa katika hayo yote ila kasoro tu ni kwenye jukwaa la wakubwa kama ulivyoainisha TELO. Limekuwa jukwaa kama la Ze-utamu, na moderators hawahariri habari kule kama wanavyohariri post kwenye majukwaa mengine. Hili la moderators kuruhusu hata mambo ya ushoga kushamiri huko nimeamua kuliweka hili wazi kwa sababu za kulinda maadili ya watanzania na waafrika.

Kuna wenye malengo ya kujifunza maisha ikiwamo mambo ya wanandoa au mapenzi ni kawaida hata tamaduni zetu kujua mambo ya jando, kuwafunda wanaharusi, kuwafunda waliobalehe au kuvunja ungo kuwa wameingia ukubwani, na mambo yanayotakiwa kuwa waangalifu katika ukubwa katika mahusiano, hasa wasichana kuwa waangalifu katika kujihusisha mambo ya ngono na wanaume athari ni kupata mimba bila mpangilio na mengine ambayo ni kawaida na yanafanyika kila siku katika mila, na jamii inatazamia nini kutoka kwa, ni ni desturi katika makabila mbalimbali. Huko watu hawafundwi namna ya kuingiliana kinyume cha maumbile.

Swali moja muhimu ambalo TELO ameuliza kwamba jukwaa hilo ni kwa ajili ya kuijenga jamii au kuibomoa? Sio wote wanaoingia jukwaa hilo ambao wanafahamu kuwa wanakwenda kusoma na kujifunza mambo ya kufanya ngono kinyume cha maumbile. Wanachotazamia kubadilishana mawazo namna bora za ustaarabu kukuza mahusiano ya ndoa au urafiki kwa vijana wenye malengo ya kujenga future ya maisha ya ndoa. Wanachokutana na kukaribishwa huko ni porn sex za
  • mwingiliano kinyume cha maadili na
  • kinyume cha maumbile,
  • kinyume cha utamaduni,
  • kinyume cha utu.

Moderators hawashtuki na wanaacha mambo yaendelee kama yalivyo. Kama wangekuwa wanamalengo ya kuilinda jamii na mazingira mazuri ya ustaarabu wa kiafrika, naamini posta za namna hiyo wasingeziruhusu na pengine hata kuwapa ban wanaofanya hivyo, lakini kinachoendelea ni kinyume cha hayo.

Special confirmed ID kwa jukwaa la wakubwa sidhani kama ni uhalalisho wa kuposti mambo ya mashoga na wasagaji, au kufundishana na kujifunza au kujizoesha namna ya kufanya ngono kinyume cha maumbile yetu.

  • Kwani viungo vya uzazi ni vya uzazi, katu uzazi huwezi kutokea haja kubwa au mdomoni.
  • viungo vya kutolea uchafu wa haja kubwa ni kwa ajili ya kutolea uchafu na
  • viungo vya kupitishia na kumeza chakula ni kwa ajili ya chakula.

Sasa hayo yanapohalalishwa kwenye mtandao mkubwa kama huu ambao tunatazamia utazidi kukua na hata kuwa na kiwango cha
Yahoo, Google nk natia shaka jukwaa hilo linaweza likamulikwa hata na vyombo vya kimataifa kwamba si busara kuweka mambo kama hayo kwenye mtandao mkubwa ambao hutembelewa na wengi pamoja na kuweka restriction ya special ID maana yake mtandao umeridhia mambo hayo kuwemo ndani, na kwamba porn site ziingizwe humo ambazo ni hatari kwa malezi ya kifamilia, kijamii na kistaarabu.

