Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

Angeweka ustaadhi muda huu nyumba yake ingeshachomwa moto. Wakirsto wastaarabu sana. Ila ustaarab ukizidi unakuwa ukondoo. Haiwezekani mpaka muda huu makanisa hayajatoa tamko
Kuna ustaarab na upumbavu, kuruhusu bongo fleva kufanya video kanisani sio ustaarab Bali ni upumbavu, wakristo jitafakarini kama mnachofanya ni ustaarab
 
Hatuenendi kwa mwili bali kwa roho. Tunamwabudu Mungu katita Roho na kweli. Hawa wenzetu kwa kuwa wako kimwili zaidi ndio maana ukiwasema kidogo tu wanakuua au kukuchomea nyumba.
Acha uzwazwa wewe
 
Utofauti wa dini hizi mbili unaonekana wazi Uislaam sio dini ya maigizo Ukristo ni dini ya maigizo ndio maana ni rahisi kuitumia kwenye maudhui
 
🤣🤣🤣🤣😂🤣😂🤣huna hata nguvu zakuongea kifupi hujiamini.
SIO KWAMBA SINA NGUVU NINAZO SANA , UISLAMU NI MOJA YA DINI AMBAYO INAMAFUNDISHO AMBAYO, YANAPELEKEA MTU KUWA NA MSIMAMO MKALI SANA.
NIMEISHI NA WAISLAMU SANA TUU NAWAJUA VIZURI TENA SANA.
HATA VITABU VYA KIISLAMU NIMEVIONA VINGI.
SO NI DINI AMBAYO NINAIJUA VIZURI SANA TENA SANA .
TENA SIO HAPA NIMEISHI HATA NCHI ZA KIISLAMU, MAMBAYO KARIBU INCHI MZIMA NI WAISLAMU ,
SO NAIFAHAMU SANA DINI YA KIISLAMU.
TOFAUTI HATA WEWE UNAVYONIDHANIA MKUU,
NINAUHAKIKA HATA NCHI ZA KIISLAMU HUJAWAHI KUISHI.
NINAJUA VIZURI SANA TENA SANA.
 
Kitabu chakiislamu nikimoja wee chizi.quran tu.hivyo vitabu vingi nivipi?
 
hama huko gizani.kichwa ngumu wewe??? 🤣🤣🤣
 
Ukweli mchungu
 
Kesho naenda kukojoa msktn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…