Tumaini lenu la kumfuata mtume wa mnyaazi ni lipi ikiwa yeye mwenyewe hakushinda kifo, bado yupo kuzimu!kwataarifa tuu nikuwa yesu hakufa.lazima arudi tena kukionja kifo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumaini lenu la kumfuata mtume wa mnyaazi ni lipi ikiwa yeye mwenyewe hakushinda kifo, bado yupo kuzimu!kwataarifa tuu nikuwa yesu hakufa.lazima arudi tena kukionja kifo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nipe taarifa yule marehemu mlio mchelewesha kule kasha fufukaTumaini lenu la kumfuata mtume wa mnyaazi ni lipi ikiwa yeye mwenyewe hakushinda kifo, bado yupo kuzimu!
yesu mwenyewe lazima arudi kufa.sasa hapo ameshinda nini?Tumaini lenu la kumfuata mtume wa mnyaazi ni lipi ikiwa yeye mwenyewe hakushinda kifo, bado yupo kuzimu!
Yesu alifufuka na anaishi hii leo, kwa hiyo tunalo tumaini la ufufuo kupitia yeye......ni tofauti na mtume wa mnyaazi ambaye bado kasalia kaburini na yeye akimsubiri Yesu amfufue siku ya kiama.😂😂😂😂😂😂dah hawa jamaa michosho kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha nicheke mieNi mkuu wa mitume, ni mkuu wa manabii, ni mkuu wa makuhani, ni binadamu kweli na ni Mungu kweli.
Wapi umesoma hilo kwamba Yesu atakufa tena.yesu mwenyewe lazima arudi kufa.sasa hapo ameshinda nini?
Yesu yupi yule alie lia lia juu ya kitanzi au wakenyaYesu alifufuka na anaishi hii leo, kwa hiyo tunalo tumaini la ufufuo kupitia yeye......ni tofauti na mtume wa mnyaazi ambaye bado kasalia kaburini na yeye akimsubiri Yesu amfufue siku ya kiama.
yesu hakufa wee mjinga.bali yesu alinyakuliwa kwahio lazima arudi duniani kukionja kifo.Yesu alifufuka na anaishi hii leo, kwa hiyo tunalo tumaini la ufufuo kupitia yeye......ni tofauti na mtume wa mnyaazi ambaye bado kasalia kaburini na yeye akimsubiri Yesu amfufue siku ya kiama.
Uzumbukuku ni kumfuata mtume ambaye haishi na yeye anasota kuzimu kumsubiri Yesu amfufue siku ya kiama.Acha uzumbukuku hakuna atakae fufuka kwa kigezo cha kucheleweshwa kuzikwa kumbe mnachelewesha kwa kutegemea maiti ifufukie mochwari?
kama hatahilo hulijui basi pole.ila tambua kuwa yesu atarudi kuonja kifo.Wapi umesoma hilo kwamba Yesu atakufa tena.
Kwa ndoa na kifo uislamu wapo sahihi , mtu akifariki no wastage of time anatakiwa apumzishwe mapema Sana , asubiri ujio wa Yesu mara ya pili ... Kwa wakristo ni tabu tupu , maiti inazungushwa weee anasubiriwa sjui nan nan yupo nje , mara ikaombewe yaan vurugu tupu
Duh hayaNi mkuu wa mitume, ni mkuu wa manabii, ni mkuu wa makuhani, ni binadamu kweli na ni Mungu kweli.
Kwa hiyo ushamkumbuka ndugu yako alie fufuka kwa sababu mmechelewa kuzika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uzumbukuku ni kumfuata mtume ambaye haishi na yeye anasota kuzimu kumsubiri Yesu amfufue siku ya kiama.
Yule ambaye atamfufua mtume wa mnyaazi na wafuasi wake siku ya kiama.Yesu yupi yule alie lia lia juu ya kitanzi au wakenya
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sisi hatuamini imani mfu, tunaamini imani inayoishi........sasa huwezi kunishawishi niwe mfuasi wa mtu aliyekufa anayesubiri na yeye kufufuliwa.Kwa hiyo ushamkumbuka ndugu yako alie fufuka kwa sababu mmechelewa kuzika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yule ambaye atamfufua mtume wa mnyaazi na wafuasi wake siku ya kiama.
Hujajibu swali nani kakwambia uamini au usiamini hapaSisi hatuamini imani mfu, tunaamini imani inayoishi........sasa huwezi kunishawishi niwe mfuasi wa mtu aliyekufa anayesubiri na yeye kufufuliwa.
Huyo Isa bin Maryamu si huyu Yesu anayeabudiwa na wakristo ambaye alikuwepo tokea misingi ya ulimwengu na vitu vyote vimeumbwa kwa njia yake, kwa maana yeye ni Mungu, leta jingine....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yesu huyu atakae hojiwa acha kumtafutia mwezio matatizo bhana
5 :116. Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu? (Na Isa) atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu. Ikiwa nilisema basi bila ya shaka umekwisha yajua.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nilishalijibu mara nyingi, Yesu ambaye ni tumaini letu alifufuka na anaishi naye atatufufua wafuasi wake kwa ajili ya maisha ya utukufu.Hujajibu swali nani kakwambia uamini au usiamini hapa
Nakuuliza kwa Iman yako ndugu yako gani alifufuka kwa sababu umechelewa kumzika
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app