Ushauri wangu kwa
uongozi wa Jamii Forums na Mmuliki wake Mello Maxence:-

  1. Jambo lo lote lazima liwe na kiasi, kupitiliza kiasi ni uharibifu, hata chakula kizuri kitamu ukizidisha ni kuvimbiwa, kuharisha hatimaye kuugua. Ulimwengu na kila kitu kinatawaliwa na sheria bila hivyo hakuna ubora utakaokuwepo ila maangamizi.
  2. Serikali inapokataa shinikizo la nchi za Magharibi kuhusu haki za lesbians/gays ni bora hata mitandao ikawa na jitihada ya kuzuia hayo ili kujenga na kuimarisha utamaduni wetu ambao hufuata misingi ya maumbile yetu kadiri alivyotuumba Muumba wetu.
  3. Jamii forums wanaingia watu wa aina mbalimbali, wakomavu, legelege, wanaoyumba na kufuata upepo, wanasiasa, watu wa dini, wapagani, vijana, wazee, watu wa mataifa mbalimbali nk. Hawa kila mmoja anaingia kwa malengo ya kusoma jukwaa analoona linamvuto kwake. Pamoja na hayo kinga ni bora kuliko kuponya, kwa wanaotafuta jukwaa la wakubwa kwa sababu ya kujiburudisha na kujifunza mambo kinyume cha maumbile bora kuwasaidia kuwawekea mipaka, isiwe JF iwe kitovu cha kuharibika kwenye jukwaa hili kama ilivyotokea mtandao fulani (jina kapuni) ulivyoharibu vijana wengi walipokuwa na utaratibu wa kukutana ili kujuana na wakajuana kweli na yaliyowapata wengi tunayajua, nisingetazamia hayo JF.
  4. kuratibu jukwaa la wakubwa liwe na kiwango cha kawaida ambacho wenye special ID watanufaika na elimu itolewayo huko badala ya mambo ambayo wengi tukiingia huko tunajisikia yanachefua ingawa kwa wengine mambo hayo ni burudani.
  5. Jukwaa la Mapenzi urafiki nk. binafsi naona linafaa zaidi kuliko hili la wakubwa, kwani huko uchochoroni kunafanya mengi yafanyike yasiyokubalika kijamii, na kigezo cha kuwa uchochoronini kunafanya yafanyike yafanyikayo uchochoronini.

Huu ni ushauri wangu kwamba kile ambacho viongozi wa serikali, dini na jamii wakikazia kutoruhusu mambo ya usagaji/ushoga, mitandao nayo iwe ndio njia moja wapo ya kusaidia jamii, kwani kuacha mambo yaendelee kama yalivyo huku tukijua kwamba source ziko nyingi za kuingiza mambo ya kuichafua JF, bora kuwe na restriction, wanaotaka mambo hayo waende huko kwenye source hizo wakayapate, lakini si kuyaleta huku JF na kuharibu walio legelege na kufutata upepo kama bendera ifanyavyo kufuata upepo.


JF iwe kama bendera ya airport kuongoza airplane itue au kuruka kwa mwelekeo sahihi na salama.
 
Wewe unaonekana kuwa ni male chauvinist unaedhani kwamba kuwa kama mwanamme ndio kitu bora. Kwa mtazamo wako, wanawake wapo chini ya wanaume na hivyo mwanamke kujibadilisha kuwa kama mwanamme ndio bora.
Hiyo ni dharau na udhalilishaji kwa wanawake na haikubaliki hata kidogo. Kutetea kwako wasagaji kusitumike kudharau, kukejeli wala kukebehi wanawake wengine

Nimeonyesha tu experience yangu kuwa na watu hawa si wabaya, ni watu wazuri tu wenye kujiheshimu. Hawamsumbu mtu na wako very social kwa kila mtu ila very strict katima mambo ya kujamihiana, hawapendi mambo haya kuyaongelea ila ni yao peke sirini kwao. Unapenda kufanya kazi nao kwani mvao wao hauhamashi mshtuko wa kutamaniana, wala hawapendi kujiremba na kujirembua, wako watanashati na wazuri wa kawaida na kutojiremba kwao hakujawapunguzia uzuri wa kawaida kama binadamu.

Wengi wetu wamezoea kuwaona wa mitaani wasiostaarabika ambao huonyesha mambo yao hadharani ambayo huchefua wengi. Hata mambo ya wanandoa ni yao ya ndani si ya hadharani kama tamaduni zetu za kiafrika zilivyo. Tukitaka kuiga ya wazungu, tuwe tunabusiana hadharani, kukumbatiana hadharani, kunyonyanda ndimi hadharani, kwa tamaduni za kiafrika ni kitu kigeni lakini kwao ni utamaduni wao. Tuwaachie utamaduni wao. Mbona wao wanapenda sana kujifunza tamaduni zetu na wanaoishi kwao wanawaachia waishi na tamaduni zao bila kuwabughudhi mradi sheria za nchi hazivunjwi.
Hizi ni sifa tu nilizojifunza toka kwao, haina maana nakubaliana na mtindo wao wa maisha, huenda niko kinyumbe zaidi kuliko unavyofikiria, ungejaribu kunisoma post zangu ungeweza kuidaka falsafa yangu. Thanks.
 
TELO@ umenikuna kwa maoni yako.

