Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

Walevi wao wanasemaje...!? Siwasikii kulalamika.
 
Kukasirika unaruhusiwa
Hakuna aliye kasirika bali unatakiwa kujibu swari.
Kama mungu wenu ahitaji usaidizi hilo kanisa unalo salia limejegwa na mungu?

Au hiyo biblia unayo tumia kumuabudu yy ndo anekununulia?

Bila roma kusimama kidete kuutetea huo ukristo kwa panga siunge sambatishwa na Ottoman?
Bila wakristo kulivamia bara la amerika na kuuwa mamilion ya wahindi wekundu kungekuwepo dini ina itwa ukristo barani Amerika?
 
Hapa utapinga na kuunga mkono BASATA kufungia wimbo. Kisa wametajwa mashoga lazima mgogoro uwepo na watetezi ndio nyinyi
 
Uvumilivu wetu unawapa kichwa Hawa wapumbavu, niishie hapa kwa leo.
 
Sasa mtu kununua Biblia inamsaidia nini Mungu? Hela si ni yake anaitafuta na kutumia anavyotaka. Au ukijilipua unamsaidia nini Mungu?
Yani unadhani kuna hisani binadamu atamfanyia Mungu?
 
Julie tu kwanini kanisa tu wanatoa ridhaa ya nyimbo kurekodiwa kanisani? Kama kwenye nyimbo ya zungu wapo kanisani au church heathen ya shaggy na mavazi wanawapq wasanii. Tatizo linaanzia kwa viongoz wa dining.
 
Sasa mtu kununua Biblia inamsaidia nini Mungu? Hela si ni yake anaitafuta na kutumia anavyotaka. Au ukijilipua unamsaidia nini Mungu?
Yani unadhani kuna hisani binadamu atamfanyia Mungu?
Basi punguza shobo na dini za watu abudu unacho kuamini.
 
Usijitoe ufahamu makanisa mengi tu tunaona waumini jinsi wanavyovaa utadhani wanakwenda disko, na hili linapigiwa kelele kila leo, kwenye hiyo dini yenu uzungu mwingi mpaka mnavuka mipaka kwenye maadili.
Mbona unanikalipia mkuu, kila mtu na abebe msalaba wake.
 

Angetangaziwa kitu kinaitwa Fatwa
 
Manabii level za Mtume. Yesu ni level za Mungu
 
Hawawezi kuchezea dini ya 'mnyazi mungu'
 
Tukiondoa hiyo changamoto ya mchungaji...

Wimbo wake ni Bora kabisa wa kufungia mwaka.

Namshauri aongeze na kipande Cha Sheikh akiwa kashaoa wake wanne na Bado ana michepuko ya kutosha ili kuweka mizani sawa.
Au aongeze kipande cha gaidi mmoja wa Al Shabaab aliyelipua watu kwa mabomu, halafu akafika peponi akakabidhiwa mabikira 72, na mito ya pombe.
 
Siku zote mwanadamu aliyesoma na kuelimika, hufanya maamuzi yake kwa kutumia akili! Ila yule bumunda ambaye hajaelimika, ndiyo hukimbilia kwenye matumizi ya nguvu, kama silaha yake kuu.

Bila shaka umenielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…