Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,592
- 2,629
HakikaKwani kuna media yoyote ya ndani inayoweza kumpa mtu coverage kama mtu huyo hazungumzi maneno ya kumsifu Rais?
Media zote za ndani ama kwa woga au unagiki, hawataki kuripoti chochote cha vyama vya upinzani. Wanaalikwa kwenye mikutano, hata kwenda tu wanaogopa! Halafu utegemee waongee na wapinzani?
Hakuna awamu ambayo imeua haki za maoni ya watu kama hii. Nadhani itabakia kwenye kumbukumbu za Taifa kwa miaka mingi. Awamu hii imejaribu sana kutaka kuendesha nchi kidikteta. Cha kushukuru ni uwepo wa jamii ya kimataifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukutane oktoba.haijalishi, tutampa kura hivyohivyo na ulimbukeni wake...by the way hawezi kumfikia ulimbukeni "yesu" wenu!.
Mkuu, vyombo vya ndani ndio vinawakimbia Wapinzani. Hata ilitokea wakafanya mahojiano maswali yao yanakuwa HAYAJASHIBA. Utakuta wanamhoji Mnyika kwa maswali yale yale wanayomhoji BABA LEVO, Au maswali wanayomuuliza SHILOLE watamuuliza Halima Mdee.Sasa imekuwa kama imehalalishwa vile kwa viongozi wa upinzani kuvikacha vyombo vya habari vya ndani na kukimbilia media za nje na za washindani wetu wa kiuchumi.
Alianza Zitto na zile fedha za kusaidia elimu ya watoto wa kike lakini kwa bahati nzuri WB wakamshushua na kumpuuza. Zitto aliitumia BBC badala ya media za ndani.
Sasa Tundu Lissu naye anayarudia makosa yaleyale, hivi kwanini mnakwepa media zetu?
Inakera sana.
Maendeleo hayana vyama!
Labda TWITER ni ya ndani kwa kila nchi...Katika ulimwengu huu tuliopo wa kiteknolojia, hakuna sababu ya msingi ya kumkosoa mtu kwa kutumia media za nje kuzungumzia mambo ya "ndani" ya nchi yake unless nchi hiyo haina uhuru unaopasa wa vyombo vya habari.
Kama Twitter tu ni media ya nje kwa nchi mbalimbali lakini viongozi mbalimbali ulimwenguni wamekuwa wakiitumia kuzungumzia mambo mengi tu ya nchi zao tena hata hayo ya "ndani" unayoyasema.
Unadhani kwanini wakati anaongea LISU wengine walizima sauti kwenye vyombo vyao..!?Vyombo gani vimebana.....Lisu na Zitto jana walikuwa mubashara ITV au unazungumzia vyombo gani bwashee?
Na maswali yenyewe tanakaa kikada sanaMkuu, vyombo vya ndani ndio vinawakimbia Wapinzani. Hata ilitokea wakafanya mahojiano maswali yao yanakuwa HAYAJASHIBA. Utakuta wanamhoji Mnyika kwa maswali yale yale wanayomhoji BABA LEVO, Au maswali wanayomuuliza SHILOLE watamuuliza Halima Mdee.
Jibu murua kabisa..!!! Watu hawafikirii kwa undani wanapotia hoja zao...Mexicana, siku hizi kila ndege ikitoka kwa Wazungu na kutua KIA, mh. Waziri wetu wa utalii anatupa taarifa ya idadi ya wazungu!! Wazungu ni wazuri kuliko ‘WAJUMBE’!
Wanadhani huko ndo kuna wapiga kura! Tutakachowafanya 28 October watakuja kusimulia!Sasa imekuwa kama imehalalishwa vile kwa viongozi wa upinzani kuvikacha vyombo vya habari vya ndani na kukimbilia media za nje na za washindani wetu wa kiuchumi.
Alianza Zitto na zile fedha za kusaidia elimu ya watoto wa kike lakini kwa bahati nzuri WB wakamshushua na kumpuuza. Zitto aliitumia BBC badala ya media za ndani.
Sasa Tundu Lissu naye anayarudia makosa yaleyale, hivi kwanini mnakwepa media zetu?
Inakera sana.
Maendeleo hayana vyama!
Defn usalitiTunajenga nchi moja lazima tuwe wamoja,
Wakizuka wasaliti na wahuni wachache kuwashughulikia hakuepukiki.
johnthebaptist,
Umeamua kupost hii ili kutusanifu au unamaanisha kweli?
Media gani Mkubwa ya ndani iliyo na guts za kumwendea Tundu Lissu na kufanya naye mahojiano kuelezea SERA na MIPANGO yake kama akiwa Rais?
Ni mwandishi gani wa "Tanzania ya Magufuli " wa TV ama Redio anaweza kuwa "hajipendi" amuulize Tundu Lissu maswali kama aliyoulizwa na KTN na Majibu take kisha chombo chake na yeye mwenyewe visiweze kula "ban" kwa "uchochezi?"
Wanataka attention ya mataifa ya nje...na wengi nje hawajui ukweli wa kinachoendelea Tanzania.
Lipo wazi kwamba hawapo kwa maslahi ya watanzaniaSasa Tundu Lissu naye anayarudia makosa yaleyale, hivi kwanini mnakwepa media zetu?
Usikwepeshe maneno waambie ukweli serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania haipendi kukosolewa na chombo chochote Cha Cha habari kitakachofanya hivyo kesi za kishamba au kubambikiziwa Kodi zitamhusu wao wanataka kusikia magufuli apokewa na mabilioni ya wananchi chato au CCM yavuna wanachadema milioni 700 katavi.Kama mnatumia fedha na silaha kuwalazimisha wanahabari wa Kibongo kurusha maneno ya jiwe huku mkiwakataza kurusha habari za kumwambia ukweli huyo jiwe unadhani tufanye nini kama si kutumia vuombo vya nje!
Kuna sehemu nimeandika ni tatizo?Kwan ni tatizo?
KTN sio solution kisiasa kalikoroga kacheza wrong pass at a wrong time.
Hivi vya ndani haviwezi kutangaza vitapingwa fine na TCRA kwa kukiuka maadili ya uandishi.Sasa imekuwa kama imehalalishwa vile kwa viongozi wa upinzani kuvikacha vyombo vya habari vya ndani na kukimbilia media za nje na za washindani wetu wa kiuchumi.
Alianza Zitto na zile fedha za kusaidia elimu ya watoto wa kike lakini kwa bahati nzuri WB wakamshushua na kumpuuza. Zitto aliitumia BBC badala ya media za ndani.
Sasa Tundu Lissu naye anayarudia makosa yaleyale, hivi kwanini mnakwepa media zetu?
Inakera sana.
Maendeleo hayana vyama!
Vyombo gani vimebana.....Lisu na Zitto jana walikuwa mubashara ITV au unazungumzia vyombo gani bwashee?
Jibu ni simpo tu: Huko nje ndo waliko wapiga kura wao. [emoji851][emoji851]
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app