Jamii forums ni mtandao ambao hapa Tanzania umekua kiasi cha kuwa na watembeleaji wengi wa jinsia, rika na mataifa mbalimbali. Uwezo wake wa kupanga majukwaa mbalimbali kumefanya wengi waipende kwani mtu uko na uhuru kupanda jukwaa ulipendalo na uhuru wa kuposti, kuchangia na kusoma maoni na post mbalimbali za washiriki.

Mitandao mingi ambayo inakuwa na idadi kubwa ya wachangiaji ambayo inagusa zaidi jamii nzima imekuwa na restriction kwa baadhi ya mambo ambayo yanaweza kuathiri jamii kimtazamo, kiutamaduni, kimahusiano, kimaendeleo, kiuchumi nk. Mtandao huu umefanikiwa katika hayo yote ila kasoro tu ni kwenye jukwaa la wakubwa kama ulivyoainisha TELO. Limekuwa jukwaa kama la Ze-utamu, na moderators hawahariri habari kule kama wanavyohariri post kwenye majukwaa mengine. Hili la moderators kuruhusu hata mambo ya ushoga kushamiri huko nimeamua kuliweka hili wazi kwa sababu za kulinda maadili ya watanzania na waafrika.

Kuna wenye malengo ya kujifunza maisha ikiwamo mambo ya wanandoa au mapenzi ni kawaida hata tamaduni zetu kujua mambo ya jando, kuwafunda wanaharusi, kuwafunda waliobalehe au kuvunja ungo kuwa wameingia ukubwani, na mambo yanayotakiwa kuwa waangalifu katika ukubwa katika mahusiano, hasa wasichana kuwa waangalifu katika kujihusisha mambo ya ngono na wanaume athari ni kupata mimba bila mpangilio na mengine ambayo ni kawaida na yanafanyika kila siku katika mila, desturi katika makabila mbalimbali. Huko watu hawafundwi namna ya kuingiliana kinyume cha maumbile.

Swali moja muhimu ambalo TELO ameuliza kwamba jukwaa hilo ni kwa ajili ya kuijenga jamii au kuibomoa? Sio wote wanaoingia jukwaa hilo ambao wanafahamu kuwa wanakwenda kusoma na kujifunza mambo ya kufanya ngono kinyume cha maumbile. Wanachotazamia kubadilishana mawazo namna bora za ustaarabu kukuza mahusiano ya ndoa au urafiki kwa vijana wenye malengo ya kujenga future ya maisha ya ndoa. Wanachokutana na kukaribishwa huko ni porn za mwingiliano kinyume cha maadili na kinyume cha maumbile, kinyume cha utamaduni, kinyume cha utu na moderators hawashtuki na wanaacha mambo yaendelee kama yalivyo. Kama wangekuwa wanamalengo ya kuilinda jamii na mazingira mazuri ya ustaarabu wa kiafrika, naamini posta za namna hiyo wasingeziruhusu na pengine hata kuwapa ban wanaofanya hivyo, lakini kinachoendelea ni kinyume cha hayo.

Special confirmed ID kwa jukwaa la wakubwa sidhani kama ni uhalalisho wa kuposti mambo ya mashoga na wasagaji, au kufundishana namna ya kufanya ngono kinyume cha maumbile yetu.

  • Kwani viungo vya uzazi ni vya uzazi, katu uzazi huwezi kutokea haja kubwa au mdomoni.
  • viungo vya kutolea uchafu wa haja kubwa ni kwa ajili ya kutolea uchafu na
  • viungo vya kupitishia na kumeza chakula ni kwa ajili ya chakula.

Sasa hayo yanapohalalishwa kwenye mtandao mkubwa kama huu ambao tunatazamia utazidi kukua na hata kuwa na kiwango cha Yahoo, Google nk natia shaka jukwaa hilo linaweza likamulikwa hata na vyombo vya kimataifa kwamba si busara kuweka mambo kama hayo kwenye mtandao mkubwa ambao hutembelewa na wengi pamoja na kuweka restriction ya special ID maana yake mtandao umeridhia mambo hayo kuwemo ndani, na kwamba porn site ziingizwe humo ambazo ni hatari kwa malezi ya kifamilia, kijamii na kistaarabu.

