kwani kanisani hakuna matowash na masista.wale ambao hawaoi Wala kuolewa?.lakini ukiristo sio dini nikikundi chawakusanya sadaka.nakuleaUmeyatoa wapi hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani kanisani hakuna matowash na masista.wale ambao hawaoi Wala kuolewa?.lakini ukiristo sio dini nikikundi chawakusanya sadaka.nakuleaUmeyatoa wapi hayo
nikikundi Cha kulea matiwash na masista.Kama sio dini Ni Nini?
wanao enda huko hao wanamajina tu yakiislam Bali kiimani nimakafirituu Kama wewe.mkristoWe
Una elewa maana ya filamu?. Ni maigizo. Sasa usilazimishe maigizo yawe kweli. Kabla hujawaita wakristo msikitini, waambie waislamu waache kwenda kwa Mwamposa kuombewa.
Huwezi kuwa towashi kama wewe ni hanithi awaokoti tu mtu bila sifa.kwani kanisani hakuna matowash na masista.wale ambao hawaoi Wala kuolewa?.lakini ukiristo sio dini nikikundi chawakusanya sadaka.nakulea
wewe ukiristo wako sini huu wa marekani na vatcan?kwahio wewe nisho....?.ukienda kinyume nadini unanyongwa tu .sheria yakunyonga hata marekani ipo. au nyani huoni kundulo?Uislamu gani huu wa Somalia na Afghanistan au Iran wanaponyongwa watu?.
Wakristo hawana mihemko na maruhani ndio maana. Huwa wanawapuuza mapunguaniDini ya kikristo rahisi kuchezewa
Ule upande mwingine, ukiwachezea
Watakushukia kama mwewe
Ova
kwahio wanataka rijali ili akafrn vizuri kanisani? wakuu nyie hanma akiili.Huwezi kuwa towashi kama wewe ni hanithi awaokoti tu mtu bila sifa.
Hao wamejitoa maisha yao kufanya Kazi ya Mungu.
KWA maagizo ya nanikwahio wanataka rijali ili akafrn vizuri kanisani? wakuu nyie hanma akiili.
acheni kuwageuza wanaume wenzenu mahanith.nyie ndio mnaupalilia ushogaKWA maagizo ya nani
Hao wasanii mnaosema ni waislamu mkiangalia kwa mafundisho na miennendo ya Kiislamu bado ni Waislamu au majina tu?Mondi anavaa msalaba,hao wa kike wanaweka viungo vyote hadharani.Tuwahukumu kwa wanayofanya lakini tusiwanasibishe na Uislamu,walishatoka!Nimeangalia wimbo wa PITA HUKU wa Dula Makabila nimeshangazwa na kipande cha mchungaji akipapasa wamama kisha akaamriwa apite motoni.
Yaani mchungaji kawekwa kundi moja na Shoga Aggrey na tomboy na mchawi.
Katika wimbo ule hakukuwapo kabisa kipande cha Sheikh akipita mbele ya hukumu wala msikiti ukionekana popote pale.
Hata ule wimbo wa Zuchu aliona bora akafanyie mzaha kanisani kuliko msikitini!
Hivi ni kwanini hawa wasanii waislam huwa hawapendi au hawafanyii dhihaka dini yao?
Nafikiri kwakua ni waislamu wangekua na mengi zaidi yakuigizia dini yao kuliko kuwadhihaki wakristo.
Ni watu wa hovyo sana na nitashangaa BASATA isipochukua hatua kali this time.
Ushoga hauna dini, wala awatambuliwi kwa majina ya dini zaoacheni kuwageuza wanaume wenzenu mahanith.nyie ndio mnaupalilia ushoga
Unalo swali lenye kuhitaji majibu... ila zaidi ya yote idea ya wimbo wake ni nzuri...
Yes kwako.Wimbo wa hovyo tu , hamna idea yoyote ya maana
kwanini mnalea mahanith?Ushoga hauna dini, wala awatambuliwi kwa majina ya dini zao
Wapi huko na wanaleajekwanini mnalea mahanith?
kinisa kwenu hamlei matowash na masista?Wapi huko na wanaleaje
Unaelewa nini maana ya towashi na sistakinisa kwenu hamlei matowash na masista?
niwasagaj na mahanith kwakivuli Cha dini tena wanna lelewa na kanisa.Unaelewa nini maana ya towashi na sista
Zaidi ya chuki huna hoja.niwasagaj na mahanith kwakivuli Cha dini tena wanna lelewa na kanisa.
acheni kulea machokZaidi ya chuki huna hoja.
Ni maagizo ya dini au chuki zako