Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

We

Una elewa maana ya filamu?. Ni maigizo. Sasa usilazimishe maigizo yawe kweli. Kabla hujawaita wakristo msikitini, waambie waislamu waache kwenda kwa Mwamposa kuombewa.
wanao enda huko hao wanamajina tu yakiislam Bali kiimani nimakafirituu Kama wewe.mkristo
 
kwani kanisani hakuna matowash na masista.wale ambao hawaoi Wala kuolewa?.lakini ukiristo sio dini nikikundi chawakusanya sadaka.nakulea
Huwezi kuwa towashi kama wewe ni hanithi awaokoti tu mtu bila sifa.
Hao wamejitoa maisha yao kufanya Kazi ya Mungu.
 
Uislamu gani huu wa Somalia na Afghanistan au Iran wanaponyongwa watu?.
wewe ukiristo wako sini huu wa marekani na vatcan?kwahio wewe nisho....?.ukienda kinyume nadini unanyongwa tu .sheria yakunyonga hata marekani ipo. au nyani huoni kundulo?
 
Dini ya kikristo rahisi kuchezewa
Ule upande mwingine, ukiwachezea
Watakushukia kama mwewe

Ova
Wakristo hawana mihemko na maruhani ndio maana. Huwa wanawapuuza mapunguani

Unataka wakajilipue??
 
Huwezi kuwa towashi kama wewe ni hanithi awaokoti tu mtu bila sifa.
Hao wamejitoa maisha yao kufanya Kazi ya Mungu.
kwahio wanataka rijali ili akafrn vizuri kanisani? wakuu nyie hanma akiili.
 
Hao wasanii mnaosema ni waislamu mkiangalia kwa mafundisho na miennendo ya Kiislamu bado ni Waislamu au majina tu?Mondi anavaa msalaba,hao wa kike wanaweka viungo vyote hadharani.Tuwahukumu kwa wanayofanya lakini tusiwanasibishe na Uislamu,walishatoka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…