Ushauri wangu kwa uongozi wa Jamii Forums na Mmuliki wake Mello Maxence:-

  1. Jambo lo lote lazima liwe na kiasi, kupitiliza kiasi ni uharibifu, hata chakula kizuri kitamu ukizidisha ni kuvimbiwa, kuharisha hatimaye kuugua. Ulimwengu na kila kitu kinatawaliwa na sheria bila hivyo hakuna ubora utakaokuwepo ila maangamizi.
  2. Serikali inapokataa shinikizo la nchi za Magharibi kuhusu haki za lesbians/gays ni bora hata mitandao ikawa na jitihada ya kuzuia hayo ili kujenga na kuimarisha utamaduni wetu ambao hufuata misingi ya maumbile yetu kadiri alivyotuumba Muumba wetu.
  3. Jamii forums wanaingia watu wa aina mbalimbali, wakomavu, legelege, wanaoyumba na kufuata upepo, wanasiasa, watu wa dini, wapagani, vijana, wazee, watu wa mataifa mbalimbali nk. Hawa kila mmoja anaingia kwa malengo ya kusoma jukwaa analoona linamvuto kwake. Pamoja na hayo kinga ni bora kuliko kuponya, kwa wanaotafuta jukwaa la wakubwa kwa sababu ya kujiburudisha na kujifunza mambo kinyume cha maumbile bora kuwasaidia kuwawekea mipaka, isiwe JF iwe kitovu cha kuharibika kwenye jukwaa hili kama ilivyotokea mtandao fulani (jina kapuni) ulivyoharibu vijana wengi walipokuwa na utaratibu wa kukutana ili kujuana na wakajuana kweli na yaliyowapata wengi tunayajua, nisingetazamia hayo JF.
  4. kuratibu jukwaa la wakubwa liwe na kiwango cha kawaida ambacho wenye special ID watanufaika na elimu itolewayo huko badala ya mambo ambayo wengi tukiingia huko tunajisikia yanachefua ingawa kwa wengine mambo hayo ni burudani.
  5. Jukwaa la Mapenzi urafiki nk. binafsi naona linafaa zaidi kuliko hili la wakubwa, kwani huko uchochoroni kunafanya mengi yafanyike yasiyokubalika kijamii, na kigezo cha kuwa uchochoronini kunafanya yafanyike yafanyikayo uchochoronini.

Huu ni ushauri wangu kwamba kile ambacho viongozi wa serikali, dini na jamii wakikazia kutoruhusu mambo ya usagaji/ushoga, mitandao nayo iwe ndio njia moja wapo ya kusaidia jamii, kwani kuacha mambo yaendelee kama yalivyo huku tukijua kwamba source ziko nyingi za kuingiza mambo ya kuichafua JF, bora kuwe na restriction, wanaotaka mambo hayo waende huko kwenye source hizo wakayapate, lakini si kuyaleta huku JF na kuharibu walio legelege na kufutata upepo kama bendera ifanyavyo kufuata upepo.


JF iwe kama bendera ya airport kuongoza airplane itue au kuruka kwa mwelekeo sahihi na salama.

Candid Scope,
Ndugu yangu nikushukuru sana kwa concern yako katika jamii yetu na taifa kwa ujumla. Hakika mtizamo wako na wangu na naamini na walio wengi ni kwamba hili jukwaa la Wakubwa linachangia kuharibu jamii yetu tofauti na kauli ya serikali yetu ya kupinga haya mambo. Hivyo, ni jukumu la jamii nzima pamoja na vyombo vyote vya habari kusaidia katika hili na si serikali pekee. Haiwezekani mambo mengine yanakuwa moderated lkn hili la Jukwaa la Wakubwa inabaki kuwa jukwaa la kufundisha mambo ya kipuuzi. Siamini kwamba ni malengo ya JF na hasa mojawapo wa wamiliki wake ambaye mimi namfahamu vizuri, kwani tuliwahi kufanya kazi ofisi moja huko nyuma na yeye alinisaidia sana katika kuifahamu kazi. Hivyo nilipogundua kwamba yeye ni mmoja wa wamiliki wa JF nilifarijika sana, hivyo ni imani yangu hata sasa hajabadilika na kuweza kuanzisha chombo kinachochangia uharibifu wa maadili. Hivyo, sitegemei mtu yeyote ajitokeze hapa na kujaribu kujustify haya mapungufu kwenye jukwaa la wakubwa kwa kigezo cha Uhuru wa Habari na kwamba it is a matter of choice kutembelea jukwaa ulipendalo. NASEMA HAPANA KUBWA sana kwasababu madhara yake yanasambaa hadi kwenye familia zetu hasa wale ambao ni under 18 ambao kwa kiasi fulani bado hawawezi kufanya maamuzi binafsi, kwani ni rahisi kwao kuwa influenced na mazingira.Pia wanaoshiriki huu mchezo mchafu wanatumia nafasi zao kuwashawishi watu wengine ili wawe wengi.

