Kwani kuna media yoyote ya ndani inayoweza kumpa mtu coverage kama mtu huyo hazungumzi maneno ya kumsifu Rais?
Media zote za ndani ama kwa woga au unagiki, hawataki kuripoti chochote cha vyama vya upinzani. Wanaalikwa kwenye mikutano, hata kwenda tu wanaogopa! Halafu utegemee waongee na wapinzani?
Hakuna awamu ambayo imeua haki za maoni ya watu kama hii. Nadhani itabakia kwenye kumbukumbu za Taifa kwa miaka mingi. Awamu hii imejaribu sana kutaka kuendesha nchi kidikteta. Cha kushukuru ni uwepo wa jamii ya kimataifa.
Sent using
Jamii Forums mobile app