Kwanini wasomi wengi ni masikini tena waliopo sekta za umma

Kwanini wasomi wengi ni masikini tena waliopo sekta za umma

Gotze Giyani

Senior Member
Joined
Feb 28, 2022
Posts
127
Reaction score
194
Wadau habari za mida naomba mchango wenu wa mawazo kwanini wafanyakazi wengi wa umma ni masikini unakuta mtuu ana bachelors degree ila unakuta anaishia kumiliki nyumba na gari moja tuu ambapo ukiangalia ni vitu vya kawaida sana yani hata hakuna maajabu wanauofanya kama wenzetu ukichukulia mphano Steve Job aliyevumbua Iphone huku kwetu hata profesa unakuta afanyi wonders yoyote.

Nitolea mphano nilikuwa Equity bank nikasikia wafanya kazi wa pale wqnajafili wanataka wakasome Master ili hata wawe a uwezo wa kulipia bili mezani sasa nikawaza seriously mtu ukasome master uwezi kulipia bili mgahawani wakati nilijua hata mtuu akasome master afungue kampuni yake wadau nini tatizo na wasomi wanakwama wapi mimi elimu yangu ndogo tuu.
 
Sera na muundo wa kiutendaji in tofauti na mashirika yanayothamini utaalamu na ujuzi wa mfanyakazi,wasomi wanaona siasa inalipa na kuwapa heshima,hadhi na kinga.

Watunga sheria wametanguliza maslahi binafsi na kusahau kuimarisha watu wa kipato cha kati(middle class) ambao ni nguvu kazi inayozungusha uchumi wa chi.
 
Sera na muundo wa kiutendaji in tofauti na mashirika yanayothamini utaalamu na ujuzi wa mfanyakazi,wasomi wanaona siasa inalipa na kuwapa heshima,hadhi na kinga.

Watunga sheria wametanguliza maslahi binafsi na kusahau kuimarisha watu wa kipato cha kati(middle class) ambao ni nguvu kazi inayozungusha uchumi wa chi.
Umejibu vizuri Sana kama mtuu mwenye akili timamu nimependa mawazo yako
 
Wadau habari za mida naomba mchango wenu wa mawazo kwanini wafanyakazi wengi wa umma ni masikini unakuta mtuu ana bachelors degree ila unakuta anaishia kumiliki nyumba na gari moja tuu ambapo ukiangalia ...
Elimu kitu cha kwanza, ila ukitaka vyeti vyako vikuzalishie pesa Connection ni kitu cha pili na muhimu zaidi.

Unaweza ukaona kumiliki nyumba na gari ni achievement ndogo kwa mtu mwenye degree, ila kiaina flani hiyo ni big deal sana kwa watu wengine. Sababu ni nyingi zinazowafanya kuwa na mafanikio unayoyaona ya kawaida, haya ni baadhi ya maoni yangu.

Ongezeko la vyuo na wahitimu kila mwaka limefanya degree ionekane kitu cha kawaida, thamani yake imepungua, unaweza kuta mshahara anaopokea mtu wa degree sasa hivi ni pesa aliyokuwa anapokea mtu wa diploma kipindi hiko.

Vile vile uchumi unachagia hasa wa nchi yetu degree imekuwa na malipo ya kawaida tofaut na nchi zilizotuzidi uchumi. Pia inategemea sana unamillki degree ya fani gani. Vile vile Unakuta huyo mwenye degree ndio msomi pekee kwenye familia, majukumu mengi, watu wengi wanamtegemea yeye.

Pia tabia ya matumizi ya mtu binafsi, wengine heshima na pesa hawana, watataka kuishi kwa kutegemea mshahara huo huo bila ya kuangalia kitu chengine cha kuingiza hela pembeni.
 
hii dunia, ukifuata misingi / sheria ama utaratibu uliowekwa na usiowajua au marehemu tarajia umaskini, kutotimiza ndoto zako, kuwa kichaa.
sio wasomi,ama wafanyakazi bali

elimu(wataalamu wa kufaul darasani a.k.a Tanzania one)
dini(hata wachawi)
siasa(wafia chama)

n.k


unakuta mtu humkosoi humwambii kitu juu ya kile afanyacho kakomalia msimamo wake akizani ndio njia ya kutoboa ipo kumbe ni njia ya kukufilisi.

usipo saliti hutoboi maisha.
 
Unaleta mambo ya Steve job wakati kuna shule hazina maabara Tanzania huo uvumbuzi tutautolea wapi.
 
Starehe,akiba hakuna,majukumu mengi
 
Wadau habari za mida naomba mchango wenu wa mawazo kwanini wafanyakazi wengi wa umma ni masikini unakuta mtuu ana bachelors degree ila unakuta anaishia kumiliki nyumba na gari moja tuu ambapo ukiangalia ni vitu vya kawaida sana yani hata hakuna maajabu wanauofanya kama wenzetu ukichukulia mphano Steve Job aliyevumbua Iphone huku kwetu hata profesa unakuta afanyi wonders yoyote.

Nitolea mphano nilikuwa Equity bank nikasikia wafanya kazi wa pale wqnajafili wanataka wakasome Master ili hata wawe a uwezo wa kulipia bili mezani sasa nikawaza seriously mtu ukasome master uwezi kulipia bili mgahawani wakati nilijua hata mtuu akasome master afungue kampuni yake wadau nini tatizo na wasomi wanakwama wapi mimi elimu yangu ndogo tuu.
Mphano ndio kitu gani hiki?
 
Sasa watu wameajiriwa na nchi maskini.
Unategemea nini hapo.

Labda waibe au wawekeze muda mwingi nje ya kazi, kitu ambacho mwajiri hawezi kukubali.
 
Back
Top Bottom