Hili jambo wahusika wangekuwa wanajifanya wao wenyewe isingekuwa tatizo, lkn kwasababu wanahusisha jamii katika huu mchezo, basi hatutakaa kimya hata kama wale wanaopenda huu mchezo watatuchukia. JF inatakiwa kuwa Kioo cha kusaidia jamii na siyo kuwa jukwaa moja ambalo linachangia kuharibu jamii yetu kinyume na wito wa serikali yetu. Nasisitiza tena, JF itaendelea kuwa na wanachama wengi sana hata kama jukwaa la wakubwa liwekewa utaratibu mpya. Hivyo, mods wasiohofu katika hilo. Na kama hili jukwaa likiendelea na huu uhuru au utandawazi usiokuwa na mipaka wala utaratibu wa kuzingatia maadili, hakika hadhi ya JF itaanza kushika.

NB. Ndugu yangu ushauri uliotoa kwa mods unajitosheleza, na ningefurahi kama ungeukopi na kuwatumia kwenye private messages ili waweze kuusoma. Na hii yote imelenga kujenga JF na jamii yetu kwa ujumla.
TELO.
 
Candid Scope,
Ndugu yangu nikushukuru sana kwa concern yako katika jamii yetu na taifa kwa ujumla. Hakika mtizamo wako na wangu na naamini na walio wengi ni kwamba hili jukwaa la Wakubwa linachangia kuharibu jamii yetu tofauti na kauli ya serikali yetu ya kupinga haya mambo. Hivyo, ni jukumu la jamii nzima pamoja na vyombo vyote vya habari kusaidia katika hili na si serikali pekee. Haiwezekani mambo mengine yanakuwa moderated lkn hili la Jukwaa la Wakubwa inabaki kuwa jukwaa la kufundisha mambo ya kipuuzi. Siamini kwamba ni malengo ya JF na hasa mojawapo wa wamiliki wake ambaye mimi namfahamu vizuri, kwani tuliwahi kufanya kazi ofisi moja huko nyuma na yeye alinisaidia sana katika kuifahamu kazi. Hivyo nilipogundua kwamba yeye ni mmoja wa wamiliki wa JF nilifarijika sana, hivyo ni imani yangu hata sasa hajabadilika na kuweza kuanzisha chombo kinachochangia uharibifu wa maadili. Hivyo, sitegemei mtu yeyote ajitokeze hapa na kujaribu kujustify haya mapungufu kwenye jukwaa la wakubwa kwa kigezo cha Uhuru wa Habari na kwamba it is a matter of choice kutembelea jukwaa ulipendalo. NASEMA HAPANA KUBWA sana kwasababu madhara yake yanasambaa hadi kwenye familia zetu hasa wale ambao ni under 18 ambao kwa kiasi fulani bado hawawezi kufanya maamuzi binafsi, kwani ni rahisi kwao kuwa influenced na mazingira.Pia wanaoshiriki huu mchezo mchafu wanatumia nafasi zao kuwashawishi watu wengine ili wawe wengi.

Hili jambo wahusika wangekuwa wanajifanya wao wenyewe isingekuwa tatizo, lkn kwasababu wanahusisha jamii katika huu mchezo, basi hatutakaa kimya hata kama wale wanaopenda huu mchezo watatuchukia. JF inatakiwa kuwa Kioo cha kusaidia jamii na siyo kuwa jukwaa moja ambalo linachangia kuharibu jamii yetu kinyume na wito wa serikali yetu. Nasisitiza tena, JF itaendelea kuwa na wanachama wengi sana hata kama jukwaa la wakubwa liwekewa utaratibu mpya. Hivyo, mods wasiohofu katika hilo. Na kama hili jukwaa likiendelea na huu uhuru au utandawazi usiokuwa na mipaka wala utaratibu wa kuzingatia maadili, hakika hadhi ya JF itaanza kushika.

NB. Ndugu yangu ushauri uliotoa kwa mods unajitosheleza, na ningefurahi kama ungeukopi na kuwatumia kwenye private messages ili waweze kuusoma. Na hii yote imelenga kujenga JF na jamii yetu kwa ujumla.
TELO.

Nashukuru kwa ushauri wako, nitatumia ujumbe huu kwa wahusika na kwa mmiliki ili kuboresha mtandao huu tuupenda.

Wiki iliyopita nilianzisha topic moja kwamba haki za gays/lesbians wengi walinitupia madongo kwamba nawatetea. Ila hawakunisoma nini naongelea kuhusu mambo hayo na malengo yangu yakiwa namna ya kuishauri JF kufanya marekebisho ya jukwaa la wakubwa.

Tujitajidi kadiri ya uwezo wetu bila kuchoka kuijenga na kuilinda jamii yetu, kwani kwa njia hii tutaokoa wengi ingawa si wote.
 
Nashukuru kwa ushauri wako, nitatumia ujumbe huu kwa wahusika na kwa mmiliki ili kuboresha mtandao huu tuupenda.

Wiki iliyopita nilianzisha topic moja kwamba haki za gays/lesbians wengi walinitupia madongo kwamba nawatetea. Ila hawakunisoma nini naongelea kuhusu mambo hayo na malengo yangu yakiwa namna ya kuishauri JF kufanya marekebisho ya jukwaa la wakubwa.

Tujitajidi kadiri ya uwezo wetu bila kuchoka kuijenga na kuilinda jamii yetu, kwani kwa njia hii tutaokoa wengi ingawa si wote.

Tuko pamoja ndugu yangu. Jaribu kusearch thread yangu moja humu kuhusu wale wanaoshiriki mapenzi kinyume na maumbile. Nilibezwa sana na baadhi ya watu lkn katika evaluation yangu niligundua kwamba waliochukulia mchango wangu positive walikuwa wengi sana kuliko wale walionishambulia. Hivyo, nilimshukuru Mungu kwamba malengo ya thread yangu yalifikiwa, kwani ndilo lililokuwa lengo langu. Na bahati nzuri ni kwamba hiyo thread haikuhamishiwa kwenye jukwaa la wakubwa bali niliwaomba mods waiache kwenye jukwaa la MMU ili iweze kusomwa na wengi sana wenye ID na wasio na ID. Hakika ni imani yangu kwamba kwa ile thread kuna watu iliwasaidia sana.

Itafute na uisome, pia utaweza kuona michango na maoni ya watu mbalimbali kuhusiana na haya mambo.
 
Kumekuchwaaaaa! Kha!

Kuna watu naona wanashikwa na kigugumizi kujadili mada hii, lakini ni vema tukajadili kwani ni jambo ambalo lipo katika mazingira yetu ya kila siku na kila mara tunapata mipasho ya matukio hayo, je tufumbie macho?
 
hahahaaaa nimeipenda sala yako, naamin imemfikia mhusika teh........................
Ee Mungu wangu nakuomba uniepushie janga hili, nisije nikala tigo ya kike wala ya kiume, natamani mbinguni kuliko maisha haya ya duniani, niepushe na sodoma na gomora za nyakati hizi za mwisho, maana mwili hutamani ukishindana na Roho, raha ya milele unipe Ee Bwana na mwanga wa milele uniangazie nipumzike kwa Amani.
 
Haswaa, wana majina yao wenyewe, kuna wa top, hao wawanawafanyia wenzao, wa bottom hawa wanafanyia na kuna wale wa vyote yaan hawa wanafanya na kufanywaaa, aisee kuna vingi sana kuhusu hawa watu ila haka kamchezo kameenea sana hapa tz kwa sasa, hawa hata kwenye mitandao kama fbuk wana page zao or groups ambazo ni secret group, humo wanaongelea mambo yao yote, wanatumia fake accounts kuwasiliana then wanapeana nama za simu, kutumiana real pics na mengineyo, wako makini sana, wengi ni watu tun aowaheshim sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mfanyaji na mfanyiwa ni MASHOGA, mwanaume yoyote yule anaekula Tigo ni SHOGA!
 
Haswaa, wana majina yao wenyewe, kuna wa top, hao wawanawafanyia wenzao, wa bottom hawa wanafanyia na kuna wale wa vyote yaan hawa wanafanya na kufanywaaa, aisee kuna vingi sana kuhusu hawa watu ila haka kamchezo kameenea sana hapa tz kwa sasa, hawa hata kwenye mitandao kama fbuk wana page zao or groups ambazo ni secret group, humo wanaongelea mambo yao yote, wanatumia fake accounts kuwasiliana then wanapeana nama za simu, kutumiana real pics na mengineyo, wako makini sana, wengi ni watu tun aowaheshim sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa


Mambo hayo wakiyafanya kwenye private secret group zao hayatuhusu, kwani hayagusi moja kwa moja jamii kwa vile hufanya sirini. Lakini inapotokea kufanyika kwenye mitandao ambayo ni ya kijamii kama JF ambapo wengi huingia majukwaa husika kwa kubadilishana uzoefu na maoni au kujifunza ni bora kuwepo na taratibu fulani za kuruhusu kiwango cha jukwaa, si kwa special ID tu, ila Moderators kuhakiki mada na picha zinazotundikwa huko kwa kuwa ni public site.

Mbaya zaidi hizo pics kutoka secret groups wanazileta mahala pasipo pake, kwani ni mambo yao kama ya wanandoa hayatuhusu ni mambo yao ya ndani. Mbona hata wanafamilia huwa hawajui kinachoendelea ndani ya chumba cha wanandoa? Tunasherehekea na kushangilia harusi lakini wakishaingia ndani ndani ni mambo yao.
 
Ni maisha yao binafsi ndio maana wanafanya kwa Siri. Hata ngono ya mke na mme ni siri yao, haituhusu. Hata mme na mke wakilana Tigo or anything, ni uamuzi wao, kama hao gays la lesbian. Misimamo yetu ya kupinga or kutokupenda hayo ya kinyume cha maumbile, tusishinikize kwa wengine. Ni maisha yao waliochagua wao. Kama ni dhambi, Mungu ndio wakuwahukumu. Ila kama ni hukumu, ewe mzinzi unayevunja amri ya sita utakutana nao jehanam kwenye moto wa degree sawa.
In the meantime, it is their civil liberty!
Tatizo langu ni wao kutaka kulazimisha watu wawaunge mkono kwa lazima. Mapenzi (yawe ya kawaida au hayo ya kinyume) ni jambo binafsi kati ya watu wawili. Hawahitaji ridhaa ya mtu wa tatu. Vivyo hivyo na hao mabasha, *******, wasagaji, waache hizo harakati za kutulazimisha kuunga mkono mambo yao. Mimi siamini kama haya mambo ni 'natural'. Naamini ni mambo ya kujifunza na kuzoea (k.m. kwenye shule za bweni mtu akiwa bado mdogo) au ni matatizo ya kisaikolojia (k.m. mtu mwenye woga wa kuwa karibu na wanawake/wanaume). Kwa nini haya mambo yafanywe kwa wingi Ulaya na Marekani na kwa nini yapate umaarufu miongo ya karibuni tu? Hivi kunilazimisha kukubali huo ubazazi kwa nguvu siyo kuingilia hali yangu ya msingi ya kuchagua ninaloliona ni jema (following my conscience)?
 
Sasa kama kawaida yangu mimi huwa sina tabia ya kutisha watu au kuwakataza bali najaribu kueleza ukweli kisha wewe kama mtu mzima utaamua nini cha kufanya kwani naamini kabisa kuwa sote ni watu wazima na tuna akili timamu na tunapoamua kufanya jambo sio kwamba tunafuata mkumbo au kulazimishwa bali ni Uchaguzi wako

Kufanya ngono kusiko a.k.a Tigo "MWIKO" ktk jamii nyingi Ulimwenguni sio kwa vile tu inamaanika kuwa ni uchafu na ina madhara makubwa ya kimwili, kiakili na kiafya bali ni kinyume na mafundisho ya imani zetu za Dini.

Kinachofanyika chumbani ni uamuzi wenu ninyi wawili mnaopendana ikiwa tu mtakubaliana na kufanya hivo na pia ni siri yako wewe na mpenzi wako, kuna wapenzi wengi tunafanya mambo ya ajabu sana na watu tunaowapenda na tunafurahia na tunazidi kupendana na kutakana zaidi na zaidi kila siku lakini mambo hayo ni "taboo" ktk jamii kama ilivyo kwa Tigo au Ukware/uzinzi.

Kuna baadhi ya watu (wake kwa waume) hujaribu na kisha wanajikuta wanafurahia na hivyo wanaendelea na kuna wengine hutaka kujua "unajisikiaje" lakini wanajikuta hawafurahii au mmoja wao hafurahii na hivyo wanaacha na kutorudia tena tendo hilo la mugongo-mugongo.

Inasemekana kuwa wanawake kuwa hawana hisia za utamu au raha ndani ya Tigo bali wanaume wanahisia Fulani na unono huko kunako "O" na baadhi husimamisha zaidi ikiwa watabonyezwa katikati ya mapumbu na sehemu ya kunyea au kuchuliwa/shikwa/kandwa/lambwa kwa vile kuna vijimishipa ambavyo ni "most sensitive"na hupelekea wapate utamu ule wanaopata wanawake wanapotandikwa kwenye "kipele G".

Lakini kutokana na miiko wanaume wengi huwa hawaruhusu hii kwa vile wanahisi kuwa hakuna tofauti na kuwa shoga au wanadhani watazoea na kuwa "watoto wa watu" (Ushoga ni hali/hisia ya kuvutiwa/kutamani mtu wa jinsia yako sio kushikwa au kufurahia sehemu ya mwili wako).

Pamoja na kuwa watu kuheshimu miiko ya dini zao, kupinga na kulisema vibaya tendo hili wachunguzi wa mambo ya Tigo wanadai kuwa mwanamke mmoja kati ya wanne anashiriki ngono ya nyuma (sasa hii sijui ni kuridhisha wapenzi au ni wao wanafurahia);.wazoefu watusaidie hapa.


Ukweli kuhusu Tigo.
- Sio tendo asilia ktk swala zima la ngono na mapenzi hivyo kumbuka unapoamua kugawa Tigo kuwa na uhakika ndio kitu unataka kukifanya na sio kukifanya wa vile "mchumba" kaomba/anataka wewe ndio mwenye maamuzi makuu ya nini unataka kifanyike mwilini mwako. Kama unahisi unachokwenda kukifanya sio "natural" na hujisikii vema kushiriki ngono Tigo basi acha/kataa kufanya hivyo.

Tigo hauna ute asilia wa kuisaidia mboo kuingia bila "kwere" hivyo unahitaji vilainisho maalumu ili kurahisisha hilo.

- Hakikisha mnatumia Condom zenye "polyurethane" hizi inasemekana ni imara na zinahimili joto la huko kumavi kuliko zenye "spermicides" kwani husababisha muwasho utakaoweza kukusababishia maambukizo mengine yatokanayo na wadudu asilia walioko sehemu hiyo ya kunyea.

-Mara mishipa ya Tigo ikitanuka kutokana na kufanywa huko mara kwa mara huwa haijirudi kama ilivyo kwenye uke kwa vile haikuumbwa kwa ajili ya shughuli hiyo.

-Hakikisha uume ukitoka Mkunduni haugusi au kuingizwa tena ukeni ili kuepuka maambukizo kwani sote tunatambua kuwa huko mahala kuna vijidudu asilia ambavyo ukivikanganya tu unaibuka na gonjwa la ajabu(unakumbuka hadithi ya AIDS?).

-Wengi tunaamini kuwa kufanywa nyuma ni kwa mashoga tu lakini kuna wanawake wanafurahia kama ilivyo ngono ya mdomo na baadhi hujigeuza kama njia mbadala ya kuzuia mimba au kulinda bikira (zaidi ni ktk jamii ya waarabu).
-Kuingiziwa ndude huko kumugongo kunauma (kunakupa maumivu)..fikilia unapokunya kimba gumu tena baada ya kumeza mbegu za matunda Fulani yanaitwa "mabungo";tunda lenyewe ni mbegu na mbegu hizo zinatabia ya kutereza bila taarifa.sasa rafiki yangu sikilizia wakati wa kutoa kimba utalia basi nasikia Tigo pia inauma sana lakini wasogo wake wanatumia mafuta au Jelly kutimiza haja zao.

-Ukizoea sana kupigwa nyuma na mishipa ya huko hutanuka, basi inasemekana kuwa utatatizwa wakati wa kujifungua/kuzaa, si hivyo tu bali unaweza ukawa na tatizo la kuvuja mkojo kwani hutoweza kukaza tena misuli yako ukeni ambayo hulegea baada ya kuzaa.

Swala muhimu sio kutisha watu bali kuwaelimisha na kuwaachia wao wachague mchele upi na pumba zipi. Ukiangalia yale yote yanayokatazwa au kuitwa miiko ndiyo yanayofanywa zaidi kuliko yale tunayoruhusiwa kuyazungumzia na kuyatenda.

*Mimi binafsi napinga kwa nguvu zangu zote swala la Ngono kusiko (tigo) ila na heshimu chaguo/uamuzi wako.wewe ndio mweye mwili na unafanya vile utakavyo.

Ushauri wa bure-kwa wanawake Jiheshimu na thamini mwili wako.usitoe Tigo lako kama dawa ya kumfanya mume asitoke nje au akupende zaidi.ni aibu mumeo akikuta nyuma jamaa waliwahi pia.
Tafadhali shirikiana nami kwa kushusha madhara ya Tigo au faida kama zipo.
 
uelewa wangu, sawia na maumbile ni **** na mboo tu...

vipi kuhusu punyeto, je nayo ni kinyume cha maumbile?? mikono nayo ina ute??? nk.?? vipi kuhusu kuweka mboo kwenye maziwa au kunyonya mboo, je nayo ni kinyume??

maana watu wanadhani kinyume na maumbile ni TIGO tu...

ntafurahi feedback yako mkuu
 
Back
Top Bottom